jown
Senior Member
- Aug 29, 2017
- 194
- 271
Sikulala creta ila nilipita tuu huwezi kujua kilichopo ila utasikia harufu kali ikitokea chini. Kuna baadhi ya kampuni kazi inaweza kulala creta hapo ndio utaposema kilichomtoa kanga manyoya. Ila dolla huwa zinakua nyingi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuuu umesema umefika juu pale mara 4... je lile shimo pale juu katikat kuna nn....?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app