mahiketujio
Member
- Apr 25, 2017
- 51
- 82
Hii ndo toughest ukifika karanga camp unachota maji lita 20 unabeba plus mixigo yako unatembea kwenda barafu camp. Waulize porters(mburuta )watakuambia mziki wa hio route unahc kufakufa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Pole sana, mimi nilipitia Umbwe route ila nilipofika Barranco Camp uzalendo ukanishinda na nilibakiza vituo viwil tu yaani Karanga camp na Barafu Hut.... [emoji1482][emoji1482]
Sisi tulijikusanya majamaa kadhaa hahaha mpaka tukahisi hatukuwa na maandilizi ya kutosha ila ule mziki wake ni shida bora hata njia ya Tarakea japo ni mbali.Hii ndo toughest ukifika karanga camp unachota maji lita 20 unabeba plus mixigo yako unatembea kwenda barafu camp. Waulize porters(mburuta )watakuambia mziki wa hio route unahc kufakufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina vigezo tayariMkuu kabla ya kupanda kuna bango lina instructions,kuhusiana na afya ya mpandaji ikiwa una mafua sijui nini! huruhusiwi kupanda kwa sababu kadri upandavyo ile attitude inabadilika sasa kama una mafua unaweza kusababisha tatizo lingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jiwe la kubusu na jiwe la mku........ hili la kubusu inabd upite kati ya mawe mawili yamebanana sana kwa lile la mbele linakua juu sana kuanzia chini kwa hio unakuwa kama vile unalibusu japo si lazima ni utaratibu tu. Then jiwe la mku....u lenyewe unapopita hio sehem hilo jiwe lazma likuguse makalio kwa sababu njia ni nyembamba sana hope nimeeleweka. ( Im not a good writer)Yaani Kuna mahali unafika huko juu njia imebana na unapita sehemu ambayo unapiga mgongo korongo na unakumbatia jiwe au mwamba ili uweze kupita hiyo sehemu ....hii nilihadisiwa na guide japo sijapanda huo mdude
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtanisimulia inatosha kwa kweli!!![emoji56][emoji28][emoji28][emoji28]kupanda hapanaJiwe la kubusu ni hivi, ili kutoka pale barango kwenda karanga lazima mpite mlimani, na mkiwa pale barango mlima unauona uleeeee, mkifika pale mlimani njia ni nyembamba sana, sasa kuna sehemu kuna jiwe kubwa ili kupita hapo lazima ulikumbatie hilo jiwe na unapita upande upande lakini mbaya zaidi chini kuna korongo so ukikosea step kidogo tu unaweza kujikuta uko korongoni, so mnapita mmoja mmoja na kwa uangalifu mkubwa. Nakumbuka kundi letu tulikuwa zaidi ya watu 30 tulitumia almost 2hrs kuvuka hapo....na slogan ya mlimani ni Pole Pole....no hurry
Sent using Jamii Forums mobile app
Liko wapi hilo ziwa? I mean mkoa na wilaya gani?Aisee mkuu pale nimeenda ..kuna mandhari nzuri na ziwa ni la kipekee..lina kina zaidi ya 300 m..na utapata na historia ya jinsi hilo ziwa lilitokea. Jitahidi uende mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Last time nimepanda as porter ilikua 2015 just imagine pprter ndo mtu wa mwisho kuondoka camp kwa sababu zile tents wanazolalia wageni inabd azianue azipack azibebe then aondoke nazo lakini tena anatakiwa afike next camp wa kwanza ili wageni wakute tents zimesimama tena plus food iwe iko tayari. Huwa nawaza how did i manage???Huwezi ndugu coz kulala tu kwenye huwezi kujinyoosha, unajikunja ili upate joto, halafu nguo za kulalia zinabana fulani hivi mfano zetu zilikuwa zinaitwa thermos, ukivaa hizo nguo then shuka ni kama mfuko hivi, unaingia zako kwenye hilo shuka....unajikunja kuutafuta usingizi
Salute to those porters.....niliwashangaa wale watu lkn pia nilimshangaa Mungu..... kwenye jiwe la kubusu sisi tunawaza tutapitaje manake ukiteleza kidogo tu wanakusahau lakini wao wanapita utadhani wanapita kwenye barabara tena na mizigo kichwani au mgongoni na mkifika kituoni mnakuta wameshafunga matent, kila mtu bag lake limeshawekwa kwenye tent lake, wameshaivisha chakula, meza zimeshaandaliwa and they are so kind and humble. Nilisikitikaga sana kusikia zile kampuni zinawalipa ujira mdogo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo inaogopwa vibaya sana.Jamani mnaisahau njia ya Umbwe njia ngumu na ndefu kuliko zote nimepanda kwa njia hio 3 times
Sent using Jamii Forums mobile app
katika kitu ambacho sijawaj fikiria na kupanda mlima wowote ule!maana mie ht kutmbea nusu km siwez..aku!
