Hakuna mafunzo ya askari yanayolazimisha askari kuvunja sheria na kufanya ukatili. Huu ni uongo.askari wanaagizwa kufanya wanayofanya, tena wanaagizwa kwa maneno makali, vitisho, kejeri.
sasa askari anakuwa conflict na nafsi yake, ustawi wa familia yake lakini pia mazingira ya kazi. mwisho anapokuja eneo la kazi mengi ufanya kwa kujielewa au kutojielewa
Sent using Jamii Forums mobile app