Simulizi ya kipelelezi: Jiji la kamari (gambling city)

Simulizi ya kipelelezi: Jiji la kamari (gambling city)

NINI SIRI YA NAFSI ZILIZO TELEKEZWA?

Inahusu nini, inamhusu nani, kipi kipo nyuma yake? Ungana nami kwenye mtiririko huu uweze kuelewa NAFSI ZILIZO TELEKEZWA inahusu nini.

Mwaka 1991, ni mwaka ambao umoja wa nchi za Kisovieti ulidondoka baada ya kushindwa kwenye vita baridi dhidi ya watu wa Magharibi hususani Marekani. Baada ya vita hiyo kuisha kulikuwa na sababu nyingi sana zilizo wafanya washindwe ikiwemo utaifa na mchango wa nchi za magharibi.

Kwa madhara makubwa ambayo yalipatikana, nchi ya Urusi ilikaa chini kufanya tathmini ili kujua ni wapi walifanya makosa mpaka jambo hilo likatokea nchini mwao. Moja kati ya sababu kubwa ambazo walizipata ni kufeli kwa shirika lao la kijasusi la KGB kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kiusalama kwa asilimia miamoja, waliamini kwamba huenda kama shirika hilo lingekuwa imara mapema na kutekeleza majukumu yake kwa usahihi basi wangeishinda vita hiyo.

Sasa mjadala ukawekwa mezani, walishindwaje? Ndipo ikanukia harufu ya usaliti ndani yao, iligundulika kwamba ndani ya shirika lao kuna watu ambao walikuwa wasaliti na usaliti wao ndio ambao ulifanya shirika hilo kuyumba na kufeli. Sasa wasaliti walikuwa nani na nani? Jina ambalo lilitokezea kwenye makablasha yao ni jina la mwanamke wa miaka ishirini na mitano (IRINA ESPANOVICH). Sasa IRINA ni nani na alitokea vipi kwenye hiyo orodha ya wasaliti?

IRINA ESPANOVICH alikuwa ni jasusi mbobevu ndani ya shirika hilo, Moja kati ya wapelelezi ambao waliaminika mno kiasi kwamba akapata bahati ya kuolewa na moja kati ya maafisa wakubwa ndani ya shirika hilo la KGB. Kuolewa kwake na kiongozi mkubwa wa shirika hilo ikawa nafasi ya yeye kupata taarifa nyingi na za siri za shirika hilo kwa njia ya kawaida ama kuziiba kwa sababu huyo mwanaume alikuwa akiishi naye nyumba moja. Sasa kwenye ule mchakato wa kuwatafuta wasaliti, waligundua kwamba kuna akaunti ndani ya Urusi ilipokea mabilioni ya fedha kutoka ndani ya nchi ya Marekani na walipo jaribu kuichunguza akaunti hiyo ili wajue sababu ya msingi ya pesa nyingi kiasi hicho kutumwa kwa mtu ambaye taifa lake lilikuwa vitani na nchi hiyo ni ipi! Ndipo wakagundua kwamba akaunti hiyo ilikuwa inamilikiwa kwa siri na mwanamke huyo IRINA ESPANOVICH.

Baada ya kuunganisha doti, wakagundua kwamba hizo pesa zilitoka ndani ya shirika la kijasusi la Marekani CIA ambalo wengi huwa wanaamini kwamba ndilo shirika namba Moja kwa ubora zaidi duniani kutokana na kuwa na bajeti kubwa ya uendeshwaji wake. IRINA alipokea pesa nyingi ambazo hata angefanya kazi miaka mia-moja asingeweza kuzipata, CIA wamtumie pesa kama nani? Ikahitimishwa kwamba huyo ndiye msaliti ambaye alikuwa akiwauza kwa CIA ndiyo maana walifeli hivyo ikatolewa amri kwamba asakwe popote alipo, akamatwe, ateswe kisha auawe mrembo huyo.

Bahati ikawa upande wake, mlinzi mkuu wa mumewe akampatia taarifa kwa simu kwamba Maam you are to be killed (unatakiwa kuuawa) hawa watu wanajua kila kitu hivyo KIMBIA (RUN). Alikuwa hatarini hivyo hakuwa na muda wa kupoteza akapotea haraka, KGB hawakumpata mwanamke huyo hivyo ukaanza msako wa kimya kimya kwa sababu waliogopa kuziweka taarifa hizo wazi kwani zingewavua nguo kwa kuonekana ni wazembe mpaka yote hayo yanatokea na hawana taarifa! Hawakutaka aibu wakaamua kuifanya siri kumtafuta huyo DOUBLE AGENT IRINA ESPANOVICH.

Kupotea kwake Urusi mikononi mwa KGB ambao walimpachika jina la LUNATIC GIRL, ukawa mwanzo wake wa kuingia ndani ya nchi ya Tanzania. Kwanini iwe Tanzania? IRINA alipiga hesabu zake akagundua kwamba kama angeenda nchi kubwa hususani ambazo zina usambaaji wa taarifa haraka wangekuja kumpata tu siku moja hivyo alihitaji kuishi sehemu ambayo hata KGB wenyewe wasingeidhania kwamba anaweza kuwepo na ile amani ambayo imetawala Tanzania ikamvutia kuishi hapa kwani ingekuwa ni ngumu kuja kujulikana kwamba yupo hapa. Yes, mpango ulikuwa sahihi sasa Tanzania angeishije na angeweza vipi kujilinda? Ukawa mwanzo wa kuanzisha jamii ya Siri ambayo aliiita LUNATIC SOCIETY, jina ambalo alipewa na KGB kwa usaliti wake. Kumbuka alikuwa mgeni hivyo asingeweza kuianzisha jamii hiyo mwenyewe ikamlazimu kumtafuta mtu.

Macho yake yakadondokea kwa Novack Nyangasa, mdogo wa raisi wa Tanzania ambaye aliamini angekuwa na nguvu ya kumpeleka anapo pataka yeye. Alimshawishi mwanaume huyo kwa urembo wake na kumpa mpango mzima juu ya utajiri ambao wangeenda kuutengeza, Novack akatokwa na mate ya uchu, akakubali. Jamii hiyo ikaanzishwa kwa nguvu ya mdogo wa raisi ambapo waliwasajili watu wakubwa; wanasiasa wakubwa, maprofesa, wanafalsafa, madaktari bingwa, wafanya biashara wakubwa na kila ambaye walimuona anafaa. Baadae raisi akazipata habari, akachukia sana na kumuita mdogo wake IKULU.

Akamtaka aifute jamii hiyo kwa mwezi mmoja tu pekee, huo mwezi ukatumika kummaliza yeye, raisi akawekwa kati akatakiwa kufa ili jamii hiyo iwepo. Moja kati ya mipango mikakati ambayo waliiweka ili kujilinda ni kuanzisha chuo cha kuwatengeneza vijana hatari kwa ajili ya ulinzi na kufanya kazi yao kwa nguvu pale ambapo ingebidi, zoezi hilo likatua mikononi mwa jasusi wa zamani wa Tanzania ambaye aliachana na kazi hiyo baada ya kuhusika na mauaji ya watu wengi sana, NIKOLAI GIBSON. Mwanaume huyo kwenye moja ya mazao yake alifanikiwa kumtengeneza kijana wa kuitwa YOHANI MAWENGE, bwana mdogo ambaye alimuokota Tandale kwa Tumbo akililia mapenzi na kutaka kujiua kisa uchi wa mwanamke.

Alimfunza namna ya kuwa mwanaume akampa begi la pesa akale maisha kwa mwezi mzima, alale na wanawake warembo ambao aliishia kuwaona kwenye runinga ili ushamba umtoke kisha baada ya hapo alikuwa na kazi naye. Alitengenezwa kikawa kiumbe cha kutisha na Kazi yake ya kwanza ikawa kwenda kumuua mcheza KAMARI mmoja huko BAMBALI Senegal na alitakiwa kurudi na bilioni 30 zilizokuwa mkononi mwa bwana huyo..... Huyu tuna mengi ya kuyasoma kwake ni mhimu sana.

Ukawa mwanzo wa mwanamke huyo wa KGB kuitawala Tanzania kwa miaka takribani thelathini. Lakini baadae Moja kati ya makosa makubwa ambayo waliyafanya ni kumuua mwanasayansi aliyedaiwa kuwa binadamu mwenye akili zaidi nchini.

NAFSI ZILIZO TELEKEZWA ni zipi na za nani?
Kulikuwa na utata wa maisha ya mwanaume mmoja aitwaye Edison, bwana ambaye hakuwa na kumbukumbu na kwenye mfuko wake alikuwa anatembea na picha ambayo walidai ni ya mkewe, bwana huyu alikuwa akishangaa kwa sababu yeye binafsi hakuwa na kumbukumbu yeyote kama aliwahi kuwa na mke au familia. Kitu cha kushangaza kwa EDISON ni kwamba alikuwa anatafutwa ili auawe kuliko hata pesa inavyo tafutwa na maskini mpaka yeye mwenyewe akawa anashangaa.

Hali hiyo ilimlazimu kwenda kuishi maisha ya chini sana huko Kigogo Mwisho ili awe salama kwani hakuna ambaye angempata kirahisi akiwa kwenye maisha ya kifukara huko lakini usiku mmoja mvua ikiwa inanyesha akiwa ndani ya kijumba kibovu kwenye mkeka, anapokea simu ambayo ilimtaka atoweke eneo hilo kwa dakika kumi na tano vinginevyo angekufa. Aliduwaa ila hakuwa na namna aliondoka haraka ila kabla hajafika mbali akavamiwa na wanaume wa kutisha ambapo alimuua mmoja akafanikiwa kutoroka.

Safari yake ikawa ni kwenda kwa mlezi wake ambaye ndiye alimpa taarifa hiyo na ndiye alimtaka akaishi huko Kigogo mapaka mambo yakae sawa ili akampe ukweli wa kwanini anatafutwa sana? Kufika kwa huyo mlezi wake ambaye alikuwa ni mchungaji wa KKKT pale Mabibo Mwisho karibu na hosteli za wanafunzi wa NIT, alimkuta mtu huyo yupo kwenye hatua za mwisho za uhai wake. Hakumwambia kitu zaidi ya kumtaka aende nyumbani kwake kwenye banda la mbwa akachukue kitabu ambacho kingemfunulia ukweli kwamba yeye ni nani, kwanini hana kumbukumbu, maisha yake kabla yalikuwaje na kwanini anatafutwa sana na watu ambao yeye alidai hawajui!

EDISON alishangaa baada ya kuambiwa kwamba anatafutwa kwa kuhusika na mauaji ya makomando TISA wa kikosi maamulu cha KOM (KILL ON MISSION).akabaki ameduwaaaa!!!!!!!

Ilishawahi kukukuta kwenye maisha yako ukatakiwa kumuua mama yako mzazi kwa mkono wako mwenyewe? Hilo ni jambo baya na gumu lakini Yes, kuna mwanaume alitakiwa kumuua mama yake aliye mzaa ili nchi iwe salama. Je huyu naye hatima yake ilikuwaje?

Kuna uhusiano gani kati ya hizo NAFSI ZILIZO TELEKEZWA, IRINA ESPANOVICH na EDISON?

Unataka kumjua zaidi IRINA ESPANOVICH? Unataka kuijua kiundani LUNATIC SOCIETY? Unataka kujua uhalisia wa maisha ya EDISON kabla na baada ya hapo? Hizo nafsi ZILIZO TELEKEZWA ndizo hizo za makomando TISA (9) ambao alidaiwa kuwaua au kuna mengine nyuma ya mlango wa siri? Ungana nami kwenye simulizi yangu bora zaidi kuwahi kuiandika kwa mkono wangu.