Big Up...Hongera sana watanzania tupende kutembelea vivutio katika nchi yetu.wengi tumeishi na kukaa katika mazingira ya karibu na mlima Kilimanjaro lakini hatujawahi kuupanda.umenishawishi sana kuanza matayarisho ya kupanda mlimani ikiwezekana Kuanzia julai na Agosti 2019 nitimize lengo langu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mwanangu ww toka huko iliko aisee. Watu wanakata km 6 au 7 everyday kwenda shulen kazin .. ww nusu km inakushinda. Unahitaji mazoezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliuliza pia nikaambiwa kuna ki imani zaidi watu wameweka.. So anapanga mawe then anakua na prayers zake anafanya.... kama una wishes zako ndio muda mzuri kufanya.
Nyingine ni kumbukumbu kwamba I was here.. So unaweza kurudi baada hata ya miaka kadhaa ukakuta mawe uliyopanga yapo hapo.. wajukuu wakipanda ukawaambia pia..kumbukumbu kwa vizazi vingine pia.
Anaejua zaidi anaweza kuongezea
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kumbe hauna churaSAFARI YA MOSHI
Tunaingia Moshi usiku saa 2... Tunapokelewa na wenyeji.. wakarim kishenzi.. wale ma guide sijui walidhani tumetoka nchi gani hatuju kiswahili kumbe ni wabongo tu.. Nimesahau jina la hotel kiwatengu anaweza kunikumbusha. Pale hotelini kulikua na wazungu kibao.. wengi wakiwa wametoka mlimani wakipongezana dinner.. wines na kupeana vyeti... Nikawa nawatizama kwamba can I do this?? unaona watu wanachechemea miguu, sura hazitamaniki wamebabuka, hapo ni bonge la mtu wengi wako hoi.ile usiku tukafanyiwa training na rescue team ya ile kampuni.. tukapewa maelekezo yote muhim.. Asubuhi Safari ya Mlimani.
SAFARI YA MARANGU.
Alfajiri tunaamka.. Mimi pamoja na kununua vifaa vya mlimani lakini still nilikua nahitaji kodi baadhi ya vifaa kama Hiking boot, balaclava, walking stick.. sleeping bag.. na hizi ni zile zenye joooto maana huko juu tushaambiwa kuna baridi la kufa mtu.
Saa 3 asubuhi tunaanza safari ya Marangu. Si umbali mrefu. usajili getini tunamaliza saa 9. miezi ni High season kuna watu kutoka nchi mbali mbali wanakua wamekuja kupanda mlima.!kulikua na nyomi la kufa mtu. Jambo nililopenda Marangu getini kuna ramani ya njia unayotimia kufika kileleni na pia kuna picha za record za watu mbali mbali walifanikiwa kupanda mlima kwa muda mchache, kuna mmoja alipanda kwa 5hrs.. huyu najiuliza hadi leo alifanyaje fanyaje .. Masaa 5 hadi kileleni its not a joke
Marangu Getini hapo.
Fuatilia next post.. huko ndio kwenye mziki
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unaish wapi mkuusiwez kutembeA..mzito sijui mvv..alafu sio mnene wa kutisha..yan mie ht mtoto ananiacha