binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Uooopps nimejikuta na mixed feelings, nimefurahi sana na nimeogopa mno hasa kwenye stori ya kifo hehe. Mi Tz nimeizurura hasa kwenye vivutio vingi vingi hata kwa majirani zetu, kitu sijawahi fikiria ni kupanda mlima wowote ule. Halafu kwa stori yako nimegundua i know nothing kuhusu milima kabisa, thanks Hoe umeniongezea kitu.
Swali ni je nikiamua kupanda nitaweza? Maana mimi katika maisha yakawaida situmii AC wala feni, naishi kwa kuacha windos wazi 24/7 hasa sehemu ambazo ni salama kwasababu nikitumia feni au AC hasa ikizidi nahisi kuishiwa pumzi na kichwa kuuma. Pia katika checkup mnacheck vitu haswa katika afya zenu? Big up Hoe.
Swali ni je nikiamua kupanda nitaweza? Maana mimi katika maisha yakawaida situmii AC wala feni, naishi kwa kuacha windos wazi 24/7 hasa sehemu ambazo ni salama kwasababu nikitumia feni au AC hasa ikizidi nahisi kuishiwa pumzi na kichwa kuuma. Pia katika checkup mnacheck vitu haswa katika afya zenu? Big up Hoe.