Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Hongera mrembo, nina binamu yangu ameshapanda Kilimanjaro mara 2 kama si 3 ila anasema haina uzoefu unaweza kupanda mara nyingi na bado ukapata emergency ukadanji au ikabidi ushuke mlima na safari iishie hapo.

Huwa nawataniaga wafanyakazi wenzangu jamani tuchukue likizo ya pamoja twendeni tukapande Mlima Kilimanjaro... wanaishia kuniambia kama umechoka kula pizza tuache sie tupakatie pakacha zetu. Basi huwa nacheekaa.


Binafsi napenda sana kutembea na nilishapanda milima ya kawaida ya vijijini ikiwa ni njia ya kuelekea ninakofikia. Najiona namudu ila sijajipanga kupanda mlima wowote japo natamani.

Naishiaga kwenda Mbuga za wanyama nalala hoteli basi.

Hongera sana mamii.
Kwa hio Kasie mpaka umri huo ulionao haujawahi kufika kileleni?

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Hongera sana watanzania tupende kutembelea vivutio katika nchi yetu.wengi tumeishi na kukaa katika mazingira ya karibu na mlima Kilimanjaro lakini hatujawahi kuupanda.umenishawishi sana kuanza matayarisho ya kupanda mlimani ikiwezekana Kuanzia julai na Agosti 2019 nitimize lengo langu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni ukweli.. Sisi wengi walikua wanashangaa kwamba ni watanzania maana wengi wanaopanda ni foreigners... Ukimwambia ni Mtanzania nimetokea DSM anaona kitu cha ajabu..


Siku ukianza kupanda na ukahitaji msaada wa aina yoyote wala usisite kunicheki.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni ukweli.. Sisi wengi walikua wanashangaa kwamba ni watanzania maana wengi wanaopanda ni foreigners... Ukimwambia ni Mtanzania nimetokea DSM anaona kitu cha ajabu..


Siku ukianza kupanda na ukahitaji msaada wa aina yoyote wala usisite kunicheki.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Shukrani sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Money anza mazoezi kabisa mwakani panapo majaaliwa twende wote tukapande mlima tena nihakikishe nakufikisha kileleni ili usije ukaleta lawama hapa kua nimekupandisha mlima lkn sijakufikisha kileleni.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk


😂😂😂😂 unataka twende lini😂😂😂 mie kileleni nafika..ni ww tu na uanze mazoez mapeeema🔥
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka twende lini[emoji23][emoji23][emoji23] mie kileleni nafika..ni ww tu na uanze mazoez mapeeema[emoji91]
Mi niko vzr nnapumzi za kutosha kabisa wewe anza kabisa zoezi la kupandisha milima ya uluguru ili tukienda kilimanjaro nikufikishe kwe kilele cha kibo.

Maendeleo hayana chama
 
Back
Top Bottom