Simulizi ya Mzee Juma Duni Haji baada ya kupewa kesi ya Uhaini inasikitisha sana .

Si kweli , awamu ya 5 ndio inayoongoza kwa unyama , yale ya Zanzibar ni kwa vile Zanzibar ni nchi nyingine , Mh Magufuli akihutubia kwenye Mahafali chuo cha Polisi Kurasini , alipiga marufuku polisi wanaouwa kuchunguzwa , vuta kumbukumbu vizuri
 
Si kweli , awamu ya 5 ndio inayoongoza kwa unyama , yale ya Zanzibar ni kwa vile Zanzibar ni nchi nyingine , Mh Magufuli akihutubia kwenye Mahafali chuo cha Polisi Kurasini , alipiga marufuku polisi wanaouwa kuchunguzwa , vuta kumbukumbu vizuri
Unapotosha kabisa kwanza Zanzibar sio nchi nyingine. Hapa nchini kwetu tuna nchi moja ambayo ni Tanzania. Pili jeshi la polisi ni moja tu .hakuna jeshi la polisi la Zanzibar. Tuna IGP mmoja tu. Kuhusu Rais kuruhu askari kuua na wasichunguzwe si kweli. Ndio maana wanahimizwa kufanya kazi kwa misingi ya sheria. Ila kama kuna jambazi anataka kumuua askari au raia what do you espect?
N.B soma ibara ya kwanza ya katiba ya JMT Zanzibar sio nchi nyingine. Ni sehemu ya ya Tanzania.
 
Dah, inaumiza Sana,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh, jamani Mambo yanatisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliwaweza mchana nao wakamuweza usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mkoa wenye Rais na wimbo wake wa Taifa , juzi kwenye sherehe za mapinduzi matukufu ulimuona aliyekagua gwaride , ni nani yule ? soma katiba ya Zanzibar achana na hilo lijitabu lenu ambalo Magufuli amelikanyaga hadi limeoza
 
Hakuna mkoa wenye Rais na wimbo wake wa Taifa , juzi kwenye sherehe za mapinduzi matukufu ulimuona aliyekagua gwaride , ni nani yule ? soma katiba ya Zanzibar achana na hilo lijitabu lenu ambalo Magufuli amelikanyaga hadi limeoza
Je ni dola huru! Inayomamlaka ya kungia mikataba na nchi zingine au jumuia za kimataifa kama OIC?
 
Hakuna mafunzo ya askari yanayolazimisha askari kuvunja sheria na kufanya ukatili. Huu ni uongo.
mzee askari ndio wanavyofunza hivo wanasomeshwa kuwa aduwi namba moja wa tz ni muislamu, muarabu na mzanzibari na akiwa muslamu anafunzwa kuwa adui namba moja ni mpizani.
 
Mabuto ndiye aliyesababisha. Wewe unapofanya mipango na wageni umwue ndugu yako, ni nani mwenye laana kati ya wewe na mgeni uliyemwalika kukusaidia kumwua ndugu yako?
Mbali na mapungufu yake, Mobutu alikuwa mateka!!
 
Lini ccm watapata kiongozi mcha mungu?mzawa mwenye nasaba za watanzania?Hawa waliopo wanaonekana sio wenzetu bali mashetani ya kuzimu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…