Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro



hahahahahaa yaan ww magonjwa ya bp unapishana nayo..yaan mm kwenda dukan huwa shida..yaan nachoka tu miguu mizito..khaa..nakaaga kbs baraban prmbrn nakaa fresh..yaan hapana ndo maana nasoma habari za kupanda mlima naishia kujicheka...safi aisee
 
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!!ukiwa busy huuguwi haki tena....uko kizungu zaidi....hyo Kali wapenda raha kama nyau La kizungu eeehhh!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahahaa yaan ww magonjwa ya bp unapishana nayo..yaan mm kwenda dukan huwa shida..yaan nachoka tu miguu mizito..khaa..nakaaga kbs baraban prmbrn nakaa fresh..yaan hapana ndo maana nasoma habari za kupanda mlima naishia kujicheka...safi aisee
[emoji4][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]unatuma sana yaonekana daah!mazoea yako mabaya aseeh!kipindi Niko primary mmekimbia riadha kidogo na nilikua nashinda sema mdingi alikataa nisijiendeleze huko ustaadhi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Really? Niliwaonea huruma sana wale watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Money anza mazoezi kabisa mwakani panapo majaaliwa twende wote tukapande mlima tena nihakikishe nakufikisha kileleni ili usije ukaleta lawama hapa kua nimekupandisha mlima lkn sijakufikisha kileleni.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Mi nakwambia manengelo anakutoa nishai milimani, huyo kishazoea milima ya uluguru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilipanda kilimanjaro 2008 kupitia njia ya Rongai Rombo. nikashukia njia ya Marangu. Marangu njia laini sana next time naomba upandie Rongai uone rangi zote
Rongai pazuri sana kupandia kuliko marangu japo kuna vilima kidogo, tatizo la marangu ni atmosphere kuwa nzito hasa wkt wa kupanda...
 
Mi nakwambia manengelo anakutoa nishai milimani, huyo kishazoea milima ya uluguru

Sent using Jamii Forums mobile app
Thubutu yakeee kama ana pumzi za kutosha mi nnaweza kupandisha kileleni kabisa na kumshusha chini hata mara tano yaani kama hana mazoezi ya kupanda mlima mara kwa mara anaweza shindwa hata kutembea.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…