1. Storyline yake ni kali sana
2. Dialogue (majibizano) yake ni kali sana.
3.Haitabiriki kabisa (huwezi kutabiri kinacho tokea baadae)
4.Lakini pia ina actions kali mno.

Simulizi hii imetoka tayari na unaweza kuipata kwa shilingi ELFU SITA (6000 tu za kitanzania). Unaweza ukalipia 6000 yako kwa namba hizi ili uipate muda huo huo. Inapatikana kwa Softcopy.

0621567672 (HALOPESA)..... WhatsApp.

0745982347 (M-PESA)

0714581046 (TIGO-PESA)

0689440143 (AIRTEL MONEY)

Zote jina FEBIANI BABUYA

Lipia muamala wako Kisha nicheki nikutumie yote, ama unaweza ukanicheki WhatsApp, ukatuma sms ama ukapiga cm kama utakuwa na swali lolote.

CIAO.
FB_IMG_1719138159383.jpg
 
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+

Episode 71
"Max tafadhali sana ndugu yangu, naomba niue mimi lakini familia yangu usije ukaifanyia jambo lolote nakuomba"
"It's too late Dax jambo hilo ulitakiwa kulifanyia kazi miaka kumi na miwili ambayo imepita huenda usingefikia hatua hii leo. Nilikuwa nakuona kama kaka kwa sababu umenizidi mpaka miaka lakini wakati ambao mimi nilikuwa nakupa hiyo heshima wewe ulikuwa ukiikataa kabisa na kuona kama ni upotezaji wa muda tu mimi kuwa mdogo wako wa hiari. Baadae nilikuja kugundua kwamba ni wivu kwa sababu uliona mimi ni bora zaidi kuliko wewe, hata kukubali kuifanya ile kazi sababu haikuwa pesa tu bali ulikuwa unatamani sana kunitoa duniani ili kwenye nafasi yangu uweze kukaa wewe hapo ndiyo maana Philipo Tubaigana alipokuita tu kukushirikisha basi haukusita hata kidogo ukafanya maamuzi ya haraka sana kuifanya ile kazi. leo unajiua mwenyewe lakini hakikisha baada ya kufika huko unakoenda unamtafuta kila ambaye umemfanyia udhalimu na kumuomba msamaha na kama hautafanya hivyo nakuahidi hata kwenye maisha ya huko nikija nitakutafuta tena tuweze kuanza upya"
kama utani Dax alikuwa anashusha chozi, chozi halikuwa kwa ajili ya yale ambayo aliyafanya au labda kwamba alikuwa anaumia sana bali ilikuwa ni kwa ajili ya mwanae wa pekee wa kike ambaye aliishia kwa kumficha sana ili asije kuingizwa kwenye hizo ajenda ila kwa bahati mbaya sana watu walikuwa wanajua kila doti ya taarifa hizo. Kitu ambacho kilikuwa kinamuwazisha mwanaume huyo ni maisha ya mwanae baada ya yeye na mama wa mtoto kufa.
"Max haya mambo yote umeyajuaje?"
"Ukiwa unaingia sokoni, sheria ya kwanza hakikisha unamjua vizuri zaidi mpinzani wako huenda kuliko hata unavyo jijua wewe, kumjua sana adui yako inakurahisishia sana wewe kushinda mechi mapema sana ndiyo kama hivi kwa sasa nina taarifa zenu zote hivyo nampata mmoja mmoja ambaye mimi namtaka na kesho nitakuwa hadharani kwenye chombo kimoja cha habari nchini kuweza kuweka wazi ushahidi wote ambao ninao"
"Max usifanye hi....."Dax aliongea kwa nguvu kwa sababu jambo hilo lingeziweka wazi sana taarifa zao zote lakini akiwa anaongea alipokea risasi nyingi sana zilipenya kwenye mbavu yake ya kulia.
"Acha kunipigia makelele hilo sio jukumu lako kuamua mpuuzi wewe" Max aliongea kwa hasira sana maana huyo mbele yake ndiye alikuwa moja kati ya watu ambao walisababisha matatizo makubwa sana nchini. Mwanaume alinyanyuka akiwa na shoka lake, alipasua bega lote la mkono wa kushoto la Dax hali ambayo ilimfanya mwanaume huyo kupiga makelele kwa nguvu sana kuhitaji msaada na kuonewa huruma lakini hakukuwa na mtu wa kumsaidia majira hayo ya usiku wa manane.
Akiwa anaendelea kulia kama mtoto mdogo shoka hilo pia lilishushwa kwenye miguu yake yote miwili kisha mwanaume akamrushia bastola na kusimama kisha akaanza kuondoka lakini wakati anafika getini alisimama na kugeuka.
"Naenda kuwaua wote ambao walikuwa wapo nyuma ya hili Karistus. Hiyo bastola imebaki na risasi moja unaweza ukaitumia kujisaidia mwenyewe maana unatia aibu kwenye hiyo hali ambayo upo nayo. Unatakiwa kunishukuru sana kwa kukupa huo msaada mkubwa sana" mwanaume alitamka kwa sauti ya taratibu sana, msaada ambao alikuwa amempa mwanaume huyo ulikuwa ni kuweza kujiua kwa kutumia hiyo risasi moja maana kwa mwanaume wa kazi kama yeye kuwa kwenye hali kama ile ingekuwa ni aibu kubwa sana kama kuna mtu angefanikiwa kumuona au hata bosi wake. Haikuchukua hata dakika moja Dax, 002, KD waweza kumuita Karistus Dickson alijiua mwenyewe kwa kujipiga risasi ya kichwa.
Yalipokuwa makao makuu ya jeshi la wananchi la Tanzania, Kurasini Dar es salaam. Alionekana kiongozi mkuu ambaye alikuwa mkuu wa majeshi ambaye aliikaimu nafasi hiyo kutoka kwa Francis Mboye. Mwanaume huyo ambaye umri wake ulikuwa umekwenda kiasi alikuwa ametulia kwenye chumba kimoja ambacho kilikuwa na kiza kinene sana ila taa zilikuwa zinamulika sehemu ambazo zilikuwa na watu tu pekee huku alipokuwa amesimama yeye kukiwa na mwanga wa kutosha na mbele yake kukiwa na projector kubwa ambayo ilikuwa na kazi ya kuonyeshea picha za watu na video mbali mbali ambazo walikuwa na uhitaji nazo kwa wakati huo.
"Serikali imetumia gharama kubwa sana kuwaandaa watu kama nyie hapo na mpaka sasa mmekuwa watu tegemezi sana kwenye nchi hii na uwezo wenu unasaidia kuliweka taifa kwenye hali ya usalama siku zote. Kwa sasa kuna kazi kubwa sana ambayo itakuwa kwenye mikono yenu na kazi hii mnatakiwa kuikamilisha mapema sana bila kuchelewa" alikuwa anaongea na kikosi cha wanaume saba ambao walikuwa ndani ya chumba hicho huku kwenye pojector ambayo ilikuwa mbele yake kukiwa na picha kubwa sana ya Max akiwa amevalia suti ya bei ghali sana. Walikuwa ni makomando wa taifa la Tanzania na walikuwa wapo hapo kama maagizo ya Denis Kijazo yalivyokuwa yanajieleza, hakutaka kabisa kushindana na mtu huyo ndiyo maana alikuwa tayari kuweza kuifanya kazi yake vizuri kabisa.
Baada ya kuhakikisha kwamba wanaume hao wote walikuwa wameiona vizuri sana picha hiyo aliendelea tena kuongea.
"Huyu mtu mnaye muona hapa miaka kumi na mbili ambayo imepita alitangazwa kuuawa kwa kosa la kumuua raisi wa nchi hivyo wakati anataka kupambana na walinzi wengine alipigwa risasi sita kwenye mwili wake na baadae ikathibitishwa kwamba amekufa. Baa...." wakati anataka kuendelea mwanaume mmoja aliingilia kati na kumuuliza mheshimiwa huyo
"Mkuu sijaielewa hoja yako, kwanini unapoteza muda kuongelea habari za mtu ambaye alishakufa?"
"Huyu mtu hajafa, yupo hai"
"Kivipi na umesema alithibitishwa kuuawa na kila mtu akajua hilo kama gaidi wa taifa?"
"Hilo swali hata mimi sina majibu yake mpaka sasa ila ni mzima wa afya kabisa na sasa amerudi kwa ajili ya kile ambacho anahisi kwamba alikipoteza"
"Ni nani ambaye alikuwa nyuma ya mauaji yake?"
"Kijana mmoja anaitwa Dax, alipewa kazi na Ikulu kuhakikisha mtu huyo anazikwa sehemu ambayo hakuna mtu duniani atakuja kujua kwamba alizikwa wapi na habari yake ilipotelea wapi"
"Kwahiyo hakumzika?"
"Kwa taarifa ya kijana ambaye alipewa kazi hiyo alithibitisha kwamba walimfukia kabisa na kaburi lake mpaka sasa lipo na hata vijana wake walithibitisha kwamba wao ndio walichimba kaburi hilo na kumfukia kwa pamoja"
"Sasa inakuwaje yupo hai?"
"Kuna kosa kubwa sana walilifanya, nahisi walijua huyu mtu yuko pekeyake mwisho wa siku wakafanya kazi kwa mazoea. Kwa tafsiri fupi ni kwamba kulikuwa na watu wengine ambao walibaki hai na hawakutaka huyu mtu afe kwa sababu ambazo zilikuwa ndani yao. Kama imepita miaka kumi na miwili ndipo amerudi maana yake ni kwamba alitumia miaka mingi sana kitandani na wakati huu amerudi akiwa kamili na amepona hivyo amerudi kufanya mauaji tu pekee na hakuna kitu kingine chochote kile" Alijibu komando mmoja akiwa anawaelekeza wenzake ambao walikuwa mbele ya bosi wao.
"Kama ni hivyo kwanini asitumwe mtu mmoja kwenda kushughulika naye tuone kama atapona tena? nadhani utakuwa upotezaji wa muda tu watu wote sisi kwenda huko kupambana na mtu mmoja kama huyo" alijibu kamanda mwingine akiwa anakizungusha kisu kwenye mkono wake kwa kasi ya ajabu sana.
"Mhhhhh kama ingekuwa rahisi sana namna hiyo basi kusingekuwa na haja ya msaada wenu na kuwepo ndani ya hiki chumba ambacho leo tupo. Kama mtafanya hilo kosa la kwenda kwa mazoea basi nawahakikishieni kwamba mtakufa wote kipumbavu sana na jambo hilo mimi sipo tayari litokee kwa sababu nchi imewekeza pakubwa sana kwenye miili yenu na mimi sitaki kufanya ujinga wakubwa wanione kama sina maana tena"
"Lakini mkuu"
"Mkuu nini? unahisi hakuna watu wenye uwezo wa kupambana naye zaidi yenu? au mnajiona kwamba nyie ndio spesho sana kwenye taifa hili. Kuna watu wana uwezo mkubwa sana kuliko hata nyie lakini hata ambaye anahitaji kazi hii ifanyike anaonekana kuwa na wasiwasi mkubwa sana kwa sababu anajua namna mtu huyu alivyo. Sio mtu wa kawaida kama mnavyo fikiria nyie na kumuona anavutia kwenye hiyo picha akiwa ndani ya suti. Ndiyo sababu kubwa tupo hapa leo nataka niwape historia ya maisha yake yake anazaliwa, historia ambayo ni watu wachache wanayo kama watakuwa hai kama mimi" kiongozi huyo aliongea kwa sauti ya ukali sana baada ya kuona vijana wake wanachukulia mambo kirahisi sana wakati yeye alijua kabisa huo mlima kuupanda ilikuwa inahitajika uwepo wa wanaume wa kazi haswa ila wao walianza kuona kazi ni nyepesi kitu ambacho aliona inaweza kuwa hatari kubwa na kupelekea kuharibu mipango mapema sana na yeye akaharibu kazi kwa wakubwa wake ambao waliamini kwamba uwepo wake hapo ungekuwa na manufaa makubwa sana kwao.
Baada ya maneno hayo makali kutoka kwa kiongozi wao, hakuna hata mmoja ambaye aliongeza neno lolote tena ikawalazimu kuwa kimya kusikiliza kwani kiongozi huyo alikuwa anaweza kuwatoa hapo alipokuwa amewaita na kuwaita watu wengine.
"Jina lake ni Donald Daniel. Huyu ndiye jasusi bora zaidi kuwahi kuzalishwa ndani ya taifa hili tangu nchi yetu ipate uhuru ila kilicho muangusha ni mfumo tu ambao ulikuwa unaendeshwa hovyo hivyo ndio ukamfanya ashindwe kuonyesha uwezo wake halisi ambao alikuwa nao mwisho wa siku akaishia kuwa gaidi hatari zaidi kuwahi kuzaliwa kwenye hii nchi. Anatazamiwa kuwa binadamu hatari sana kwenye kizazi chake kwenye upelelezi lakini pia hata kwenye tasnia ya mapigano akiwa amepata mafunzo hayo kwenye nchi nyingi sana kubwa duniani na hata hapa nyumbani Tanzania"
"Kwa sasa ni mwanaume wa miaka thelathini na mitano ambaye ana mke na mtoto mmoja wa kike. Mke wake wa sasa ni mdogo wa damu wa komando wa zamani wa nchi ya Tanzania ambaye alijulikana kama Siza na alimuua kwa mkono wake kaka yake na huyo mwanamke lakini licha ya hayo yote bado wakaangukia kwenye penzi zito sana ambalo limewapa mtoto kwa kipindi ambacho hakuwepo nchini na inadaiwa kwamba alikuwa anaishi ndani ya taifa kubwa zaidi duniani kinguvu, yaani Marekani"
"Historia ya maisha yake ina utata mkubwa sana huku baadhi ya watu wakidai kwamba ni mzaliwa wa Mbeya huko lakini wengine wanadai amezaliwa Songwe na wengine wanajua ni Dar es salaam lakini wachache miongoni mwao waliokuwa wanamjua walijua kwamba amezaliwa kanda ya Ziwa. Ni kijana ambaye kuingia kwake kwenye shirika la kijasusi la nchi hii kulianzia jeshini ambako alionyesha uwezo mkubwa sana ukawa kivutio kikubwa hivyo wakamchukua pamoja na mwenzake Dax wakiwa bado vijana wadogo sana ambapo walipelekwa nchi nyingi sana kupata mafunzo makali na baada ya kurudi walikuwa ni wanaume haswa"
"Kuhusu sehemu alipozaliwa imekuwa kitendawili mpaka leo maana hata Philipo mwenyewe alithibitisha kwamba kwenye kumchuunguza kijana huyo ni kwamba aliishi kwa kulelewa mtaani baada ya wazazi wake kuweza kufa siku moja tu baada ya yeye kuzaliwa. Mama yake alikufa baada ya kujifungua mtoto huyo lakini kutokana na umaskini mkubwa ambao baba yake alikuwa nao aliona hataweza kabisa kumlea huyo mtoto pekeyake na ndipo alipo amua kujinyonga mtoto akaanza kulelewa kwenye kituo cha watoto yatima na mwisho wa siku alipokua kua alijichanganya mtaani kupigana kama wengine. Na hiyo ikawa safari yake kwenda jeshini maana ndiyo njia pekee ambayo alikuwa nayo kwenye mkono wake kuweza kujikomboa kutoka kwenye maisha magumu ambayo alikuwa nayo"
71 inafika mwisho.
 
