Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Mkuu lake chala nimenusurika kufa mara mbili, 2002 & 2006 like ziwa hapana aisee lina vituko vingi sana hatua moja kutoka ulipo unazama, na kwa chini kuna nguvu kubwa sana inayokuvuta baada ya mara ya mwisho niliapa sitakaa nitudi kwenye lile ziwa tena, kuna nyoka wengi mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi hasa wazazi huhofia sana watoto wao kwenda kule kutokana na historia ya matukio ya watu wengi waliowahi kufia humo wakijaribu kuogelea au kuvua samaki kienyeji. Kinachowaponza mara nyingi ni hichocho ulichosema kwamba lina kitu kama slope hivi mita chache tu kutoka ufukweni, ukiwa hapo pembeni tu unadanganyika upo salama, ukisogea kidogo huwezi tena kujitoa labda uwe na ujuzi wa kuogelea kwenye maji marefu, pia lina mamba wengi na nyoka.Isitoshe inasemekana upo mkondo wa maji unaopita chini kwa chini unaosababisha eneo fulani katika ziwa hili pawe na nguvu mfano wa presha inayovuta kwa chini, ukisogelea eneo hilo umekwisha, unafyonzwa unaenda kuokotwa ziwa jirani la JIPE ukiwa tayari umeshakufa.
 
STELLA POINT.
e43ceb86210e16086d81156551c61482.jpg


Nilivyofika Gilmans nilipata some sort ya relief.. Na kwa mimi nafikiria Gilmans was the hardest part. Watu wengi huwa wanaishia hapo anakosa nguvu ya kuendelea mbele. Wote katika group yetu tulipumzika then tukaanza safari ya kuelekea Stelle.

Njiani kulikua na barafu saana.. The wind is blowing hatari.. tulikua tunatembea juu ya barafu.. Problem nyingine ni kwamba tulikua hatuwezi kuonana kutokana na ukungu..Mtu yuko hatua tatu mbele ila huwezi kumuona kwasababu kuna ukungu wa kufa mtu. To be honest ilikua inatisha..

Shida inakuja kuwa hewa inakua ndogo saana. Nikaanza kuona hali tete kabla hatujafika...baada ya Masaa kadhaa tukafika Stella... Pale Kibaoni tukapiga picha haraka ili tuendelee mbele.

f88521fdd08c07bd253e06eb7726140c.jpg




Sim yangu haikuweza kuwaka.. We only took group photos

8539d6d4096127f29fe7bbc33369ec6e.jpg



UHURU PEAK.

Baada ya pale tukaanza kuitafuta Uhuru..Ambayo ni kama 30mints.. hizi dakika kuzitamka hapa unaona chache ila ukiwa kule juu ni kama mwaka...Yaani hali ya hewa ilikua mbaya saana. Nilikua nime sha give up nimechoka na nilikua sijielewi yaani natembea tu.. Sielewi kitu. Nilipata Hallucination..

Kuna baba mmoja mwanzoni niliwaambia kuwa yeye kapanda mara 18 ila alisema katika kipindi choote alichopanda hakuwahi kukutana na hali tuliyokutana nayo sisi kule juu. Storm inayopiga ni ya hatari..... Upepo unapiga mnakimbilia katika jiwe kubwa ili atleast upepo upungue kidogo ndio tuendelee mbele. Jamani nilikua kama naiona jehanam. It was life and death experience kule juu. Upepo ukivuma ukija hivi uso wote unafunikwa na barafu... Nilikuja kuambiwa baadae kuwa storm tuliyokutana nayo huko juu haijawahi kutokea for decades

Tukaanza kupotezana hapo.. Guide mkuu akasisitiza hali ni mbaya turudi tusiendelee mbele..kiongozi wetu anasema haiwezekani.. Mimi nilikua sielewi kitu siwezi kuongea nawatizama tu.... hata haya mengine nilikuja kuhadithiwa Yeye alikua anasisitiza hakuna mtu anarudi.... Yaani hapo hadi ulitokea ugomvi kati yetu na guide mkuu anaetuongoza. Storm ni ya hatari inapuliza mpaka unasikia jiwe kubwa linatikisika hapo nawaza hili jiwe si linaweza kubiringita hapa then litudondokee ndio iwe bye bye

I reached Uhuru Peak.. kufika summit was one of the best experiences of my life. The summit view was absolutely stunning and I don’t think any words could really give a justice... Unapaswa ushuhudie mwenyewe mtu asikuhadithie. Yaani nilisahau hata ile dhoruba tuliyokutana nayo...

Niliona mazoezi na jitihada zangu zimezaa matunda mwisho wa siku, I felt a sense of achievement kwa kutimiza kile ambacho nilijiwekea kwamba i want to STAND ON THE ROOF OF AFRICA. Nakumbuka nililia saana.... Nikiwa summit na pia wakati wa kurudi ni machozi ya furaha na relief. Mind you sisi hatukuchuka hata dakika pale juu tuligeuza muda ule ule kutokana na hali ya hewa.

4d30f6deb3d8dd89ae4b96c4086403f6.jpg


Group yetu wote hatukufanikiwa kukigusa kibao wala kupiga picha katika kile kibao.. Hii ni kutokana na barafu nyingi. Wote tulikubaliana as long as tumefika Peak hiyo inatosha... It was sad thing kutokupiga picha pale lakini pia ukifikiri ulikotoka na pale tulipofika unaona IT was okay

Nikipokea certificate yangu

daa9cf6211f80256f29dd4d894cd559b.jpg


Ukumbusho wa cheti.

f351a28485629dae51e0af9feaf946f6.jpg


Next post ya mwisho nitamalizia kushuka.
hongera sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heaven on earth mimi acha nichukue mazoezi ya milima Mdogo mdogo ili siku nikipanda niwe na uzoefu angalau .
 
Uzi unaogezeka pages unadhani Dada kaendeleza stori kumbe kuna vibibi vinapiga umbea!.
Andikeni zenu mpige umbea,au amewambia anataka replies nyingi?
Shame!
Mkuu hii ni tabia mbaya Sana, hujui wengine na Mimi tunapata vitu vipya kupitia hizi replies za wenzetu. Kuna wadau wanajua kusimulia humu sijawahi kuona.

Shikamoo jf,


Marahaba maxence mero.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi unaogezeka pages unadhani Dada kaendeleza stori kumbe kuna vibibi vinapiga umbea!.
Andikeni zenu mpige umbea,au amewambia anataka replies nyingi?
Shame!
Nafikiri @Moderators kupitia uzi huu waanzishe jukwaa rasmi linalojitegemea na utalii tu.

Kuwe na utalii wa ndani peke yake na wa nje peke yake.

Sina uhakika kama jukwaa hilo lipo maana mobile app nayo ina limitations za kuperuzi around.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri @Moderators kupitia uzi huu waanzishe jukwaa rasmi linalojitegemea na utalii tu.

Kuwe na utalii wa ndani peke yake na wa nje peke yake.

Sina uhakika kama jukwaa hilo lipo maana mobile app nayo ina limitations za kuperuzi around.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi unahamasisha sana huu,
Maxence Melo chukua ushauri huu.
Wengi tumehamasika sana.
 
Back
Top Bottom