Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daaah mzgo ad sa iv ujashushwa tu[emoji16][emoji16]
balaa zitoSIMULIZI YA MAISHA ; Mzigo wa bosi uliharibu maisha yangu
MWANDISHI: Gilbert Evarist Mushi
PHONE: +255621249611
Sehemu ya 17
Sikumjibu chochote zaidi ya kuzidi kumvuta hadi tukajikuta tumekumbatiana. Kinje akajaribu kujitoa mikononi mwangu ila akashindwa kabisa kufanya hivyo kwani nimemng’ang’ania kwa nguvu sana.
“Gilbert una nini wewee?”
“Nahitaji”
“Ni……”
Kinje hakumalizia sentensi yake nikaanza kunyonya shingo yake, akajaribu kujitoa ila kwa jinsi nilivyomkumbatia kwa nguvu hukumaliza hata muda akajikuta akilegea, isitoshe yeye yupo uchi na mimi nipo uchi hivyo joto lake linazidi kunichanganya sana, nikamlaza katika godoro lake huku kila mtu akihema kwanguvu. Nikamlalia huku nikimnyonya lipsi zake kisha nikashusha lipsi zangu hadi kwenye tumbo lake, nikaanza kumnyonya kitendo kilichomfanya Kinje aanze kunishika kichwa huku akigugumia.
Nikaanza kuyachezea mapaja yake kwa vidole hadi katika unyayo wake wa mguu. Kinje akazidi kutoa ukelele mdogo huku akiguna
“Ohoo….o…ooo…” Kinje akazidi kutoa kelele za mahaba huku nami nikiendelea kujitahidi kuhakisha ninaikata kiu yangu ya kufanya mapenzi baada ya kumtamani mwanaume mwenzangu.
Kinje akanisuukuma kwa kutumia mikono yake nikaangukia upande wa pili kisha akaja juu yangu. Akanilaza mimi chini na kuanza kuninyonya shingo yangu. Raha niliyoisikia kuseme kweli ilinipagawisha sana, Nikiri tu kweli Kinje alikuwa ni Mpemba aliyekulia Mombasa, nikisema mpemba aliyekulia mombasa nadhani umenielewa. akaingiza ulimi wake ndani ya sikio langu moja na ninakijikuta nikichanganyikiwa kwa utaalamu wake anaonionyesha katika mwili wangu.
Kinje akaushika uume wangu na kuuminya minya kwa mara kadhaa, akanipanua mapaja yangu na kuanza kuunyonya taratibu na hapa ndipo nikajikuta nikishindwa kujizuia kabisa,
“Nitauaaaaa nitaua woteee.. aaaahhh aa……” Nilizungumza kwa shida sana huku nikirusharusha miguu yangu nikichanganyikiwa zaidi na zaidi, shinda zote zilizo nileta humu gerezani nikazisahau kabisa. Dunia ambayo nipo kwa sasa kusema kweli nikiri hata Julieth mpenzi wangu wa kipindi nipo kwetu mbeya Tanzania hakuwahi kunifanyia vitu kama hivi,.
"Kina nani utawauwa tena Gilbeet?.." aliniuliza Kinje swali ambalo hata akili ya kulijibu haikuwepo.
Nikamvuta hadi kifuani mwangu tukabaki tukihema sana kwani shughuli haikuwa ndogo.
Nikamsukumia pembeni akalalia tumbo nami nikaanza kuyachezea makalio yake, nilianza kuyashikashika huku nikimsogelea kwa karibu zaidi. Akabaki akitulia kuashiria yupo tayari kwa lolote Ile namsogelea tu ghafla taa ya Chumba hichi ikawaka, haraka nikajitoa pembeni yake na kulikamata blanketi kujifunika
"Gilbert..!"
kinje akaniita kwa sauti ya chini, nikamtazama, kwa ishara ya macho akaniomba niangalie mlangoni, nikageuza kichwa changu taratibu hadi mlangoni, sikuamini nilipowaona askari wa kiume kama wanne wakiwa na virungu mikononi mwao huku wanatutazama sura zao zikiwa zimejawa na mikunjo inayo ashiria kwamba wamejawa na hasira.
Kwa haraka Kinje naye akavuta blanketi hili ajifunike yeye hali iliyofanya blanketi hili litoke mwilini mwangu nikabaki uchi kabisa huku nikinitetemeka sana.
Askari mmoja akafungua mlango na kuingia humu chumbani huku uso wake ukiwa umefura hasira. Akanitandika kibao kikali kilicho nifanya nione nyotanyota mbele yangu. Nikasikia Kinje akigugumia kwa maumivu, sikujua na yeye amepigwa wapi. Askari huyu akanishika mkono wangu na kuanza kunitoa humu ndani, woga mwingi ukazidi kunitawala, kwani kwa jinsi askari hawa wanavyo nipeleka mpute mpute kusema kweli wananipa hofu kubwa sana.
Wakaniingiza kwenye moja ya chumba ambacho kina kitanda kilicho chakaa sana, wakaufunga mlango na kuniacha humu ndani peke yangu huku kidirisha kikiwa kwa juu sana tena kidigo kiasi kwamba hewa ni nzito ndani ya chumba hiki. Mbaya zaidi sina nguo yoyote mwilini mwangu, Masaa yakazidi kusonga mbele huku nikiwa sielewi ni kitu gani kitafwata baada ya mimi kuingizwa humu ndani.
