Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Marangu route ndiyo njia laini kuliko zote

1546275235243.png


1546275317272.png
 
Dada yangu nikushauri utuandikie kitabu kisha kiwekwe pale kwenye banda la Bodi ya Utalii.....naamini kitasaidia kuhamasisha utalii wa kupanda Mlima Kilimanjaro.
Hata hivyo hongera sana kwa ujasiri wako na hongera sana kwa kutushirikisha uzoefu huu.
 
Na hiyo ndio sababu kuu ilinifanya nichukue maamuzi ya kupanda huo mlima. Kama ntaweza kupanda, ntaweza kufanya jambo lolote hata liwe gumu ntapambana nalo tu. Ilifika mahali nikachoka sana, nikasema nikirudi bila kufika kwenye kilele cha mlima, ntasingizia kitu gani sasa, siumwi, kama ni uchovu wote tunaupata, nikajipa moyo kuendelea na safari.

Yaani umeeleza ukweli.. Its not about the certificate.. There is a great sense of accomplishment unaipata.. relieved.. happiness. I remember feeling immensely proud kuwa after mahangaiko yako nimefika juu...

The summit view was absolutely stunning and I don’t think any words could really give it justice.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa nini wanapanga mawe?

Sent using Jamii Forums mobile app

Niliuliza pia nikaambiwa kuna ki imani zaidi watu wameweka.. So anapanga mawe then anakua na prayers zake anafanya.... kama una wishes zako ndio muda mzuri kufanya.

Nyingine ni kumbukumbu kwamba I was here.. So unaweza kurudi baada hata ya miaka kadhaa ukakuta mawe uliyopanga yapo hapo.. wajukuu wakipanda ukawaambia pia..kumbukumbu kwa vizazi vingine pia.

Anaejua zaidi anaweza kuongezea


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom