Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Uooopps nimejikuta na mixed feelings, nimefurahi sana na nimeogopa mno hasa kwenye stori ya kifo hehe. Mi Tz nimeizurura hasa kwenye vivutio vingi vingi hata kwa majirani zetu, kitu sijawahi fikiria ni kupanda mlima wowote ule. Halafu kwa stori yako nimegundua i know nothing kuhusu milima kabisa, thanks Hoe umeniongezea kitu.

Swali ni je nikiamua kupanda nitaweza? Maana mimi katika maisha yakawaida situmii AC wala feni, naishi kwa kuacha windos wazi 24/7 hasa sehemu ambazo ni salama kwasababu nikitumia feni au AC hasa ikizidi nahisi kuishiwa pumzi na kichwa kuuma. Pia katika checkup mnacheck vitu haswa katika afya zenu? Big up Hoe.
 
Kutokea Stella kwenda Uhuru Peak ni kipindi kwa mara ya kwanza nilipata experience ya Mama Mjamzito anakuwa anajisikiaje hadi muda wote ana kichef chef, nikitembea hatua tano tu, nakaa chini, porter amebeba kila kitu changu, lakini sijiwezi, nilijikongoja hadi kufika kileleni. Ila ile mijabali ya barafu, uwanda wa mlima na theluji zinakupa raha ambayo Heaven on Earth anasema hauwezi kuielezea kwa maneno ukaeleweka.

Nimesikitika sana kuona hicho kiwango cha barafu na dhoruba mlizopitia, mwezi wa saba kidogo hali inakua nzuri, hakuna mvua na barafu sio nyingi sana.

Baada ya kurudi, ilinichukua kama miezi miwili kichwa kukaa sawa, usiku nikilala nilikua napata maruwe ruwe kama bado nipo juu ya mlima. Nashtuka naanza kujiuliza kama nipo kwenye twent au kitandani nyumbani?
 

Unafanyiwa checkup ya mambo mengi sana kuona kama utahimili hali ya hewa inayobadilika badilika kadri mnavyosogea juu.
Cha kushangaza, watoto wadogo wa umri kati ya 12-14 wanapanda bila kupata dhoruba kama ilivyo kwa watu wazima,...

Dhambi nazo zinatuongezea mizigo hahahahahahhaha
 
Natamani kupanda sema mafua na joints za miguu.
Kama baridi la kwetu Magamba Lushoto linanilaza kitandani wiki na mafua juu, je nitaweza kwea Mlima Kilimanjaro?
kiwatengu naweza beba coldril kwa ajili ya kukata ukali wa mafua au siruhusiwi kunywa dawa nikiwa katikati ya safari?
 

Hapo kwenye dhambi hapooo! Lol
 
Heaven on Earth ,
..HONGERA sana.

..umezungumzia BARIDI kali kadiri mlivyokuwa mkipanda mlima.

..Je, hiyo ni mara yako ya kwanza kukutana na baridi kali.

..Umewahi kuishi ktk nchi zenye baridi kama Canada, Usa, au nchi yoyote ya bara ulaya?

..Je, kuna tofauti kubwa kati ya baridi ya majira ya winter na baridi ya wakati wa kupanda mlima Kilimanjaro?
 



Khaa!nikajua na ww ulikua kati ya msafara wa kupanda naye😂😂😂 jaman kuna watu mnahitaji ushauri wa Dk kbs😂😂...
 


😂😂😂madame mie naon wanaOpanda wengi ni maportable..hv wanene wanaweza kweli?yaan bado sijashawishika ..maana nikama safari ya jehanum jaman
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaweza mbona...
Mwenyewe ni kibonge na nina mpango wa kupanda! Ila watu tuloko nao wanakata tamaa kila leo!
[emoji23][emoji23][emoji23]madame mie naon wanaOpanda wengi ni maportable..hv wanene wanaweza kweli?yaan bado sijashawishika ..maana nikama safari ya jehanum jaman
 
Coldril sio dawa nzuri kwa mazingira ya kule ina mchanganyiko wa dawa ambao unaweza ukakuletea usingizi ukawa kama umelewa itakuwa ni hatari kwako na zaidi unaweza ukashindwa kupumua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…