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+

Episode 72
"Vijana hawa wote wawili baada ya kufanikiwa kumaliza mafunzo yao huko nje ya nchi, walipewa kazi tano tano kuweza kuzikamilisha ndipo wangeingia kwenye hatua ambayo ilikuwa inafuata na hatua hiyo wao hawakuwa wakiijua kabisa. Kati ya hizo tano Max alifanya kazi zote na kuzitekeleza kwa asilimia miamoja bila kuacha alama yoyote wala ushahidi wowote ule na Dax yeye alifanikiwa kukamilisha kazi tatu kwa ufasaha na kazi mbili zilimshinda ambapo kazi moja aliiweka idara kwenye utata na kiongozi wao akamsafishia kupitia cheo chake hivyo madhara hayo hayakuwekwa hadharani na kila mtu akaujua udhaifu wake"
"Baada ya hilo ndipo wakaja kuandaliwa kwa ajili ya kazi ya kwenda kumlinda raisi na Teodensia Mpanzi ndiye alikuwa raisi wa kwanza na wa mwisho vijana hao kuweza kumlinda. Mpaka hapo kwa ufupi mtakuwa mmeelewa kwamba mnaenda kudili na mtu wa namna gani na mnatakiwa kujiandaa kwa mazingira yapi" mheshimiwa alimaliza kutoa maelekezo hayo na kuizima hiyo projector ambayo ilikuwa mbele yao.
"Mkuu umesema kwamba huyo Dax alifeli kwenye kazi mbili ambapo tunaweza kusema ni asilimia arobaini ya mafunzo hayo na kwa asilimia hizo maana yake hakuwa akistahili kabisa kwenda kumlinda mheshimiwa raisi. Baadae tena ukasema kwamba kiongozi wake alitumia cheo chake kumsafisha sasa iliwezekanaje yeye kufanikiwa kuipata hiyo nafasi wakati hakustahili?" aliuliza kamanda mmoja akiwa na wasiwasi na maelezo ya kiongozi wake.
"Kuna mwingine mwenye swali?" Hakujibu swali la mwanaume huyo bali alihitaji swali lingine.
"Ndiyo mkuu. Nina maswali mawili, kwa maelezo yako inaonekana kwamba kijana huyo kuna kitu alifanyiwa je inajulikana sababu iliyo wazi kwamba kwanini alimuua raisi na huyo ambaye alimshuhudia aliwahi kuthibitisha wapi na kuhojiwa na nani na kueleza kwa undani kwamba ilikuwaje? swali la pili kama alikuwa ana tatizo na raisi na alifanikiwa kumuua sasa kwanini arudi tena saivi? nadhani kama lengo lilikuwa ni raisi alishakufa sasa why now?" wanaume hao walikuwa wanauliza maswali magumu sana kiasi kwamba kiongozi wao aliamua kutumia cheo chake kuweza kuwapatia amri.
"Sio kila jambo ambalo nalijua natakiwa kuwashirikisha ninyi, kuna mambo yanabakia kuwa siri za juu tu ambazo zinakuwa kwetu viongozi wa juu. Kama kuna mtu hataki kuifanya kazi hii na kuifuata amri yangu basi atoke humu ndani muda huu na asije akanilaumu hapo baadae" aliongea kwa ukali sana kiasi kwamba hata vijana wake walibaki wanamshangaa sana maana walikuwa wanauliza maswali ya kawaida ambayo kiuhalisia alitakiwa kuyajibu kiwepesi sana ila hawakuwa na cha kufanya, huyo alikuwa kiongozi wao walitakiwa kumheshimu sana maana angewafanya chochote kile ambacho angejisikia yeye. Baada ya kuona wapo kimya aliufungua mdomo wake tena.
"Kwa sasa tageti yake inaweza kuwa kwa Dax kwa sababu alikutana naye akamuacha hai hivyo huenda alimuacha ili aweze kuifikisha taarifa mahali husika ambapo alikuwa anapataka na baada ya hapo anaweza kumtafuta kumuua tena. Mnatakiwa kuwahi haraka huko na kama bado mtakuta kijana huyo ni mzima basi mnatakiwa kuwa naye karibu sana kwani mnaweza kumtumia kumpata mtu huyo na watu ambao watakuwa wapo nyuma yake na kama hayo yakishindikana basi itafuteni familia yake kwa namna yoyote ile mpaka muipate na hiyo itamleta popote pale ambapo mtamhitaji ila hakikisheni anapatikana akiwa mzima" alimaliza kutoa maelezo yake na kutoka ndani ya chumba hicho na kuwaacha wanaume hao kwenye maswali mengi sana ila walitakiwa kukifanya kile ambacho walikuwa wametumwa.
Wanaume hawakuwa na muda wa kupoteza wakati huo zaidi ya kuondoka usiku huo huo kwenda kwa Dax ili kujua kama alikuwa salama na kama haikuwa hivyo basi walitakiwa kuwa naye karibu muda wote kwani waliamini kwamba mtu wao angeanza na mtu huyo hivyo angewasaidia sana kuweza kumpata kirahisi mno ikiwa hawakujua hata kwamba kwa wakati huo alikuwa anaishi wapi.
Walichukua dakika tehalathini tu kutoka Kurasini mpaka kuingia ndani ya Magomeni, wanaume hao wa kazi, walikuwa na gari ya gharama sana ya kijeshi wakiwa ndani ya kombati zao. Walishuka hapo wakiwa na silaha kali sana lakini baada ya kukaribia getini mmoja wao aliwasimamisha wenzake na kusogea baada ya kuona kuna gari hapo na geti lilikuwa wazi, aliikoki silaha yake na kusogea zaidi na kushangazwa baada ya kuona kuna damu ilikuwa imesambaa sana kuanzia hapo getini, aligundua kwamba getini hapo kuna mtu shoka lilikuwa limeutenganisha mgongo wake na ndicho kilikuwa chanzo cha hizo damu ambazo zilikuwa hapo.
Mbele yake ilikuwa inaonekana miili ya vijana ambao bila shaka alikuwa na uhakika kwamba walukuwa ni walinzi wa kijana huyo. Aliangaza kila sehemu mpaka alipoona kuna mtu ameegamia ukuta, alisogea hapo na kushangazwa na namna mtu huyo alivyokuwa amefanyiwa ukatili wa kutisha sana namna hiyo. Mwili ulikuwa umegawanywa vibaya sana huku ukiwa kipande tu na mwanaume huyo ambaye alikufa alikuwa ameishika bastola yake mkononi kuonyesha kabisa kwamba hata uhai huo alijitoa yeye mwenyewe.
"It's too late brothers" aliongea kwa sauti kidogo ili wenzake wamsikie kule nje ambako walikuwepo ili waweze kuingia ndani wakati huo yeye aliendelea kumkagua mwanaume huyo kwenye mwili wake kuweza kujua kama kulikuwa na kitu chochote lakini alifanikiwa kuona kitu kimoja tu pekee, picha ya mama na mwana na bila shaka walikuwa ni familia yake.
"Mhhhhhh huyu si ndo bwana mdogo ambaye tulitakiwa kuonana naye hapa?" aliongea komando mmoja ambaye kiumri alikuwa mkubwa kuliko wenzake wote.
"Ndiye mwenyewe anaitwa Karistus Dickson"
"Sijawahi kuona mtu anauawa kikatili sana namna hii, hata kama binadamu amekukosea vipi lakini hautakiwi kabisa kufikia hatua ya kuwa katili sana kiasi hiki inakuwa ni hatari sana kwenye dunia hii ambayo vinaishi viumbe dhaifu vingi sana kuliko wanadamu wenye roho kama hizi"
"Usilaumu tu mtu kuweza kuuawa namna hii bali unatakiwa kuelewa sababu ambayo imefanya mpaka akauawa namna hii. Muda mwingine wanadamu huwa wanalaumiwa bure kwa sababu huwa wanamaliza michezo ila kiuhalisia unakuta anayetakiwa kulaumiwa ni yule ambaye anaanza bahati mbaya sana hakuna ambaye huwa anakuwepo wakati mwanzishaji anafanya ujinga"
"Hata kama umefanyiwa jambo gani baya ila hautakiwi kufikia kwenye hatua kama hii. Haya mauaji hata magaidi huwa wanayakemea kwa sababu yapo nje kabisa na ubinadamu wa kawaida. Mtu mwenye moyo wa kawaida hawezi kufanya mauaji kama haya bali huyu anakuwa amevuka hiyo hatua na kufikia lile kundi la wauaji, hawa mara nyingi wakikutokea kwenye maisha yako hakuna namna unaweza kupona kama ukishindwa kuyaokoa maisha yako. Sidhani kama kulikuwa na hali ya kawaida kati yao hawa wawili ila nadhani ni lazima kulikuwa na tatizo kati yao wawili, hawa ni watu ambao muda mwingi wameishi pamoja mafunzoni hivyo mpaka wanaanza kuuana namna hii basi kuna jambo na sio bure"
"Hiyo sio kazi yetu kujua nani alimfanya nini nani bali tunatakia kutimiza kile ambacho kipo mbele yetu. Huyu mtu bado ni wa moto sana kuonyesha kwamba ameuliwa muda sio mrefu hivyo hata muuaji pia atakuwa hayupo mbali sana na eneo hili au kutoka hapa hivyo tunaweza kucheza mchezo wa pata potea tukafanikiwa kumpata"
"Unadhani tutampataje mtu ambaye anaua namna hii na usiku wote wa manane huu?'
"Nimeipata picha kwenye mfuko wa Dax ambayo inaonyesha kabisa kwamba ni familia yake yaani mke na mtoto hivyo kama muuaji alidhamiria kuimaliza familia nzima ya huyu mtu hawezi kuwaacha mama na mtoto ni lazima awatafute na hawa na mpaka anawaua maana yake ana taarifa zao zote"
"Unamaanisha nini?"
"Nyuma ya hii picha kuna namba ya nyumba ambayo bila shaka ndipo ilipo familia hii. Ni miongoni mwa nyumba ambazo zilidaiwa kutumiwa na majasusi hapo zamani ila serikali ilikuja kuzibinafsisha baadae ikaonekana kwamba zimenunuliwa na watu wa kawaida sasa sijajua huyu naye ilikuwaje ila inaonekana ni nyumba yenyewe"
"Inawezekana kwa sababu hata huyu alikuwa ni miongoni mwa hao watu ambao wamewahi kuifanya hizo shughuli na labda baadae walikuja kupewa kama zawadi hivyo hatutakiwi kujiuliza sana kuhusu hilo ila swali langu ni kwamba hayo yote wewe uliyajuaje?"
"Mhhhhhh Deo, kila kitu kwenye maisha kina sababu zake za msingi sana, nimefanya kazi nyingi sana kiasi kwamba nilijaribu sana kufahamiana na watu wengi mno kwani sikujua kwamba ni yupi ningemhitaji kwa baadae. Nilifanikiwa kumpata mwanamke mmoja ambaye alikuwa ni shushushu ndiye ambaye aliwahi kunipa baadhi ya hizi taarifa japo hakuwahi kunipa undani wake nadhani umeelewa nimefanikiwaje kuzijua taarifa za aina hii"
72 inafika mwisho.
 
