godson Lomayani
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 538
- 711
Mkuu sio rahisi uweze kupabda ukiwa na mafua...Sawa mkuu.
Watu wanaosumbuliwa na mafua mara kwa mara wakipanda hali ya hewa inayobadilika haitawasumbua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umbwe sio Ndefu kama Machame Kiongozi, kumbuka Ukipandia Umbwe unafika Baranco siku ya pili wakati wa Machame anafika Baranco siku ya 3.Jamani mnaisahau njia ya Umbwe njia ngumu na ndefu kuliko zote nimepanda kwa njia hio 3 times
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini sasa wapo wanaopenda route ya Machame?Umbwe sio Ndefu kama Machame Kiongozi, kumbuka Ukipandia Umbwe unafika Baranco siku ya pili wakati wa Machame anafika Baranco siku ya 3.
Umbwe ni kama shortcut tuUmbwe sio Ndefu kama Machame Kiongozi, kumbuka Ukipandia Umbwe unafika Baranco siku ya pili wakati wa Machame anafika Baranco siku ya 3.
Mwaka huu tunapanda au vipi?
Duh poleni sana.Mwezi wa 10 na 11 2018 hali haikuwa njema kwa wagumu, tulipoteza wagumu karibia 10. Kwasababu ya mvua
kwanini ulishuka/kupanda kwa miguu?Tafadhali endelea
Hii habari imekuja wakati muafaka Ila Sina hakika kama ninaweza hata robo!
Lile bonde la Ngorongoro tu Nililia kama mtoto!
Wanji wanji mwendo wa ngiri haikatai [emoji23]Vipo vitoroli ukizidiwa ukiwa juu,unalazwa kwenye kitoroli unafungwa mikanda kisha unaanza kurudishwa ulikotoka kwa kasi ya ajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
portableUmenishawishi,
Next Xmas nitainjoy hukoo...
Nimekapenda kamwili kako!![emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tunazungumzia cha Kibo wao labda cha mawenzi
Aseeeh!poleniMwezi wa 10 na 11 2018 hali haikuwa njema kwa wagumu, tulipoteza wagumu karibia 10. Kwasababu ya mvua
We muongo umepanda lini ? Acha mbwembwe we,we MTU mrongo sanaNimepanda huo mlima zaidi ya mara tano (5) wengi wa wanaobabuka ngozi zao zinakuwa zimeathirika kwa namna moja ama nyingine, mfano wanaojichuna ngozi n.k
.
KINAPA hawashauri mwendo wa haraka hapa ndipo tulipokuwa tunakosana nataka niende haraka nikitembe taratibu nitachoka, ilifikia wakati nikagombana na tour guides sijawahi kurudi tena.
.
Mwanamke atembee taratibu na kila Stopping center tupumzike huu ujinga ulinishinda, mara mia Mt Margarita Uganda fanya unachoweza.