Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Kwa walio katika group la whatsapp wangetupia muendelezo kwa niaba ya singanojr manake aliahidi mwenyewe kutupia leo!
 
Watu bwana sijui wanaelewaje mambo. Mtu kasema ijumaa, wewe unakuja kuanza kulalamika leo. Kwani alisema ni ijumaa ipi? Kama alisema ijumaa ya wiki ijayo, au ijumaa ya mwisho wa mwezi au ijumaa ya mwisho kabla ya mwaka kuisha au ijumaa ya tar 15 mwezi wa pili. Ijumaa ziko nyingi so endeleeni kusubiri
 
Ila Singano(kongole kwake) anaonekana ana story tamu sana akiifikisha hii mpaka mwisho itabidi ninunue story zake nyingine alizonazo ili nisome kwa muda wangu na spidi ninayoitaka. Kiukweli sipendi na ninaudhika na watunzi wasiofikisha story zao mpaka mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako tuko mbali sana na hii kitu
 
Watu bwana sijui wanaelewaje mambo. Mtu kasema ijumaa, wewe unakuja kuanza kulalamika leo. Kwani alisema ni ijumaa ipi? Kama alisema ijumaa ya wiki ijayo, au ijumaa ya mwisho wa mwezi au ijumaa ya mwisho kabla ya mwaka kuisha au ijumaa ya tar 15 mwezi wa pili. Ijumaa ziko nyingi so endeleeni kusubiri
Hhhh, hii imeenda
 
Back
Top Bottom