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+

Episode 73
"Inapatikana wapi hiyo nyumba?"
"Ipo Masaki"
"Tugawane hapa, watatu waende kuupeleka huu mwili kwa mheshimiwa na wanne tuwahi haraka sana huko Masaki tuone kama tunaweza kuwahi" wanaume walikubaliana kufanya hivyo kwahiyo watatu waliondoka na mwili wa Dax kwenye kumpelekea bosi wao kisha wanne wakashika njia ya kuelekea Masaki kwa kutumia gari ambayo waliikuta hapo nje kwa Max. wanaume hao walikuwa kwenye mwendo mkali sana na baada ya dakika ishirini tu walifanikiwa kuingia ndani ya eneo hilo na kuanza kuangaza sehemu ambapo wangeipata nyumba ambayo walikuwa wameilenga.
Baada ya kufika kwenye jengo hilo la kifahari walishangaa baada ya kukuta geti lipo wazi, waliingia kwa mahesabu makali sana baada ya kujua kwamba huenda mtu wao alikuwa amewahi eneo hilo tayari. Baada ya kuingia ndani, walinzi wote walikuwa wameuawa kikatili sana kiasi kwamba ilikuwa ni ngumu kabisa hata kuweza kuwatazama.
Wanaume hao waliingia mpaka ndani na kushangaa sana kitu ambacho walikuwa wanakiona mbele yao, chumba kimoja kilikuwa kimefungwa ndani lakini chumba kingine kilikuwa wazi kabisa. Walisogea kwenye chumba hicho na kukuta kimevurugika vibaya sana hali ambayo ilionyesha kwamba muda mfupi ambao ulikuwa umepita mahali hapo hapakuwa salama sana kuna shambulio lilifanyika. Dirisha lilikuwa wazi kabisa hivyo wakapeana ishara wawili wapitie mlangoni na wawili wakapitia dirishani hapo na kutua upande wa pili wakiwa ndani ya kombati zao za jeshi.
Karibu na ukuta wa geti sehemu ambayo ilikuwa na mnazi mmoja na nyasi za gharama sana ambazo zilikuwa zinavutia sana palichakaa kwa damu ambayo ilisambaa hapo hivyo wakaanza kuifuata damu hiyo taratibu kuweza kujua mahali ambapo ilikuwa imeishia na damu hiyo iliwapeleka mpaka kwenye bwana la kuogelea ambapo baada ya kukaribia na kukutana na wale wengine wawili ambao walipitia mlangoni waliona mwili wa mwanamke unaelea kwenye maji hayo.
Walifanikiwa kuupata mwili huo na kuusogeza karibu, ulikuwa umezamishiwa kisu kwenye moyo.
"Huyu mwanamke ndo yule wa kwenye picha, nakumbuka huyu aliwahi kufanya kazi pale Ikulu kama katibu wa mheshimiwa raisi Teodensia Mpanzi, niliwahi kumuona mara kadhaa wakati ule nimekamilisha mafunzo ya ukomando"
"Haiwezi kuwa bure lazima kuna kitu hapa, haiwezekani awe anaua tu watu ambao wanahusaina na tukio lile lile. Mtafute mtoto haraka sana kisha tumtafute kabla hajasababisha matatizo makubwa kwa watu wengine inaweza kuwa hatari sana kama mtu huyu akiachwa aweze kufanya kile ambacho anajisikia yeye" Mwanaume mmoja aliongea akiwa anasimama na kuiweka silaha yake kiunoni na kuinuka lakini alishtuka sana baada ya kuisikia sauti nzito sana kutoka juu ya paa la nyumba hiyo ya mtu ambaye alikuwa na nguo nyeusi na buti zito sana jeusi ambalo lilionekana kwa msaada mkubwa sana wa taa ambazo zilikuwa zimezunguka kwenye kuta za jengo hilo.
"Vipi mnahangaika kunitafuta mimi?" ilikuwa ni sauti ya Max mwenyewe, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza watu hao wanaonana na mtu ambaye walipewa kazi ya kumtafuta kwa gharama yoyote ile ana kwa ana na hakuonekana kabisa kutaka kuwakimbia hivyo walipaswa kuzungumza vizuri kati ya Donny na wanaume wa kazi wanne ambao walikuwa mbele yake huku James akiwa hajulikani kwamba kwa wakati huo alikuwa wapi.
Wakati ambao Donny na James walikuwa wanatoka nyumbani kwa Dax walipishana sehemu ndogo sana na makomando ambao walitumwa pale na mkuu a majeshi lakini wnaume hao wawili walikuwa wameacha kamera moja eneo lile ili kujua kile amacho ningeendelea baada ya wao kuweza kuondoka. Zilipita dakika chache sana eneo lile kufikiwa na wanaume saba ambao walikuwa kwenye kombati nzito sana za jeshi na kuwashtua sana watu hao wawili ambao walikuwa kwenye gari kuelekea Masaki nyumbani kwa Dax ambako alikuwa amemficha mkewe na mwanae, mwanamke ambaye miaka kumi na miwili iliyokuwa imepita aliwahi kufanya kazi ndani ya Ikulu naye alichangia pakubwa sana kuiteketeza Ikulu kwa taarifa ambazo alikuwa anampatia mpenzi wake Karistus waweza kumuita Dax au 002 juu ya raisi Teo.
"Wameweza vipi kujua kama wakati huu tutakuwa huku?" Max aliuliza swali lake akiwa anamwangalia James kwa mshangao mkubwa sana.
"Mpaka hapa ina maana wana taarifa kutuhusu au kumhusu mmoja wetu kati yetu. Kwa miaka ambayo nilifanya kazi kama komando nina uzoefu sana na hii hali, makomando hawawezi kutoka kwa pamoja kundi zima au kuagizwa sehemu ambayo hawana uhakika nayo kama ni hivyo basi wanajua jambo ndiyo maana moja kwa moja wameweza kuja eneo lile na kama tungechelewa hata kidogo tu basi walikuwa wanatukuta pale na ingekuwa hatari sana"
"Ooooh shiiiit! James naomba wahi haraka sana nyumbani mimi nikamalize kazi hii kisha sio muda sana narudi nyumbani. Kama wamefanikiwa kujua mahali ambapo tulikuwepo wakati huu kuna uwezekano wakafahamu ni wapi ambapo tunaweza kuwepo. ukifika ondoka na familia haraka kisha mimi nitakutafuta mwenyewe" Max aliongea kama mtu ambaye alishtukia jambo, alihisi kama kuna kosa mahali walilifanya ambalo lilianza kuutambulisha ulimwengu walichokuwa wanakifanya na mahali ambapo walikuwepo.
"Na zile nyaraka?"
"Hakuna mtu ambaye anaweza kuziona nilipoziweka, niache hapa hapa sio mbali na ninapoenda wewe wahi haraka na gari" alishuka kwenye gari kwa kasi ya ajabu na kumpisha komando huyo aweze kuondoka. James aliamua kujitoa kila kitu kwa ajili ya Max, licha ya yeye kuwa komando mkubwa sana kwa maagizo ambayo aliweza kuachiwa alimheshimu mwanaume huyo kama bosi wake kwani ndiye alikuwa mhimu sana kwenye kuukamilisha mpango huo ndiyo maana alikuwa tayari kusubiri kwa miaka kumi na miwili.
Ni kweli James aligeuza gari yake kwa kasi kuweza kuelekea kwenye jumba la kifahari ambalo walikuwa wamefikia, jumba ambalo lilikuwa linalindwa na wanaume kumi ambao aliwatafuta yeye mwenyewe huku mwanaume akienda kuikamilisha kazi yake. Makomando ambao walitumwa kuupeleka mwili wa Dax wakiwa njiani walipiga simu kwa kiongozi wao kumpa taarifa kabisa kwamba mambo yalikuwa yameharibika na mtu wao alikutwa ameuawa na muuaji akiwa ametoweka lakini walikuwa na hisia juu ya eneo ambalo alikuwa anaelekea hivyo kuna wanne walikuwa wameenda huko.
Mkuu wa majeshi alichukizwa sana na taarifa hiyo kwani alikuwa anatamani sana kuweza kupata ujiko kutoka kwa mabosi zake. Aliikata simu hiyo kwa hasira sana usiku huo huo na kumtafuta Denis Kijazo.
"Kiongozi pole sana kwa kukuamsha na usiku"
"Unaweza ukanipa taarifa nzuri bwana Steven"
"Dax amekutwa ameuawa tayari wakati makomando wanafika pale muuaji alikuwa amekamilisha kazi yake na kuondoka"
"Nini?"
"Ndiyo mheshimiwa inaonekana kwamba kuna hatua alikuwa ametuzidi kwenye mahesabu ila kuna mahali saivi anahisiwa kwamba ameenda kuna makomando wanaelekea huko na kama kweli atakuwa huko basi kuanzia nusu saa ijayo atakuwa kwenye mkono wetu"
"Mhhhhh siamini kama wote sasa mnaanza kushindwa kazi ya kumkamata mtu mmoja tu pekee, hii ni aibu kubwa sana. Nakurudia" Denis Kijazo aliongea akiwa amefura kwa hasira maana habari hiyo ilikuwa ni mbaya sana kwake, kijana huyo alikuwa ni mhimu na alikuwa akimtumia kwenye kazi zake chafu sana hivyo kupotea kwake haikuwa ishara nzuri sana kwenye majukumu yake ya kila siku.
Denis Kijazo baada ya kuikata simu yake, aliipiga mahali ambapo aliona ni mhimu sana kwa wakati huo, aliipiga simu hiyo kwa mwanaume ambaye alikuwa anamuamini sana kuliko vijana wake wote. Simu ilikuwa ni kwenda kwa Ted, na wakati anapigiwa simu hiyo mwanaume alikuwa juu ya kiuno cha mwanamke akimwaga radhi za dunia, alikuwa sayari nyingine ambayo huwa inauchukua ufahamu wote wa mwanadamu na kumfanya ahisi duniani aliletwa kwa ajili ya kuifanya kazi hiyo. Mwanaume huyo akiwa anaunguruma juu ya kiuno cha mwanamke ambaye alikuwa amemzalia mtoto mmoja bila mwanamke huyo kujua kama mwanaume huyo alikuwa anamchanganya yeye na mama yake. Huyo alikuwa ni mtoto wa mwandishi Dawson Nduka, mwandishi ambaye alikuwa amejiponza na kuiponza nfamilia yake kwa kuandika mambo ambayo alizuiwa sana kuyaweka hadharani, kuandika kwake kitabu cha MAITI INAYO ONGEA ndiko kulileta majanga yote hayo.
Ted alishtuka sana kwa namna simu ilivyokuwa inaitwa kwa fujo, alitaka kuipotezea lakini aliangalia saa yake na kugundua kamba kwa muda huo mpaka anapigiwa basi kulikuwa na dharura ya mhimu sana hivyo aliisogelea simu hiyo na baada ya kuona namba ya mpigaji alishtuka sana hali ambayo ilimfanya kujifunga taulo na kuibeba simu hiyo kwenda nje akionekana wazi kabisa hakutaka mwanamke huyo aweze kushtukia jambo lolote lile.
"Naam bosi"
"Unawaza ngono tu mpuuzi wewe, nimekupa kazi mpaka saivi hakuna majibu yoyote yale kijana wangu mmoja kafa. Hivi ninavyo ongea na wewe ukiwa unakula starehe zako huko uliko Dax ameuawa muda sio mrefu sikuelewi unawaza nini mpaka sasa. Nakupa masaa kumi na mawili tu huyu mtu awe kwenye mkono wangu"

