mimi nahisi hao askari pia huwa wanaangalia na mikoa ya kufanya ukatili wa aina hyo nakumbuka mwaka fulani katika ziwa tanganyika wenyeji walikuwa na tabia ya kulima mashamba makubwa sana ya nyanya,kumbe lilikuwa kosa lakini hawakuwahi kuambiwa,basi bwana kuna mwanajeshi jina XXX akapewa ukuu wa XXX katika mkoa wa kigoma,sasa siku ya tukio.
Ametoka mwenyewe na viongozi na askari wakaenda ziwani dah walizikatakata nyanya zote hakuna hata mwananchi aliyesogea maana kama ungesogea kwenye kile kikosi ungechezea kifo cha mbwa.Basi bwana baada ya jeshi la mchana kufanya kazi yake ya mchana basi jeshi la usku likaingia pia kazini,asubuhi watu wanaamka wanaskia mkuu ana mimba mpka akaamishwa mkoa akiwa na mimba yake R.I.P
Note:kumbuka alikuwa mwanaume na mtoto alikuwa anacheza tumboni kama anamiezi mitatu au minne i hope waunganisha doti na wajuvi wa huo mkoa wanakijua hicho kisa.
Sent using
Jamii Forums mobile app