Simulizi ya Mzee Juma Duni Haji baada ya kupewa kesi ya Uhaini inasikitisha sana .

Simulizi ya Mzee Juma Duni Haji baada ya kupewa kesi ya Uhaini inasikitisha sana .

Sometimes Laana inayolikumba Taifa hili inatokana na mambo kama haya , Je mnafahamu kilichompata FFU yule aliyefanya unyama huu ?
Sikubaliani na yaliyomkuta Duni Haji. Sikubaliani hata kidogo; nadhani ilikuwa ni busara kama taratibu haziruhusu ajuzwe kwa staha pasi kupugwa. Huo ni ubinadamu.

Oman ni matajiri wakubwa. Part ya utajiri wao ni biashara ya utumwa.

Williamson muasisi wa mgodi wa Mwadui sehemu ya utajiri alipata kwa wizi ikiwemo kiwavua nguo wafanyakazi wa Kitanganyika wakati wa kutoka mgodini kama namna ya kuwakagua wasitoke na Almasi.

Marekani wanapata utajiri kwa wizi na deals za kampuni za majizi yasiyojali haki za binadamu. Refer mauaji ya Lumumba wa Congo na athari ya kimazingira kwa watu na wanyama uliofanywa na mgodi wa North Mara kwa watu wq Tarime.

Angalia uporaji wa Ufaransa wa waziwazi kwa nchi za kiafrika hapa chini[emoji116]


Laana ya kuwa nyuma kimaendeleo sio kila mara inatupata kwa sababu ya matendo; fuatilia story za wanawake wanaokwenda Uarabuni kufanya kazi za ndani wanavyonyayasika..yet kwa muonekano wa nje huwezi kudhani nchi za Oman, Qatar, Saudia hazina laana.

Unless tuje na tafsiri; laana ni nini


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikubaliani na yaliyomkuta Duni Haji. Sikubaliani hata kidogo; nadhani ilikuwa ni busara kama taratibu haziruhusu ajuzwe kwa staha pasi kupugwa. Huo ni ubinadamu.

Oman ni matajiri wakubwa. Part ya utajiri wao ni biashara ya utumwa.

Williamson muasisi wa mgodi wa Mwadui sehemu ya utajiri alipata kwa wizi ikiwemo kiwavua nguo wafanyakazi wa Kitanganyika wakati wa kutoka mgodini kama namna ya kuwakagua wasitoke na Almasi.

Marekani wanapata utajiri kwa wizi na deals za kampuni za majizi yasiyojali haki za binadamu. Refer mauaji ya Lumumba wa Congo na athari ya kimazingira kwa watu na wanyama uliofanywa na mgodi wa North Mara kwa watu wq Tarime.

Angalia uporaji wa Ufaransa wa waziwazi kwa nchi za kiafrika hapa chini[emoji116]


Laana ya kuwa nyuma kimaendeleo sio kila mara inatupata kwa sababu ya matendo; fuatilia story za wanawake wanaokwenda Uarabuni kufanya kazi za ndani wanavyonyayasika..yet kwa muonekano wa nje huwezi kudhani nchi za Oman, Qatar, Saudia hazina laana.

Unless tuje na tafsiri; laana ni nini


Sent using Jamii Forums mobile app
Umechanganya mambo mengi yenye uwongo mwingi ndani yake.

Kwa mfano umewahusisha US na North Mara wakati Wamarekani hawana mgodi wowote Tanzania. Nadhani ulitaka kuwataja Wacanada. Lakini hata ungewataja hao Wacanada, ukweli ni kuwa siyo Wacanada waliowalisha sumu watu wa Tarime bali ni wananchi wenyewe ndio waliosababisha sumu itiririke kwenye mito na udongo baada ya wao kuiba propylene cover kwa kuikata ili wakatumie majumbani mwao. Nayo pia ni laana sawa na watu wanaokufa kutokana na wizi wa mafuta malori yanapopata ajali.

Kuhusu DRC na kifo cha Lumumba, pia nao ni uwongo. Mabuto ndiye aliyesababisha. Wewe unapofanya mipango na wageni umwue ndugu yako, ni nani mwenye laana kati ya wewe na mgeni uliyemwalika kukusaidia kumwua ndugu yako?
 
Sikubaliani na yaliyomkuta Duni Haji. Sikubaliani hata kidogo; nadhani ilikuwa ni busara kama taratibu haziruhusu ajuzwe kwa staha pasi kupugwa. Huo ni ubinadamu.

Oman ni matajiri wakubwa. Part ya utajiri wao ni biashara ya utumwa.

Williamson muasisi wa mgodi wa Mwadui sehemu ya utajiri alipata kwa wizi ikiwemo kiwavua nguo wafanyakazi wa Kitanganyika wakati wa kutoka mgodini kama namna ya kuwakagua wasitoke na Almasi.