73 inafika mwisho.
 
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+

Episode 73
"Inapatikana wapi hiyo nyumba?"
"Ipo Masaki"
"Tugawane hapa, watatu waende kuupeleka huu mwili kwa mheshimiwa na wanne tuwahi haraka sana huko Masaki tuone kama tunaweza kuwahi" wanaume walikubaliana kufanya hivyo kwahiyo watatu waliondoka na mwili wa Dax kwenye kumpelekea bosi wao kisha wanne wakashika njia ya kuelekea Masaki kwa kutumia gari ambayo waliikuta hapo nje kwa Max. wanaume hao walikuwa kwenye mwendo mkali sana na baada ya dakika ishirini tu walifanikiwa kuingia ndani ya eneo hilo na kuanza kuangaza sehemu ambapo wangeipata nyumba ambayo walikuwa wameilenga.
Baada ya kufika kwenye jengo hilo la kifahari walishangaa baada ya kukuta geti lipo wazi, waliingia kwa mahesabu makali sana baada ya kujua kwamba huenda mtu wao alikuwa amewahi eneo hilo tayari. Baada ya kuingia ndani, walinzi wote walikuwa wameuawa kikatili sana kiasi kwamba ilikuwa ni ngumu kabisa hata kuweza kuwatazama.
Wanaume hao waliingia mpaka ndani na kushangaa sana kitu ambacho walikuwa wanakiona mbele yao, chumba kimoja kilikuwa kimefungwa ndani lakini chumba kingine kilikuwa wazi kabisa. Walisogea kwenye chumba hicho na kukuta kimevurugika vibaya sana hali ambayo ilionyesha kwamba muda mfupi ambao ulikuwa umepita mahali hapo hapakuwa salama sana kuna shambulio lilifanyika. Dirisha lilikuwa wazi kabisa hivyo wakapeana ishara wawili wapitie mlangoni na wawili wakapitia dirishani hapo na kutua upande wa pili wakiwa ndani ya kombati zao za jeshi.
Karibu na ukuta wa geti sehemu ambayo ilikuwa na mnazi mmoja na nyasi za gharama sana ambazo zilikuwa zinavutia sana palichakaa kwa damu ambayo ilisambaa hapo hivyo wakaanza kuifuata damu hiyo taratibu kuweza kujua mahali ambapo ilikuwa imeishia na damu hiyo iliwapeleka mpaka kwenye bwana la kuogelea ambapo baada ya kukaribia na kukutana na wale wengine wawili ambao walipitia mlangoni waliona mwili wa mwanamke unaelea kwenye maji hayo.
Walifanikiwa kuupata mwili huo na kuusogeza karibu, ulikuwa umezamishiwa kisu kwenye moyo.
"Huyu mwanamke ndo yule wa kwenye picha, nakumbuka huyu aliwahi kufanya kazi pale Ikulu kama katibu wa mheshimiwa raisi Teodensia Mpanzi, niliwahi kumuona mara kadhaa wakati ule nimekamilisha mafunzo ya ukomando"
"Haiwezi kuwa bure lazima kuna kitu hapa, haiwezekani awe anaua tu watu ambao wanahusaina na tukio lile lile. Mtafute mtoto haraka sana kisha tumtafute kabla hajasababisha matatizo makubwa kwa watu wengine inaweza kuwa hatari sana kama mtu huyu akiachwa aweze kufanya kile ambacho anajisikia yeye" Mwanaume mmoja aliongea akiwa anasimama na kuiweka silaha yake kiunoni na kuinuka lakini alishtuka sana baada ya kuisikia sauti nzito sana kutoka juu ya paa la nyumba hiyo ya mtu ambaye alikuwa na nguo nyeusi na buti zito sana jeusi ambalo lilionekana kwa msaada mkubwa sana wa taa ambazo zilikuwa zimezunguka kwenye kuta za jengo hilo.
"Vipi mnahangaika kunitafuta mimi?" ilikuwa ni sauti ya Max mwenyewe, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza watu hao wanaonana na mtu ambaye walipewa kazi ya kumtafuta kwa gharama yoyote ile ana kwa ana na hakuonekana kabisa kutaka kuwakimbia hivyo walipaswa kuzungumza vizuri kati ya Donny na wanaume wa kazi wanne ambao walikuwa mbele yake huku James akiwa hajulikani kwamba kwa wakati huo alikuwa wapi.
Wakati ambao Donny na James walikuwa wanatoka nyumbani kwa Dax walipishana sehemu ndogo sana na makomando ambao walitumwa pale na mkuu a majeshi lakini wnaume hao wawili walikuwa wameacha kamera moja eneo lile ili kujua kile amacho ningeendelea baada ya wao kuweza kuondoka. Zilipita dakika chache sana eneo lile kufikiwa na wanaume saba ambao walikuwa kwenye kombati nzito sana za jeshi na kuwashtua sana watu hao wawili ambao walikuwa kwenye gari kuelekea Masaki nyumbani kwa Dax ambako alikuwa amemficha mkewe na mwanae, mwanamke ambaye miaka kumi na miwili iliyokuwa imepita aliwahi kufanya kazi ndani ya Ikulu naye alichangia pakubwa sana kuiteketeza Ikulu kwa taarifa ambazo alikuwa anampatia mpenzi wake Karistus waweza kumuita Dax au 002 juu ya raisi Teo.
"Wameweza vipi kujua kama wakati huu tutakuwa huku?" Max aliuliza swali lake akiwa anamwangalia James kwa mshangao mkubwa sana.
"Mpaka hapa ina maana wana taarifa kutuhusu au kumhusu mmoja wetu kati yetu. Kwa miaka ambayo nilifanya kazi kama komando nina uzoefu sana na hii hali, makomando hawawezi kutoka kwa pamoja kundi zima au kuagizwa sehemu ambayo hawana uhakika nayo kama ni hivyo basi wanajua jambo ndiyo maana moja kwa moja wameweza kuja eneo lile na kama tungechelewa hata kidogo tu basi walikuwa wanatukuta pale na ingekuwa hatari sana"
"Ooooh shiiiit! James naomba wahi haraka sana nyumbani mimi nikamalize kazi hii kisha sio muda sana narudi nyumbani. Kama wamefanikiwa kujua mahali ambapo tulikuwepo wakati huu kuna uwezekano wakafahamu ni wapi ambapo tunaweza kuwepo. ukifika ondoka na familia haraka kisha mimi nitakutafuta mwenyewe" Max aliongea kama mtu ambaye alishtukia jambo, alihisi kama kuna kosa mahali walilifanya ambalo lilianza kuutambulisha ulimwengu walichokuwa wanakifanya na mahali ambapo walikuwepo.
"Na zile nyaraka?"
"Hakuna mtu ambaye anaweza kuziona nilipoziweka, niache hapa hapa sio mbali na ninapoenda wewe wahi haraka na gari" alishuka kwenye gari kwa kasi ya ajabu na kumpisha komando huyo aweze kuondoka. James aliamua kujitoa kila kitu kwa ajili ya Max, licha ya yeye kuwa komando mkubwa sana kwa maagizo ambayo aliweza kuachiwa alimheshimu mwanaume huyo kama bosi wake kwani ndiye alikuwa mhimu sana kwenye kuukamilisha mpango huo ndiyo maana alikuwa tayari kusubiri kwa miaka kumi na miwili.
Ni kweli James aligeuza gari yake kwa kasi kuweza kuelekea kwenye jumba la kifahari ambalo walikuwa wamefikia, jumba ambalo lilikuwa linalindwa na wanaume kumi ambao aliwatafuta yeye mwenyewe huku mwanaume akienda kuikamilisha kazi yake. Makomando ambao walitumwa kuupeleka mwili wa Dax wakiwa njiani walipiga simu kwa kiongozi wao kumpa taarifa kabisa kwamba mambo yalikuwa yameharibika na mtu wao alikutwa ameuawa na muuaji akiwa ametoweka lakini walikuwa na hisia juu ya eneo ambalo alikuwa anaelekea hivyo kuna wanne walikuwa wameenda huko.
Mkuu wa majeshi alichukizwa sana na taarifa hiyo kwani alikuwa anatamani sana kuweza kupata ujiko kutoka kwa mabosi zake. Aliikata simu hiyo kwa hasira sana usiku huo huo na kumtafuta Denis Kijazo.
"Kiongozi pole sana kwa kukuamsha na usiku"
"Unaweza ukanipa taarifa nzuri bwana Steven"
"Dax amekutwa ameuawa tayari wakati makomando wanafika pale muuaji alikuwa amekamilisha kazi yake na kuondoka"
"Nini?"
"Ndiyo mheshimiwa inaonekana kwamba kuna hatua alikuwa ametuzidi kwenye mahesabu ila kuna mahali saivi anahisiwa kwamba ameenda kuna makomando wanaelekea huko na kama kweli atakuwa huko basi kuanzia nusu saa ijayo atakuwa kwenye mkono wetu"
"Mhhhhh siamini kama wote sasa mnaanza kushindwa kazi ya kumkamata mtu mmoja tu pekee, hii ni aibu kubwa sana. Nakurudia" Denis Kijazo aliongea akiwa amefura kwa hasira maana habari hiyo ilikuwa ni mbaya sana kwake, kijana huyo alikuwa ni mhimu na alikuwa akimtumia kwenye kazi zake chafu sana hivyo kupotea kwake haikuwa ishara nzuri sana kwenye majukumu yake ya kila siku.
Denis Kijazo baada ya kuikata simu yake, aliipiga mahali ambapo aliona ni mhimu sana kwa wakati huo, aliipiga simu hiyo kwa mwanaume ambaye alikuwa anamuamini sana kuliko vijana wake wote. Simu ilikuwa ni kwenda kwa Ted, na wakati anapigiwa simu hiyo mwanaume alikuwa juu ya kiuno cha mwanamke akimwaga radhi za dunia, alikuwa sayari nyingine ambayo huwa inauchukua ufahamu wote wa mwanadamu na kumfanya ahisi duniani aliletwa kwa ajili ya kuifanya kazi hiyo. Mwanaume huyo akiwa anaunguruma juu ya kiuno cha mwanamke ambaye alikuwa amemzalia mtoto mmoja bila mwanamke huyo kujua kama mwanaume huyo alikuwa anamchanganya yeye na mama yake. Huyo alikuwa ni mtoto wa mwandishi Dawson Nduka, mwandishi ambaye alikuwa amejiponza na kuiponza nfamilia yake kwa kuandika mambo ambayo alizuiwa sana kuyaweka hadharani, kuandika kwake kitabu cha MAITI INAYO ONGEA ndiko kulileta majanga yote hayo.
Ted alishtuka sana kwa namna simu ilivyokuwa inaitwa kwa fujo, alitaka kuipotezea lakini aliangalia saa yake na kugundua kamba kwa muda huo mpaka anapigiwa basi kulikuwa na dharura ya mhimu sana hivyo aliisogelea simu hiyo na baada ya kuona namba ya mpigaji alishtuka sana hali ambayo ilimfanya kujifunga taulo na kuibeba simu hiyo kwenda nje akionekana wazi kabisa hakutaka mwanamke huyo aweze kushtukia jambo lolote lile.
"Naam bosi"
"Unawaza ngono tu mpuuzi wewe, nimekupa kazi mpaka saivi hakuna majibu yoyote yale kijana wangu mmoja kafa. Hivi ninavyo ongea na wewe ukiwa unakula starehe zako huko uliko Dax ameuawa muda sio mrefu sikuelewi unawaza nini mpaka sasa. Nakupa masaa kumi na mawili tu huyu mtu awe kwenye mkono wangu"

