Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] kulala crater ulitumia route ya muda mrefu kidogo
 
Kuna kampuni ya uokoaji niliona mwaka jana kwe tamasha la utalii wana helkopta kwa wale wageni waliozidiwa ..ila haishauriki..kwa njia ya marangu wanahuo mgari wao benz nadhan unaenda hadi mandara ule
Inawezekana kupanda kwa helicopter.?
 
Karibu mkuu.
Heaven on Earth yuko vizuri sana.
 
Kuna kampuni ya uokoaji niliona mwaka jana kwe tamasha la utalii wana helkopta kwa wale wageni waliozidiwa ..ila haishauriki..kwa njia ya marangu wanahuo mgari wao benz nadhan unaenda hadi mandara ule
Ina maana katika hio njia magari yanafika hadi juu or?
 
AISEE NITUMIE NAFASI HII KUMSHUKURU HEAVEN.TOKA NILIVYOPANDA 2012 IMEKUA NI SENSE OF ACCOMPLISHMENT WITHIN,ILA YEYE KUILETA KIHIVI AMESAIDIA KULETA MEMORIES NYINGI SANA..NMEWEZA CONVICE NDUGU ZANGU SO NADHAN MAY TUTAPANDA AS A FAMILY TRIP NASHAURI WATU WENGI WAJITOKEZE NA TO TELL YOU THE TRUTH..ULE MSEMO "THAT DONT KILL YOU ONLY MAKES YOU STRONGER "MI NMEKUA NAUTUMIA FIRST HAND BAADA YA KUFIKA KILELENI. HEAVEN UKIWEZA FANYIA KAZI UANDIKIE KITABJ YOUR A GOOD STORY TELLER...INSHAALAH





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…