Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

We jamaa uwezo wako wa kufikiri nahisi una kiwango cha SGR,heko mkuu umenena vyema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milima ya kawaida ndiyo milima gani hiyo SW2? Ni milima hii ambayo ni milima au milima MILIMA? Nauliza tu 😎😎😎

Ninauzoefu wa kupanda milima ya kawaida. Na Nahisi hata Kilimanjaro Naweza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila natamani sana ila naogopa kufa.. Hongera sana heaven

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo comment yako kama jamaa alipanda mlimani akiwa amevaa kandambili imenichekesha sana 🤣🤣🤣🤣🤣

 
Hongera sana Heaven on Earth! Simulizi yako imenifanya nijione kama nami naupanda mlima. You documented the trip so well. I wish you could write a book; it will be very helpful for those who are aspiring to climb the mountain and also very entertaining just to read.
 
Shukrani sana Mkuu na huu uzi umenisaidia kujua mengi kuhusu kupanda mlima huu. Tuombe uzima na afya njema December 2019 nitatia timu.

Ni wale wasaidizi wabeba mizigo(mapota) au jina jingine ni mburuta.
Mkuu BAK jitahidi sana upande huu mlima, ni Adventure nzuri kuliko zote ndani ya Tanzania na Africa kwa Ujumla...
 
Hapo kwenye rangi Mkuu kiwatengu unamaanisha walikufa?

 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Uzi unaogezeka pages unadhani Dada kaendeleza stori kumbe kuna vibibi vinapiga umbea!.
Andikeni zenu mpige umbea,au amewambia anataka replies nyingi?
Shame!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…