73 inafika mwisho.
Super 💪
 
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+

Episode 73
"Inapatikana wapi hiyo nyumba?"
"Ipo Masaki"
"Tugawane hapa, watatu waende kuupeleka huu mwili kwa mheshimiwa na wanne tuwahi haraka sana huko Masaki tuone kama tunaweza kuwahi" wanaume walikubaliana kufanya hivyo kwahiyo watatu waliondoka na mwili wa Dax kwenye kumpelekea bosi wao kisha wanne wakashika njia ya kuelekea Masaki kwa kutumia gari ambayo waliikuta hapo nje kwa Max. wanaume hao walikuwa kwenye mwendo mkali sana na baada ya dakika ishirini tu walifanikiwa kuingia ndani ya eneo hilo na kuanza kuangaza sehemu ambapo wangeipata nyumba ambayo walikuwa wameilenga.
Baada ya kufika kwenye jengo hilo la kifahari walishangaa baada ya kukuta geti lipo wazi, waliingia kwa mahesabu makali sana baada ya kujua kwamba huenda mtu wao alikuwa amewahi eneo hilo tayari. Baada ya kuingia ndani, walinzi wote walikuwa wameuawa kikatili sana kiasi kwamba ilikuwa ni ngumu kabisa hata kuweza kuwatazama.
Wanaume hao waliingia mpaka ndani na kushangaa sana kitu ambacho walikuwa wanakiona mbele yao, chumba kimoja kilikuwa kimefungwa ndani lakini chumba kingine kilikuwa wazi kabisa. Walisogea kwenye chumba hicho na kukuta kimevurugika vibaya sana hali ambayo ilionyesha kwamba muda mfupi ambao ulikuwa umepita mahali hapo hapakuwa salama sana kuna shambulio lilifanyika. Dirisha lilikuwa wazi kabisa hivyo wakapeana ishara wawili wapitie mlangoni na wawili wakapitia dirishani hapo na kutua upande wa pili wakiwa ndani ya kombati zao za jeshi.
Karibu na ukuta wa geti sehemu ambayo ilikuwa na mnazi mmoja na nyasi za gharama sana ambazo zilikuwa zinavutia sana palichakaa kwa damu ambayo ilisambaa hapo hivyo wakaanza kuifuata damu hiyo taratibu kuweza kujua mahali ambapo ilikuwa imeishia na damu hiyo iliwapeleka mpaka kwenye bwana la kuogelea ambapo baada ya kukaribia na kukutana na wale wengine wawili ambao walipitia mlangoni waliona mwili wa mwanamke unaelea kwenye maji hayo.
Walifanikiwa kuupata mwili huo na kuusogeza karibu, ulikuwa umezamishiwa kisu kwenye moyo.
"Huyu mwanamke ndo yule wa kwenye picha, nakumbuka huyu aliwahi kufanya kazi pale Ikulu kama katibu wa mheshimiwa raisi Teodensia Mpanzi, niliwahi kumuona mara kadhaa wakati ule nimekamilisha mafunzo ya ukomando"
"Haiwezi kuwa bure lazima kuna kitu hapa, haiwezekani awe anaua tu watu ambao wanahusaina na tukio lile lile. Mtafute mtoto haraka sana kisha tumtafute kabla hajasababisha matatizo makubwa kwa watu wengine inaweza kuwa hatari sana kama mtu huyu akiachwa aweze kufanya kile ambacho anajisikia yeye" Mwanaume mmoja aliongea akiwa anasimama na kuiweka silaha yake kiunoni na kuinuka lakini alishtuka sana baada ya kuisikia sauti nzito sana kutoka juu ya paa la nyumba hiyo ya mtu ambaye alikuwa na nguo nyeusi na buti zito sana jeusi ambalo lilionekana kwa msaada mkubwa sana wa taa ambazo zilikuwa zimezunguka kwenye kuta za jengo hilo.
"Vipi mnahangaika kunitafuta mimi?" ilikuwa ni sauti ya Max mwenyewe, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza watu hao wanaonana na mtu ambaye walipewa kazi ya kumtafuta kwa gharama yoyote ile ana kwa ana na hakuonekana kabisa kutaka kuwakimbia hivyo walipaswa kuzungumza vizuri kati ya Donny na wanaume wa kazi wanne ambao walikuwa mbele yake huku James akiwa hajulikani kwamba kwa wakati huo alikuwa wapi.
Wakati ambao Donny na James walikuwa wanatoka nyumbani kwa Dax walipishana sehemu ndogo sana na makomando ambao walitumwa pale na mkuu a majeshi lakini wnaume hao wawili walikuwa wameacha kamera moja eneo lile ili kujua kile amacho ningeendelea baada ya wao kuweza kuondoka. Zilipita dakika chache sana eneo lile kufikiwa na wanaume saba ambao walikuwa kwenye kombati nzito sana za jeshi na kuwashtua sana watu hao wawili ambao walikuwa kwenye gari kuelekea Masaki nyumbani kwa Dax ambako alikuwa amemficha mkewe na mwanae, mwanamke ambaye miaka kumi na miwili iliyokuwa imepita aliwahi kufanya kazi ndani ya Ikulu naye alichangia pakubwa sana kuiteketeza Ikulu kwa taarifa ambazo alikuwa anampatia mpenzi wake Karistus waweza kumuita Dax au 002 juu ya raisi Teo.
"Wameweza vipi kujua kama wakati huu tutakuwa huku?" Max aliuliza swali lake akiwa anamwangalia James kwa mshangao mkubwa sana.
"Mpaka hapa ina maana wana taarifa kutuhusu au kumhusu mmoja wetu kati yetu. Kwa miaka ambayo nilifanya kazi kama komando nina uzoefu sana na hii hali, makomando hawawezi kutoka kwa pamoja kundi zima au kuagizwa sehemu ambayo hawana uhakika nayo kama ni hivyo basi wanajua jambo ndiyo maana moja kwa moja wameweza kuja eneo lile na kama tungechelewa hata kidogo tu basi walikuwa wanatukuta pale na ingekuwa hatari sana"
"Ooooh shiiiit! James naomba wahi haraka sana nyumbani mimi nikamalize kazi hii kisha sio muda sana narudi nyumbani. Kama wamefanikiwa kujua mahali ambapo tulikuwepo wakati huu kuna uwezekano wakafahamu ni wapi ambapo tunaweza kuwepo. ukifika ondoka na familia haraka kisha mimi nitakutafuta mwenyewe" Max aliongea kama mtu ambaye alishtukia jambo, alihisi kama kuna kosa mahali walilifanya ambalo lilianza kuutambulisha ulimwengu walichokuwa wanakifanya na mahali ambapo walikuwepo.
"Na zile nyaraka?"
"Hakuna mtu ambaye anaweza kuziona nilipoziweka, niache hapa hapa sio mbali na ninapoenda wewe wahi haraka na gari" alishuka kwenye gari kwa kasi ya ajabu na kumpisha komando huyo aweze kuondoka. James aliamua kujitoa kila kitu kwa ajili ya Max, licha ya yeye kuwa komando mkubwa sana kwa maagizo ambayo aliweza kuachiwa alimheshimu mwanaume huyo kama bosi wake kwani ndiye alikuwa mhimu sana kwenye kuukamilisha mpango huo ndiyo maana alikuwa tayari kusubiri kwa miaka kumi na miwili.
Ni kweli James aligeuza gari yake kwa kasi kuweza kuelekea kwenye jumba la kifahari ambalo walikuwa wamefikia, jumba ambalo lilikuwa linalindwa na wanaume kumi ambao aliwatafuta yeye mwenyewe huku mwanaume akienda kuikamilisha kazi yake. Makomando ambao walitumwa kuupeleka mwili wa Dax wakiwa njiani walipiga simu kwa kiongozi wao kumpa taarifa kabisa kwamba mambo yalikuwa yameharibika na mtu wao alikutwa ameuawa na muuaji akiwa ametoweka lakini walikuwa na hisia juu ya eneo ambalo alikuwa anaelekea hivyo kuna wanne walikuwa wameenda huko.
Mkuu wa majeshi alichukizwa sana na taarifa hiyo kwani alikuwa anatamani sana kuweza kupata ujiko kutoka kwa mabosi zake. Aliikata simu hiyo kwa hasira sana usiku huo huo na kumtafuta Denis Kijazo.
"Kiongozi pole sana kwa kukuamsha na usiku"
"Unaweza ukanipa taarifa nzuri bwana Steven"
"Dax amekutwa ameuawa tayari wakati makomando wanafika pale muuaji alikuwa amekamilisha kazi yake na kuondoka"
"Nini?"
"Ndiyo mheshimiwa inaonekana kwamba kuna hatua alikuwa ametuzidi kwenye mahesabu ila kuna mahali saivi anahisiwa kwamba ameenda kuna makomando wanaelekea huko na kama kweli atakuwa huko basi kuanzia nusu saa ijayo atakuwa kwenye mkono wetu"
"Mhhhhh siamini kama wote sasa mnaanza kushindwa kazi ya kumkamata mtu mmoja tu pekee, hii ni aibu kubwa sana. Nakurudia" Denis Kijazo aliongea akiwa amefura kwa hasira maana habari hiyo ilikuwa ni mbaya sana kwake, kijana huyo alikuwa ni mhimu na alikuwa akimtumia kwenye kazi zake chafu sana hivyo kupotea kwake haikuwa ishara nzuri sana kwenye majukumu yake ya kila siku.
Denis Kijazo baada ya kuikata simu yake, aliipiga mahali ambapo aliona ni mhimu sana kwa wakati huo, aliipiga simu hiyo kwa mwanaume ambaye alikuwa anamuamini sana kuliko vijana wake wote. Simu ilikuwa ni kwenda kwa Ted, na wakati anapigiwa simu hiyo mwanaume alikuwa juu ya kiuno cha mwanamke akimwaga radhi za dunia, alikuwa sayari nyingine ambayo huwa inauchukua ufahamu wote wa mwanadamu na kumfanya ahisi duniani aliletwa kwa ajili ya kuifanya kazi hiyo. Mwanaume huyo akiwa anaunguruma juu ya kiuno cha mwanamke ambaye alikuwa amemzalia mtoto mmoja bila mwanamke huyo kujua kama mwanaume huyo alikuwa anamchanganya yeye na mama yake. Huyo alikuwa ni mtoto wa mwandishi Dawson Nduka, mwandishi ambaye alikuwa amejiponza na kuiponza nfamilia yake kwa kuandika mambo ambayo alizuiwa sana kuyaweka hadharani, kuandika kwake kitabu cha MAITI INAYO ONGEA ndiko kulileta majanga yote hayo.
Ted alishtuka sana kwa namna simu ilivyokuwa inaitwa kwa fujo, alitaka kuipotezea lakini aliangalia saa yake na kugundua kamba kwa muda huo mpaka anapigiwa basi kulikuwa na dharura ya mhimu sana hivyo aliisogelea simu hiyo na baada ya kuona namba ya mpigaji alishtuka sana hali ambayo ilimfanya kujifunga taulo na kuibeba simu hiyo kwenda nje akionekana wazi kabisa hakutaka mwanamke huyo aweze kushtukia jambo lolote lile.
"Naam bosi"
"Unawaza ngono tu mpuuzi wewe, nimekupa kazi mpaka saivi hakuna majibu yoyote yale kijana wangu mmoja kafa. Hivi ninavyo ongea na wewe ukiwa unakula starehe zako huko uliko Dax ameuawa muda sio mrefu sikuelewi unawaza nini mpaka sasa. Nakupa masaa kumi na mawili tu huyu mtu awe kwenye mkono wangu"

