Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Zoezi letu lilianzia Lake Chala kwa kushuka kwa kamba toka juu hadi chini ziwani,kama una woga unaweza kugoma kushuka,unakalia sehemu ya kamba na nyingine unaishika kwa mikono miwili ukiwa umekanyaga mwamba na mwili umelala kwa nyuma ukiangalia chini unaliona ziwa likiwa mbali yaani ile kamba ikilatika unaelea hewani ukifika chini lilipo ziwa wee jina limeshabadilika kuwa marehemu. Baada ya kutoka Chala ndio tukaenda kupanda Mount Kilimanjaro kupitia Rongai route.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali endelea

Hii habari imekuja wakati muafaka Ila Sina hakika kama ninaweza hata robo!

Lile bonde la Ngorongoro tu Nililia kama mtoto!
kwanini ulishuka/kupanda kwa miguu?
 
Nimepanda huo mlima zaidi ya mara tano (5) wengi wa wanaobabuka ngozi zao zinakuwa zimeathirika kwa namna moja ama nyingine, mfano wanaojichuna ngozi n.k
.
KINAPA hawashauri mwendo wa haraka hapa ndipo tulipokuwa tunakosana nataka niende haraka nikitembe taratibu nitachoka, ilifikia wakati nikagombana na tour guides sijawahi kurudi tena.
.
Mwanamke atembee taratibu na kila Stopping center tupumzike huu ujinga ulinishinda, mara mia Mt Margarita Uganda fanya unachoweza.
We muongo umepanda lini ? Acha mbwembwe we,we MTU mrongo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlima wa Wachaga huo! 'Viva Kilimanjaro '
 
Back
Top Bottom