Aisee....kumbe hapo mwishoni umemaanisha "nchi gani" [emoji13] [emoji13]kwa mimi guider wetu alikua anatueleza hili baridi ni kali mpk akutupa mfano kuna baadhi ya wageni wake washashindwa kufungua zip wajisaidie haja ndogo walikua njiani so yeye ndo ikambidi amfungulie na amshushie nguo ajisaidie na ukizingatia anakwambia alikua ni mdada huyo sema ckuweza kumuulizia uyo mzungu alikua wa nchi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, nimelipenda sana thread lakeRekebisha kidogo hapa na pale uhariri vyema na kuchomekea tuvituko twingine hapa na pale utoe kakitabu. Katauzika.
Kupanda kutoka kipo to uhuru peak inafaa upande usiku saa5,6 au7 ukichelewa ili ufike kule saa12-2au3 asubuh kabla jua a halijawa kali kidogo na itakubidi uwe na sun glass ili uzuie ile miyale ya jua inayopiga kwenye barafu inaumiza macho unaweza kuja macho yamekua kama ya mchina na yamevimba so ni swala la kuwahi jua ndo mana safari inaanza usiku ili umalize uanze kurudikwa nini wanapanda usiku?
Kama una allergy na baridi kwl kbsa bila kupepesa macho sikushauri labda pitia njia ya marangu kaishie kituo cha kwanza mandara hapo uone km utaliweza baridi la uko mbele maana baridi lipo hata uvae nguo za aina gani sema wengine wanavumilia maana hawana matatizo km yako ya flu so kwako no thankyuSina mafua ila nina allergy na baridi.
Yaani mimi na baridi ni kama mbingu na ardhi...hatupatani asilani.
Ndo najiuliza hapa
Kuna mpk kunguru sema nmesahau ni point gani ile na ni after mandaraKwa juu kabisa ila kabla hujafikia ukanda wa jangwa na ukanda wa barafu kuna aina moja tu ya ndege wanaopatikana huko ambao huitwa Alpine chat.
nyoka na wanyama wakali nazan wapo tu ukanda wa chini ambao ume contain msitu.
Mmasai ame sambaa kila mahali lakini kule kashindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi huwa napanda mlima Kidungu upo huku kwetu, hauna shida kabisa hata Mbuzi wanapanda.
Mkuu karibu tuupande, huhitaji maandalizi mengi na ni bure kabisa.😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀,huo utafaa kwa watu wazito au wanene kama Becky hapa...umenichekesha mkuu
Na lile joto itakua sehemu za nguo zako kwny kwapa pale pameshabadilika rangi to chanikiwiti.Hahahaaaa...wewe hunifai hata kidogooo maana miye nna mwendo plus kasi balaa...kutembea kwa mguu hakunishindi haswaa nikiwa na stress...naweza toka Posta mpk buguruni kwa mguu!!
Kipindi Niko Dodoma ndo nilikua natoka huku Kisasa mpk meriwa au kule kama unaelekea Udom kwa ngoko!!!
Jifunze kutembea best!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa story nlizozikuta kwa tour guider wetu jamaa hakutoboa na hakuanzia chini alipanda kwa helicopter mpk kibo then ndo akaanza safari ya kwenda uhuru na alikua na walinzi wake si chini ya wa5 na wasaidizi wabongo so kipindi wanapanda wale wasaidizi wake wabongo ndo walimwona kua hali yake siyo nzuri ndo ikabidi wamzuie kuendelea akashushwa chapchap then akarudi UK baada ya muda hawa wasaidizi wabongo ikabidi awaite UK walikaa wiki moja akawashukuru kwa kuokoa maisha yake akawapa na mpunga then wakarudi bongo sasa cjui ilikua story tu au ni kweliTukumbushane Mmiliki wa Chelsea The Blues Roman Abramovich aliishia kituo gani? Maana najua hakufika kileleni ingawa ndio lilikua lengo lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Au nimekosea mzeeAisee....kumbe hapo mwishoni umemaanisha "nchi gani" [emoji13] [emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana uko sahihi. Sema screen yangu ilikua auto rotate kwahiyo n ikasomeka u (upside down)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sanaHapana uko sahihi. Sema screen yangu ilikua auto rotate kwahiyo n ikasomeka u (upside down)
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!!!Kama una allergy na baridi kwl kbsa bila kupepesa macho sikushauri labda pitia njia ya marangu kaishie kituo cha kwanza mandara hapo uone km utaliweza baridi la uko mbele maana baridi lipo hata uvae nguo za aina gani sema wengine wanavumilia maana hawana matatizo km yako ya flu so kwako no thankyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hata mtoto wa kusingizia. Naenda kufata nini.Nalazimika kukubaliana na wewe! Hapa kinachobaki ni kupanga tarehe tu ya kukwea mlima.
Sent using Jamii Forums mobile app