Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Sikulala creta ila nilipita tuu huwezi kujua kilichopo ila utasikia harufu kali ikitokea chini. Kuna baadhi ya kampuni kazi inaweza kulala creta hapo ndio utaposema kilichomtoa kanga manyoya. Ila dolla huwa zinakua nyingi sana
Mkuuu umesema umefika juu pale mara 4... je lile shimo pale juu katikat kuna nn....?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo creta siiipo juu hapo kbsaa mkuu hapo uhuru summit ambapo mwandish alisema alikaa dakika 1 tu nakurud...? Au ..?
Sikulala creta ila nilipita tuu huwezi kujua kilichopo ila utasikia harufu kali ikitokea chini. Kuna baadhi ya kampuni kazi inaweza kulala creta hapo ndio utaposema kilichomtoa kanga manyoya. Ila dolla huwa zinakua nyingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nikipanda huu mlima nikafika juu lzm niende hapo crater nijue kuna nini ikiwezekana niingie humo nichunguze... mwandish amezengua huwez fika hapo juu na kukaa dakika moja nakugeuka
Yes ni hapo hapo ila huwezi kuona ndani kozi kuna ukungu. Kuna watalii wengine wanapenda kulala hapo sana sana wajerumani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nikipanda huu mlima nikafika juu lzm niende hapo crater nijue kuna nini ikiwezekana niingie humo nichunguze... mwandish amezengua huwez fika hapo juu na kukaa dakika moja nakugeuka

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu sana. Mimi ni mjasiri na niliiua mgumu sana kipindi hicho kiafya na kila kitu ila sikuweza kuka sekunde baada ya kupiga picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Money anza mazoezi kabisa mwakani panapo majaaliwa twende wote tukapande mlima tena nihakikishe nakufikisha kileleni ili usije ukaleta lawama hapa kua nimekupandisha mlima lkn sijakufikisha kileleni.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
TANAPA, BASATA NA BAKITA MFUNGIENI MILELE HUYU ASHIKE ADABU.
 
HONGERA SANA
MIMI NILIPANDA KUPITA ROUTE YA LEOMOSHO
WAS VERY ADVENTUROUS
Naona ulikuta kibao cha summits (4895M) kimefunikwa na barafu???
MIMI NILIKIKUTA KIPO WAZI KABISA (MWEZI SEPTEMBA)
 
HONGERA SANA
MIMI NILIPANDA KUPITA ROUTE YA LEOMOSHO
WAS VERY ADVENTUROUS
Naona ulikuta kibao cha summits (4895M) kimefunikwa na barafu???
MIMI NILIKIKUTA KIPO WAZI KABISA (MWEZI SEPTEMBA)
Leomosho ni sehem gan rombo au marangu.... na vp ile crater katikat pale ulipaoona..? How many minutes ulikaa Hapo summit
...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepanda huu mlima mara tatu, mara ya kwanza nilifika Stella kulikuwa na barafu nyingi na mvua duuh tukaambiwa na wasindikizaji safari inaishia hapo niliumia sana yani uko kimara unaambiwa rudi hauruhusiwi kufika ubungo, thanks God mara ya pili na ya tatu nikatoboa Uhuru peak thro Rongai route

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda na camera bwana hiyo rithisha kabisa
Nasikia huyu ni wewe Shunny afu hujaleta mbwembwe ka Heaven




[emoji23]🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪🤣🤪🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪[emoji23]🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪🤣🤪🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪🤣🤪🤣[emoji23]🤣🤪🤣[emoji23]🤣🤪[emoji23][emoji23]🤪🤣🤣[emoji23][emoji23]🤣🤣🤪🤪🤣[emoji23]🤣🤪🤣[emoji23]🤣🤪[emoji23][emoji23]🤪🤣🤣[emoji23][emoji23]🤣🤣🤪




[emoji23]🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪[emoji23]🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪🤣🤪🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪🤣🤪🤣[emoji23]🤣🤪🤣[emoji23]🤣🤪[emoji23][emoji23]🤪🤣🤣[emoji23][emoji23]🤣🤣🤪🤪🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪🤣🤪🤣[emoji23]🤣🤪🤣[emoji23]🤣🤪[emoji23][emoji23]🤪🤣🤣[emoji23][emoji23]🤣🤣🤪




[emoji23]🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪🤣🤪🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪🤣🤪🤣[emoji23]🤣🤪🤣[emoji23][emoji23]🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪🤣🤪🤣[emoji23]🤣[emoji23]🤣🤪🤣🤪🤣[emoji23]🤣🤪🤣[emoji23]🤣🤪[emoji23][emoji23]🤪🤣🤣[emoji23][emoji23]🤣🤣🤪🤪[emoji23][emoji23]🤪🤣🤣[emoji23][emoji23]🤣🤣🤪
 
Back
Top Bottom