"Kama nikiwa nani atawahangaikia wazazi wangu? Nani atanisaidia kulipa kisasi kwa Clara huyu aliyenilazimisha mimi kuja huku Kenya hadi kukamatwa na mzigo wake wa madawa??"...
Niliwaza katika akili yangu huku nikisimama, nikaanza kutazama kidirisha hiki kidogo kilichopo humu chumbani, Nikasogelea dirisha hili hadi nikalifikia, kwa bahati nzuri nina urefu kiasi wa kulifikia dirisha hili, nikajaribu kulitingisha kama limelegea kwa bahati nzuri linaonyesha dalili ya uchakavu. Nikatabasamu, lakini sasa sina nguo yoyote mwilini mwangu.
"Unaonekana una sura nzuri sana Gilbert. Huku ni mombasa ujue, Sasa unakwenda gerezani, wewe si jeuri utapelekwa gereza la Wanaume watukutu walioshindikana, huko watakulawiti na sura yako hiyo kama ya kike nakwambia utajuta, Huko Tanzania si ulikuwa unasikiaga tu habari za Mombasa? Nakuhakikishia moto utakaokutana nao ni zaidi ya Kwa Mparange huko buza kwenu Tanzania." Maneno haya yakapita katika kumbukumbu za kichwa changu, niliyakumbuka vyema maneno haya aliyoniambia Daniel kipindi naingia Jela kwa mara ya kwanza.
Ghafla nikiwa bado nashangaa shangaa Mlango ukafunguliwa kwa nguvu na kwa haraka nikakimbilia kwenye moja ya kona ukutani na kutazama ni nani anayeingia, nikaona wakiingia askari wawili, wakanirushia sare mpya za hapa gerezani bila kusema lolote, wakaniamuru kwa ishara nivae nami taratibu nikazivaa kwa mashaka huku wakinitazama. Wakanifunga pingu mikononi, kisha wakanifunga kitambaa chenye rangi nyekundu machoni mwangu. Hapo nikaanza kusali sala yangu ya mwisho kwani naelekea kunyongwa maana kitendo cha kufungwa kitambaa kinaashiria maneno aliyoniambia Askari Daniel yanaenda kutimia sasa.
"Ee Baba ninatubu makosa yangu najutia baba, nipe nafasi ya Kuishi Baba, nani atawasaidia wazazi wangu ilihali wananitazama mimi? Fanya muujiza Mungu wangu"
Nilianza kuomba kimoyomoyo huku nikipelekwa na Askari hawa nisikopajua,
Baada ya muda mchache hivi kashtukia nikibebwa juu na kisha kusukumiwa kwenye kitu kinacho bonyea bonyea. Katika kukipapasa papasa nikagundua kwamba ni siti ya gari, nikapata uhakika zaidi baada ya kuanza kuisikia milango ikifungwa kwa nguvu. Nikasikia sauti mbili nzito za kiume zikizungumza kwa lugha ya kingereza ambayo ninajitahidi sana kuweza kuifahamu, ila wanacho kizungumza kusema kweli sikitambui kwani sikijui vizuri kingereza. Mazungumzo ya wanaume hawa wawili yakaendelea kusikika masikioni mwangu na muda mwengine wanacheka kwa dharau na siwezi hata kuwaona maana kitambaa kimekazwa vizuri machoni na mikononi nimefungwa pingu. Gari ikawashwa kisha ikaanza kuondoka kwa kasi na baada ya muda hivi nikahisi gari likisimama, milango ikafunguliwa, na mimi nikashushwa huku nikiwa nimeshikwa kwenye mabega yangu yote mawili. Tukaanza kupandisha ngazi kuelekea gorofani, na wala sifahamu ni wapi ninapopelekwa.
"Wananipeleka hotelini au? Na kama ni hotelini kufanya nini?" nikajisemea moyoni huku nikizidi kupandishwa juu kwenye hizi ngazi.
Hapo ndipo kumbukumbu ya maneno ya Askari Daniel ikapita tena kwa mara nyingine katika kichwa changu
"Unaonekana una sura nzuri sana Gilbert. Huku ni mombasa ujue, Sasa unakwenda gerezani, wewe si jeuri utapelekwa gereza la Wanaume watukutu walioshindikana, huko watakulawiti na sura yako hiyo kama ya kike nakwambia utajuta, Huko Tanzania si ulikuwa unasikiaga tu habari za Mombasa? Nakuhakikishia moto utakaokutana nao ni zaidi ya Kwa Mparange huko buza kwenu Tanzania."
"Hapana... Hapanaaaaaaaaa!!!!!!" nilianza kupiga kelele kama kichaa, nikashtukia kibao kikitua katika shavu langu la kulia kisha mmoja kati ya walionishika akaanza kucheka tena.
Tukafika mwisho wa ngazi na taratibu mlango ukafunguliwa.
ITAENDELEA
Vipi, Gilbert anaenda kukutana nacho ama? Mzigo upo whatsapp kwa buku tu utasoma yote. Njoo kwa namba 0621249611 nikutumie au Mpesa namba 0765824715
Jina Gilbert Evarist
Kimeachiwa na mambo ndo kama hayo ya kufukuana mitaro 😪😪DUuuuh kmbe chuma jana kiliachiwa bna
MUENDELEZO JMNIKimeachiwa na mambo ndo kama hayo ya kufukuana mitaro 😪😪