Marekani wanapata utajiri kwa wizi na deals za kampuni za majizi yasiyojali haki za binadamu. Refer mauaji ya Lumumba wa Congo na athari ya kimazingira kwa watu na wanyama uliofanywa na mgodi wa North Mara kwa watu wq Tarime.

Angalia uporaji wa Ufaransa wa waziwazi kwa nchi za kiafrika hapa chini[emoji116]


Laana ya kuwa nyuma kimaendeleo sio kila mara inatupata kwa sababu ya matendo; fuatilia story za wanawake wanaokwenda Uarabuni kufanya kazi za ndani wanavyonyayasika..yet kwa muonekano wa nje huwezi kudhani nchi za Oman, Qatar, Saudia hazina laana.

Unless tuje na tafsiri; laana ni nini


Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sijaelewa kama ni weekend au vipi , bado sijaelewa ulitaka kuandika nini
 
simulizi ya upande mmoja

katika kulazimisha prisoner visitation mahala ambapo sio mahala pa visitation, huwezi jua kwenye sukuma sogea nani kampiga au kamwangusha mwenzie.

askari anastahili siku yake katika mahakama ya maoni ya umma
 
simulizi ya upande mmoja

katika kulazimisha prisoner visitation mahala ambapo sio mahala pa visitation, huwezi jua kwenye sukuma sogea nani kampiga au kamwangusha mwenzie.

askari anastahili siku yake katika mahakama ya maoni ya umma
HISTORIA YA MAPINDUZI UNAPOIELEZA CHUKUA NA TAHADHARI KIDOGO

Ukiwa mwandishi watu wengi wanakujua bila wewe hata kukutananao hata siku moja.

Siku moja nilikuwa Dubai kitongoji cha Rashidiyya na ikasadifu kuwa siku hiyo ni siku ya kusoma kisa cha Isra na Miraji.

Aliyekuwa anasoma alikuwa Dr. Ahmed bin Sumeit akitokea Muscat, Omani ambae mimi nilifahamiananae kwa mara ya kwanza Kampala kwenye mkutano uliowakutanisha Waislam kutoka sehemu tofauti za dunia.

Rashidiyya hii ndiyo sehemu ambayo Wazanzibari wengi walipokelewa na wakapatiwa hifadhi baada ya kukimbia Zanzibar baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1964.

Hapa Rashidiyya kwa sababu hii kuna jamii kubwa sana ya Wazanzibari.

Nikaja kukutananae tena Johannesburgna Lamu kwenye Maulid ikawa sasa ni watu tunaofahamiana vizuri.

Ahmed bin Sumeit ni mwalimu wa ''micro biology,'' Chuo Kikuu Cha Sultan Qaboos na vile vile ni sheikh na anatoa darsa nyingi za mafunzo ya Kiislam Oman.

Sasa aliponiona pale msikitini baada ya shughuli ile akanifuata nilipokuwanimekaa kusalimiana na hapa ndipo na watu wengine wakaanza kama vile kuniangalia na kujua kuwa mingozi mwao kuna mgeni katoka Tanzania ikawa sasa, ''Wewe si Mohamed Said?'' nk. nk.

Baada ya kula chakula pale msikitini akatokea kijana mmoja akanikaribisha ofisini kwake pale msikitini akanambia angependa kunitembeza kwenye msikiti mzima anionyeshe wanayofanya pale.

Hivi ndivyo tulivyojuana ikapelekea kunieleza kisa kilichomtokea baba yake wakati wa mapinduzi.

Anasema yeye alikuwa mtoto mdogo labda wa miaka mitano.

Siku ya mapinduzi asubuhi yake nyumba yao ilivamiwa na katika hao wavamizi alikuwa jirani yao familia zao zikijuana vyema.

Baba yake alitolewa nje ya nyumba na kupigwa risasi yeye akiona kwa macho yake.

Baada ya baba yake kupigwa ile risasi alianguka chini na yule jirani yake akamfuata pale chini na kumpiga teke.

Nilimpa pole kisha sote wawili tukawa kimya mimi nimeinama nimeimisha kichwa changu na yeye pia kainamisha chake kwa huzuni bila shaka kwa kurejesha ile picha ya kumbukumbu ya marehemu baba yake.

Kwa kuuvunja ule ukimya nikamuuliza alikuja lini Dubai na kama huwa anakwenda Zanzibar.

Akaniambia kuwa anakwenda Zanzibar na katika moja ya safari zake alikutana na yule mtu aliyempiga teke marehemu baba yake.

Huyu bwana amepooza upande mmoja anatembea kwa kuburuza mguu akicha vumbi likimfuata nyuma.

