CODE501
Senior Member
- Apr 19, 2013
- 172
- 111
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu njoo utumie route nyingine, Marangu ni njia rahisi ila kihewa haijakaa vizuri.nakwabia ukweli, njia ya Marangu hizo sehem zipo
Heri ya mwaka mpya pia.Sijawahi kabisa nkamu. Heri ya mwaka mpya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mgongo wa Tembo balaa...Ila morum ndio laini maana gari inakupeleka hadi mita 3200.dkk40 tu hapo unatoboa camp.ila uanzia starting ya lemosho kuna kitu inaitwa mgongo wa tembo hapo lazma ujambe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri ya mwaka mpya pia.
Be blessed. Naomba hata usipofika kilele cha mlima Kilimanjaro basi ufike hata kile kilele kingine.
Ahsanta
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa bahati mbaya hakuna Hifadhi ya taifa Ngorongoro bali kuna mamlaka ya uhifadhi Ngorongoro.Hongera mama, next nitakushawishi twende Hifadhi ya taifa Ngorongoro unapita kando ya bonde huku unajikojolea kwa wale waoga.
Sent using Jamii Forums mobile app
kiwatenguMkuu njoo utumie route nyingine, Marangu ni njia rahisi ila kihewa haijakaa vizuri.
I propose Machame for you....
Hii haina hizo changamoto za hali ya hewa, like uliyoikuta jiwe la ukoyo na saddle, pia inawezekana ulipata shida kwasababu ulipanda kwa siku 5 tu, no acclimatization...
Don't Give Up through only one way. Jaribu na nyingine ni tamu tu!!!
Kiwatengu ni porter ? Nataka nipande Mt KLM mwaka huu,Challenges zipi zilizopo Machame route? Ndio huko lazima ubusu jiwe na mkae masaa matano kupita kwenye hilo jiwe?Mkuu njoo utumie route nyingine, Marangu ni njia rahisi ila kihewa haijakaa vizuri.
I propose Machame for you....
Hii haina hizo changamoto za hali ya hewa, like uliyoikuta jiwe la ukoyo na saddle, pia inawezekana ulipata shida kwasababu ulipanda kwa siku 5 tu, no acclimatization...
Don't Give Up through only one way. Jaribu na nyingine ni tamu tu!!!
Hahahaaa eti ulitaka "KUKATA MOTO'Huo mlima siji panda tena hata nipewe pesa, ninakumbuka nlitaka kukata moto ukitoka Last water sasa pale panaitwa Saddle... pana hewa ya hovyo sana. Kufika jiwe la ukoyo ni balaa, dah Kibo palinitosha sana, kama una roho ndogo usijaribu kupanda mlima huo.
SASA MKUU UJUAJI UNATOKEA WAPI NA WAKATI SINA UZOEFU WA KUPANDA MOUNT KILIMANJARO?
HUH! KUNA KUBUSU NA JIWE? DAMNKiwatengu ni porter ? Nataka nipande Mt KLM mwaka huu,Challenges zipi zilizopo Machame route? Ndio huko lazima ubusu jiwe na mkae masaa matano kupita kwenye hilo jiwe?
WHY?
Mpenzi mimi unipeleke tu kule kwingine maswala y kukosa hewa nayaogopa sanaKwani kuna routes ngapi za kupanda huo mlima? Nasikia marangu, machame, rongai
Sent using Jamii Forums mobile app
AISEEE, NATAKA NIJUE NA MIMI SIKU NIKIPATA FURSA NIWE NAJUA KABISA A B CJose hapa hakuhusu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] heri ya mwaka mpya!
Sent using Jamii Forums mobile app
SASA MKUU UJUAJI UNATOKEA WAPI NA WAKATI SINA UZOEFU WA KUPANDA MOUNT KILIMANJARO?
OKAY MKUU UTANIKUTA
NA KWAKO PIA KIONGOZI WANGU...MUNGU MKUBWA AMETUVUSHA SALAMA