73 inafika mwisho.
Ahsante sana tajiri
 
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+

Episode 73
"Inapatikana wapi hiyo nyumba?"
"Ipo Masaki"
"Tugawane hapa, watatu waende kuupeleka huu mwili kwa mheshimiwa na wanne tuwahi haraka sana huko Masaki tuone kama tunaweza kuwahi" wanaume walikubaliana kufanya hivyo kwahiyo watatu waliondoka na mwili wa Dax kwenye kumpelekea bosi wao kisha wanne wakashika njia ya kuelekea Masaki kwa kutumia gari ambayo waliikuta hapo nje kwa Max. wanaume hao walikuwa kwenye mwendo mkali sana na baada ya dakika ishirini tu walifanikiwa kuingia ndani ya eneo hilo na kuanza kuangaza sehemu ambapo wangeipata nyumba ambayo walikuwa wameilenga.
Baada ya kufika kwenye jengo hilo la kifahari walishangaa baada ya kukuta geti lipo wazi, waliingia kwa mahesabu makali sana baada ya kujua kwamba huenda mtu wao alikuwa amewahi eneo hilo tayari. Baada ya kuingia ndani, walinzi wote walikuwa wameuawa kikatili sana kiasi kwamba ilikuwa ni ngumu kabisa hata kuweza kuwatazama.
Wanaume hao waliingia mpaka ndani na kushangaa sana kitu ambacho walikuwa wanakiona mbele yao, chumba kimoja kilikuwa kimefungwa ndani lakini chumba kingine kilikuwa wazi kabisa. Walisogea kwenye chumba hicho na kukuta kimevurugika vibaya sana hali ambayo ilionyesha kwamba muda mfupi ambao ulikuwa umepita mahali hapo hapakuwa salama sana kuna shambulio lilifanyika. Dirisha lilikuwa wazi kabisa hivyo wakapeana ishara wawili wapitie mlangoni na wawili wakapitia dirishani hapo na kutua upande wa pili wakiwa ndani ya kombati zao za jeshi.
Karibu na ukuta wa geti sehemu ambayo ilikuwa na mnazi mmoja na nyasi za gharama sana ambazo zilikuwa zinavutia sana palichakaa kwa damu ambayo ilisambaa hapo hivyo wakaanza kuifuata damu hiyo taratibu kuweza kujua mahali ambapo ilikuwa imeishia na damu hiyo iliwapeleka mpaka kwenye bwana la kuogelea ambapo baada ya kukaribia na kukutana na wale wengine wawili ambao walipitia mlangoni waliona mwili wa mwanamke unaelea kwenye maji hayo.
Walifanikiwa kuupata mwili huo na kuusogeza karibu, ulikuwa umezamishiwa kisu kwenye moyo.
"Huyu mwanamke ndo yule wa kwenye picha, nakumbuka huyu aliwahi kufanya kazi pale Ikulu kama katibu wa mheshimiwa raisi Teodensia Mpanzi, niliwahi kumuona mara kadhaa wakati ule nimekamilisha mafunzo ya ukomando"
"Haiwezi kuwa bure lazima kuna kitu hapa, haiwezekani awe anaua tu watu ambao wanahusaina na tukio lile lile. Mtafute mtoto haraka sana kisha tumtafute kabla hajasababisha matatizo makubwa kwa watu wengine inaweza kuwa hatari sana kama mtu huyu akiachwa aweze kufanya kile ambacho anajisikia yeye" Mwanaume mmoja aliongea akiwa anasimama na kuiweka silaha yake kiunoni na kuinuka lakini alishtuka sana baada ya kuisikia sauti nzito sana kutoka juu ya paa la nyumba hiyo ya mtu ambaye alikuwa na nguo nyeusi na buti zito sana jeusi ambalo lilionekana kwa msaada mkubwa sana wa taa ambazo zilikuwa zimezunguka kwenye kuta za jengo hilo.
"Vipi mnahangaika kunitafuta mimi?" ilikuwa ni sauti ya Max mwenyewe, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza watu hao wanaonana na mtu ambaye walipewa kazi ya kumtafuta kwa gharama yoyote ile ana kwa ana na hakuonekana kabisa kutaka kuwakimbia hivyo walipaswa kuzungumza vizuri kati ya Donny na wanaume wa kazi wanne ambao walikuwa mbele yake huku James akiwa hajulikani kwamba kwa wakati huo alikuwa wapi.
Wakati ambao Donny na James walikuwa wanatoka nyumbani kwa Dax walipishana sehemu ndogo sana na makomando ambao walitumwa pale na mkuu a majeshi lakini wnaume hao wawili walikuwa wameacha kamera moja eneo lile ili kujua kile amacho ningeendelea baada ya wao kuweza kuondoka. Zilipita dakika chache sana eneo lile kufikiwa na wanaume saba ambao walikuwa kwenye kombati nzito sana za jeshi na kuwashtua sana watu hao wawili ambao walikuwa kwenye gari kuelekea Masaki nyumbani kwa Dax ambako alikuwa amemficha mkewe na mwanae, mwanamke ambaye miaka kumi na miwili iliyokuwa imepita aliwahi kufanya kazi ndani ya Ikulu naye alichangia pakubwa sana kuiteketeza Ikulu kwa taarifa ambazo alikuwa anampatia mpenzi wake Karistus waweza kumuita Dax au 002 juu ya raisi Teo.
"Wameweza vipi kujua kama wakati huu tutakuwa huku?" Max aliuliza swali lake akiwa anamwangalia James kwa mshangao mkubwa sana.
"Mpaka hapa ina maana wana taarifa kutuhusu au kumhusu mmoja wetu kati yetu. Kwa miaka ambayo nilifanya kazi kama komando nina uzoefu sana na hii hali, makomando hawawezi kutoka kwa pamoja kundi zima au kuagizwa sehemu ambayo hawana uhakika nayo kama ni hivyo basi wanajua jambo ndiyo maana moja kwa moja wameweza kuja eneo lile na kama tungechelewa hata kidogo tu basi walikuwa wanatukuta pale na ingekuwa hatari sana"
"Ooooh shiiiit! James naomba wahi haraka sana nyumbani mimi nikamalize kazi hii kisha sio muda sana narudi nyumbani. Kama wamefanikiwa kujua mahali ambapo tulikuwepo wakati huu kuna uwezekano wakafahamu ni wapi ambapo tunaweza kuwepo. ukifika ondoka na familia haraka kisha mimi nitakutafuta mwenyewe" Max aliongea kama mtu ambaye alishtukia jambo, alihisi kama kuna kosa mahali walilifanya ambalo lilianza kuutambulisha ulimwengu walichokuwa wanakifanya na mahali ambapo walikuwepo.
"Na zile nyaraka?"
"Hakuna mtu ambaye anaweza kuziona nilipoziweka, niache hapa hapa sio mbali na ninapoenda wewe wahi haraka na gari" alishuka kwenye gari kwa kasi ya ajabu na kumpisha komando huyo aweze kuondoka. James aliamua kujitoa kila kitu kwa ajili ya Max, licha ya yeye kuwa komando mkubwa sana kwa maagizo ambayo aliweza kuachiwa alimheshimu mwanaume huyo kama bosi wake kwani ndiye alikuwa mhimu sana kwenye kuukamilisha mpango huo ndiyo maana alikuwa tayari kusubiri kwa miaka kumi na miwili.
Ni kweli James aligeuza gari yake kwa kasi kuweza kuelekea kwenye jumba la kifahari ambalo walikuwa wamefikia, jumba ambalo lilikuwa linalindwa na wanaume kumi ambao aliwatafuta yeye mwenyewe huku mwanaume akienda kuikamilisha kazi yake. Makomando ambao walitumwa kuupeleka mwili wa Dax wakiwa njiani walipiga simu kwa kiongozi wao kumpa taarifa kabisa kwamba mambo yalikuwa yameharibika na mtu wao alikutwa ameuawa na muuaji akiwa ametoweka lakini walikuwa na hisia juu ya eneo ambalo alikuwa anaelekea hivyo kuna wanne walikuwa wameenda huko.
Mkuu wa majeshi alichukizwa sana na taarifa hiyo kwani alikuwa anatamani sana kuweza kupata ujiko kutoka kwa mabosi zake. Aliikata simu hiyo kwa hasira sana usiku huo huo na kumtafuta Denis Kijazo.
"Kiongozi pole sana kwa kukuamsha na usiku"
"Unaweza ukanipa taarifa nzuri bwana Steven"
"Dax amekutwa ameuawa tayari wakati makomando wanafika pale muuaji alikuwa amekamilisha kazi yake na kuondoka"
"Nini?"
"Ndiyo mheshimiwa inaonekana kwamba kuna hatua alikuwa ametuzidi kwenye mahesabu ila kuna mahali saivi anahisiwa kwamba ameenda kuna makomando wanaelekea huko na kama kweli atakuwa huko basi kuanzia nusu saa ijayo atakuwa kwenye mkono wetu"
"Mhhhhh siamini kama wote sasa mnaanza kushindwa kazi ya kumkamata mtu mmoja tu pekee, hii ni aibu kubwa sana. Nakurudia" Denis Kijazo aliongea akiwa amefura kwa hasira maana habari hiyo ilikuwa ni mbaya sana kwake, kijana huyo alikuwa ni mhimu na alikuwa akimtumia kwenye kazi zake chafu sana hivyo kupotea kwake haikuwa ishara nzuri sana kwenye majukumu yake ya kila siku.
Denis Kijazo baada ya kuikata simu yake, aliipiga mahali ambapo aliona ni mhimu sana kwa wakati huo, aliipiga simu hiyo kwa mwanaume ambaye alikuwa anamuamini sana kuliko vijana wake wote. Simu ilikuwa ni kwenda kwa Ted, na wakati anapigiwa simu hiyo mwanaume alikuwa juu ya kiuno cha mwanamke akimwaga radhi za dunia, alikuwa sayari nyingine ambayo huwa inauchukua ufahamu wote wa mwanadamu na kumfanya ahisi duniani aliletwa kwa ajili ya kuifanya kazi hiyo. Mwanaume huyo akiwa anaunguruma juu ya kiuno cha mwanamke ambaye alikuwa amemzalia mtoto mmoja bila mwanamke huyo kujua kama mwanaume huyo alikuwa anamchanganya yeye na mama yake. Huyo alikuwa ni mtoto wa mwandishi Dawson Nduka, mwandishi ambaye alikuwa amejiponza na kuiponza nfamilia yake kwa kuandika mambo ambayo alizuiwa sana kuyaweka hadharani, kuandika kwake kitabu cha MAITI INAYO ONGEA ndiko kulileta majanga yote hayo.
Ted alishtuka sana kwa namna simu ilivyokuwa inaitwa kwa fujo, alitaka kuipotezea lakini aliangalia saa yake na kugundua kamba kwa muda huo mpaka anapigiwa basi kulikuwa na dharura ya mhimu sana hivyo aliisogelea simu hiyo na baada ya kuona namba ya mpigaji alishtuka sana hali ambayo ilimfanya kujifunga taulo na kuibeba simu hiyo kwenda nje akionekana wazi kabisa hakutaka mwanamke huyo aweze kushtukia jambo lolote lile.
"Naam bosi"
"Unawaza ngono tu mpuuzi wewe, nimekupa kazi mpaka saivi hakuna majibu yoyote yale kijana wangu mmoja kafa. Hivi ninavyo ongea na wewe ukiwa unakula starehe zako huko uliko Dax ameuawa muda sio mrefu sikuelewi unawaza nini mpaka sasa. Nakupa masaa kumi na mawili tu huyu mtu awe kwenye mkono wangu"