Nashukuru kuwa leo nimepata nafasi ya kukieleza kisa hiki cha mtoto aliyedhulumiwa roho ya baba yake na Allah akawaweka wote wawili dhalim na yule aliyedhulumiwa na kuwakutanisha hapa hapa duniani.

Amekuja bint mtangazaji wa East African Radio kutaka tufanye mahojiano na mimi kuhusu mapinduzi ya Zanzibar.

Kipindi ambacho In Shaa Allah watakirusha leo siku ya sherehe ya kumbukumbu ya mapinduzi.

Katika mengi ambayo nimeeleza nimesema kuwa historia ya mapinduzi inataka mtu unapoihadithia uchukue tahadhari sana na uchunge ulimi wako mno ili kuweka staha kwa wale ndugu zetu waliopoteza wapendwa wao kwani kuna mengi yaliyopitika ya kusikitisha.
 
Umechanganya mambo mengi yenye uwongo mwingi ndani yake.

Kwa mfano umewahusisha US na North Mara wakati Wamarekani hawana mgodi wowote Tanzania. Nadhani ulitaka kuwataja Wacanada. Lakini hata ungewataja hao Wacanada, ukweli ni kuwa siyo Wacanada waliowalisha sumu watu wa Tarime bali ni wananchi wenyewe ndio waliosababisha sumu itiririke kwenye mito na udongo baada ya wao kuiba propylene cover kwa kuikata ili wakatumie majumbani mwao. Nayo pia ni laana sawa na watu wanaokufa kutokana na wizi wa mafuta malori yanapopata ajali.

Kuhusu DRC na kifo cha Lumumba, pia nao ni uwongo. Mabuto ndiye aliyesababisha. Wewe unapofanya mipango na wageni umwue ndugu yako, ni nani mwenye laana kati ya wewe na mgeni uliyemwalika kukusaidia kumwua ndugu yako?
Soma vizuri historia utajua kuna CIA operative alikuwa Congo kwa jina Frank Carlucci. Jasusi huyu ndiye architect mauaji ya Waziri Mkuu Lumumba. Mobutu alikuwa mtekelezaji na mfaidika wa Urais wa Congo kama fadhila za kumuua mzalendo Lumumba.

Barrick ndiyo wamiliki officially wa North Mara. Ila kwa mtu anaejua vyema uchumi wa Marekani, Canada ni mbia wa karibu sana kiuchumi wa Marekani.
Vyovyote vile, hata kama US angekuwa hana maslahi hata asilimia moja kwenye uwekezaji wa Barrick, ni lini walisimama kukemea kitendo cha athari hasi kwa wana-Tarime kufuatia simu iliyotirishwa kwenye mto Tigite??
 
Bado sijaelewa kama ni weekend au vipi , bado sijaelewa ulitaka kuandika nini
Nakubaliana na hoja yako kuwa sikubaliani na mis-treatment kwa baba wa Duni Haji kama hayo anayosimulia yana ukweli.
Ila kama laana kwa Tanzania inatokana na mis-treatment za watu kama baba wa Duni Haji; hata hao tunaodhani maendeleo yao ni baraka, nao wana mambo mengi ya unyama wanaofanya kwa wanadamu wenzao.

Hao wahubiri wa haki za binadamu sio malaika.

Imagine, nchi kama Swiss ni wahubiri wa habari njema ya kupinga vita rushwa na ufisadi. Ila ndiyo benki zao zinaongoza kuficha mabilioni yaliyokwapuliwa Afrika. Si kila linalowafanya wazungu na ngozi nyeupe kuonekana kufanikiwa ni baraka, kuna wakati hata wenye laana wanakuwa na a lot of material possions
 
askari wanaagizwa kufanya wanayofanya, tena wanaagizwa kwa maneno makali, vitisho, kejeri.

sasa askari anakuwa conflict na nafsi yake, ustawi wa familia yake lakini pia mazingira ya kazi. mwisho anapokuja eneo la kazi mengi ufanya kwa kujielewa au kutojielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
askari wanaagizwa kufanya wanayofanya, tena wanaagizwa kwa maneno makali, vitisho, kejeri.

sasa askari anakuwa conflict na nafsi yake, ustawi wa familia yake lakini pia mazingira ya kazi. mwisho anapokuja eneo la kazi mengi ufanya kwa kujielewa au kutojielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya yanayowapata baada ya kufanya vitendo hivyo waliowatuma huwa hawahusiki
 
Sisi wachache tuliostaarabika tujue kuwa tunaishi katika jamii ya washenzi na wasiostaarabika.

Kustaarabika kwetu na uungwana wetu utawakera wale waliopotoka akili na kukosa hekima, hasa watawala.

Kiongozi asiyejaliwa hekima huwaona anaowaongoza kama mifugo wake, lakini mwenye hekima huwaona anaowaongoza kama hazina ya mafanikio yake.
 
Back
Top Bottom