Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alama yako mimi eenh
Ebu ngoja kwanza nianze kufanya mazoezi ya kupanda huu mlima huku nilipo

Ili siku ya basidei yako tukipanda huko nisije kukusumbua kabisa
Hahaha hahaha
Hapo ndo umeongea la maana!
Si umeona madam alikuwa anakimbia mchangani eehh
 
2019 huna haja ya kuprove mtu asie
na umuhimu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeridhika mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu asante sana, wakati ule 1995 tulikuta kulikuwa na wazee fulani waliokuwa kama waangalizi tu na palikuwa na mashine zilizozeeka ambazo zilikuwa zimeletwa pale miaka mingi kwa ajili ya kuvuta maji ya kutumia wakazi wa maeneo karibu na hapo lakini zilikuwa hazifanyi kazi. Watalii kutoka upande wa Kenya walikuwa wakizungushwa hadi upande wa Tanzania, Wakenye ni wajanja sana katika biashara Upande wao kulikuwa kunaonekana majengo mazuri kwa ajili ya watalii waliofika hapo huku upande wa Tanzania kukiwa tu na wenyeji waliokuwa wakivua samaki kwa mitumbwi ya mbao, wavuvi hawa walikuwa wakarimu sana na ndio waliokuwa kama 'maguide' wetu hapo kuanzia kushuka ziwani mpaka kuogelea na walituzungusha kwa mtumbwi wao huku tukipiga picha.

Uliza aliyesoma mkuu day miaka hiyo enzi za second master Mwl Shine, kina mwalimu Kiwango, Mkumbwa, Mzee wa physics Mwl Kimario na wengineo. Head boy wetu wakati huo alikuwa akiitwa Aretas na tulikuwa naye Picnic pamoja na kina Mushi, Nikolaus wa keni mengeni, Yuda wa pale Keni-Mengwe ambaye ndiye aliyekuwa mwasisi wa hilo wazo na mhamasishaji namba moja na wengineo kibao. Natamani mmoja kati yetu tuliyekuwa nao ajitokeze kunisapoti. Tulipanga siku moja kuja kukutana tena na kufanya tour kama hiyohiyo lakini mpaka leo sijui wazo lile liliishia wapi.
 
Nguza bwana@stori za urongo zinajulikana pole km umeteseka

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hatujaona stori yako yeyote ili nayo tuijaji kama ni ya ukweli au ya uwongo zaidi ya comments kwa stori za wengine tu tena nyingi zikiwa ni za kubezabeza tu? Unajua sometimes comments za mtu moja kwa moja huonyesha ni dizaini gani ya mtu au ana tabia zipi, hapa watu tunashea maexperience wewe unaanza kuleta kejeli zisizokuwa na tija yeyote, subiri picha nikomeshe ujuaji wako uchwara
 
Sawa mkuu ujumbe umefika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kufika ila kwa kusimuliwa naona kbs kuna ukweli ndani yake kwenye hii story yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Sijawahi kufika ila kwa kusimuliwa naona kbs kuna ukweli ndani yake kwenye hii story yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huwezi amini hili Ziwa lipo pale Rombo lakini watu wengi wilayani humo wanazaliwa mpaka wanakufa bila kufika pale, sababu kubwa ni watu kutokuwa na mwamko wa utalii wa ndani kama aliokuwa nao dada yetu HEAVEN ON EARTH. Sisi wenyewe tulilazimisha kwenda huko, hata tungeliomba ruksa tungekataliwa asilimia 100%, nakumbuka nyumbani aliyejua ni mama peke yake, baba hata angesikia sijui ingekuwaje, alikujajua baadae sana.
 
Nafikiri pia ni kwa jinsi lilivyo jiografia yake kulifikia ni ngumu.
Japo pia naunga mkono hoja, sie watz ni wagumu sana kwenye ishu hizo. Nimekaa Musoma muda mrefu kidogo lkn cha ajabu kuna watu hawajawahi kufika hata alipokuwa anaishi Mwl Nyerere wala kwenda Serengeti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu lake chala nimenusurika kufa mara mbili, 2002 & 2006 like ziwa hapana aisee lina vituko vingi sana hatua moja kutoka ulipo unazama, na kwa chini kuna nguvu kubwa sana inayokuvuta baada ya mara ya mwisho niliapa sitakaa nitudi kwenye lile ziwa tena, kuna nyoka wengi mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…