73 inafika mwisho.
[emoji91][emoji91][emoji91]
 
HADITHI: JIJI LA KAMARI (GAMBLING CITY)
MTUNZI: FEBIANI BABUYA
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
AGE: 18+

Episode 73
"Inapatikana wapi hiyo nyumba?"
"Ipo Masaki"
"Tugawane hapa, watatu waende kuupeleka huu mwili kwa mheshimiwa na wanne tuwahi haraka sana huko Masaki tuone kama tunaweza kuwahi" wanaume walikubaliana kufanya hivyo kwahiyo watatu waliondoka na mwili wa Dax kwenye kumpelekea bosi wao kisha wanne wakashika njia ya kuelekea Masaki kwa kutumia gari ambayo waliikuta hapo nje kwa Max. wanaume hao walikuwa kwenye mwendo mkali sana na baada ya dakika ishirini tu walifanikiwa kuingia ndani ya eneo hilo na kuanza kuangaza sehemu ambapo wangeipata nyumba ambayo walikuwa wameilenga.
Baada ya kufika kwenye jengo hilo la kifahari walishangaa baada ya kukuta geti lipo wazi, waliingia kwa mahesabu makali sana baada ya kujua kwamba huenda mtu wao alikuwa amewahi eneo hilo tayari. Baada ya kuingia ndani, walinzi wote walikuwa wameuawa kikatili sana kiasi kwamba ilikuwa ni ngumu kabisa hata kuweza kuwatazama.
Wanaume hao waliingia mpaka ndani na kushangaa sana kitu ambacho walikuwa wanakiona mbele yao, chumba kimoja kilikuwa kimefungwa ndani lakini chumba kingine kilikuwa wazi kabisa. Walisogea kwenye chumba hicho na kukuta kimevurugika vibaya sana hali ambayo ilionyesha kwamba muda mfupi ambao ulikuwa umepita mahali hapo hapakuwa salama sana kuna shambulio lilifanyika. Dirisha lilikuwa wazi kabisa hivyo wakapeana ishara wawili wapitie mlangoni na wawili wakapitia dirishani hapo na kutua upande wa pili wakiwa ndani ya kombati zao za jeshi.
Karibu na ukuta wa geti sehemu ambayo ilikuwa na mnazi mmoja na nyasi za gharama sana ambazo zilikuwa zinavutia sana palichakaa kwa damu ambayo ilisambaa hapo hivyo wakaanza kuifuata damu hiyo taratibu kuweza kujua mahali ambapo ilikuwa imeishia na damu hiyo iliwapeleka mpaka kwenye bwana la kuogelea ambapo baada ya kukaribia na kukutana na wale wengine wawili ambao walipitia mlangoni waliona mwili wa mwanamke unaelea kwenye maji hayo.
Walifanikiwa kuupata mwili huo na kuusogeza karibu, ulikuwa umezamishiwa kisu kwenye moyo.
"Huyu mwanamke ndo yule wa kwenye picha, nakumbuka huyu aliwahi kufanya kazi pale Ikulu kama katibu wa mheshimiwa raisi Teodensia Mpanzi, niliwahi kumuona mara kadhaa wakati ule nimekamilisha mafunzo ya ukomando"
"Haiwezi kuwa bure lazima kuna kitu hapa, haiwezekani awe anaua tu watu ambao wanahusaina na tukio lile lile. Mtafute mtoto haraka sana kisha tumtafute kabla hajasababisha matatizo makubwa kwa watu wengine inaweza kuwa hatari sana kama mtu huyu akiachwa aweze kufanya kile ambacho anajisikia yeye" Mwanaume mmoja aliongea akiwa anasimama na kuiweka silaha yake kiunoni na kuinuka lakini alishtuka sana baada ya kuisikia sauti nzito sana kutoka juu ya paa la nyumba hiyo ya mtu ambaye alikuwa na nguo nyeusi na buti zito sana jeusi ambalo lilionekana kwa msaada mkubwa sana wa taa ambazo zilikuwa zimezunguka kwenye kuta za jengo hilo.
"Vipi mnahangaika kunitafuta mimi?" ilikuwa ni sauti ya Max mwenyewe, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza watu hao wanaonana na mtu ambaye walipewa kazi ya kumtafuta kwa gharama yoyote ile ana kwa ana na hakuonekana kabisa kutaka kuwakimbia hivyo walipaswa kuzungumza vizuri kati ya Donny na wanaume wa kazi wanne ambao walikuwa mbele yake huku James akiwa hajulikani kwamba kwa wakati huo alikuwa wapi.
Wakati ambao Donny na James walikuwa wanatoka nyumbani kwa Dax walipishana sehemu ndogo sana na makomando ambao walitumwa pale na mkuu a majeshi lakini wnaume hao wawili walikuwa wameacha kamera moja eneo lile ili kujua kile amacho ningeendelea baada ya wao kuweza kuondoka. Zilipita dakika chache sana eneo lile kufikiwa na wanaume saba ambao walikuwa kwenye kombati nzito sana za jeshi na kuwashtua sana watu hao wawili ambao walikuwa kwenye gari kuelekea Masaki nyumbani kwa Dax ambako alikuwa amemficha mkewe na mwanae, mwanamke ambaye miaka kumi na miwili iliyokuwa imepita aliwahi kufanya kazi ndani ya Ikulu naye alichangia pakubwa sana kuiteketeza Ikulu kwa taarifa ambazo alikuwa anampatia mpenzi wake Karistus waweza kumuita Dax au 002 juu ya raisi Teo.
"Wameweza vipi kujua kama wakati huu tutakuwa huku?" Max aliuliza swali lake akiwa anamwangalia James kwa mshangao mkubwa sana.
"Mpaka hapa ina maana wana taarifa kutuhusu au kumhusu mmoja wetu kati yetu. Kwa miaka ambayo nilifanya kazi kama komando nina uzoefu sana na hii hali, makomando hawawezi ku
"Na zile nyaraka?"
"Hakuna mtu ambaye kuziona nilipoziweka, niache hapa hapa sio mbali na ninapoenda wewe even"
"Dax amekutwa ameuawa tayari wakati makomando wanafika pale muuaji alikuwa amekamilisha kazi yake na kuondoka"
"Nini?"
"Ndiyo mheshimiwa inaonekana kwamba kuna hatua alikuwa ametuzidi kwenye mahesabu ila kuna mahali saivi anahisiwa kwamba ameenda kuna makomando wanaelekea huko na kama kweli atakuwa huko basi kuanzia nusu saa ijayo atakuwa kwenye mkono wetu"
"Mhhhhh siamini kama wote sasa mnaanza kushindwa kazi ya kumkamata mtu mmoja tu pekee, hii ni aibu kubwa sana. Nakurudia" Denis Kijazo aliongea akiwa amefura kwa hasira maana habari hiyo ilikuwa ni mbaya sana kwake, kijana huyo alikuwa ni mhimu na alikuwa akimtumia kwenye kazi zake chafu sana hivyo kupotea kwake haikuwa ishara nzuri sana kwenye majukumu yake ya kila siku.
Denis Kijazo baada ya kuikata simu yake, aliipiga mahali ambapo aliona ni mhimu sana kwa wakati huo, aliipiga simu hiyo kwa mwanaume ambaye alikuwa anamuamini sana kuliko vijana wake wote. Simu ilikuwa ni kwenda kwa Ted, na wakati anapigiwa simu hiyo mwanaume alikuwa juu ya kiuno cha mwanamke akimwaga radhi za dunia, alikuwa sayari nyingine ambayo huwa inauchukua ufahamu wote wa mwanadamu na kumfanya ahisi duniani aliletwa kwa ajili ya kuifanya kazi hiyo. Mwanaume huyo akiwa anaunguruma juu ya kiuno cha mwanamke ambaye alikuwa amemzalia mtoto mmoja bila mwanamke huyo kujua kama mwanaume huyo alikuwa anamchanganya yeye na mama yake. Huyo alikuwa ni mtoto wa mwandishi Dawson Nduka, mwandishi ambaye alikuwa amejiponza na kuiponza nfamilia yake kwa kuandika mambo ambayo alizuiwa sana kuyaweka hadharani, kuandika kwak
🔥🔥🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom