Simulizi ya ujasusi: Do not shout (Usipige kelele)

Simulizi ya ujasusi: Do not shout (Usipige kelele)

DO NOT SHOUT
(usipige kelele)

Sehemu ya..............17

Mtunzi: Saul David

WhatsApp: 0756862047

Email: saulstewarty@gmail.com.

ILIPOISHIA ...


Kwa mbali alionekana Brandina anaenda zake mabweni ya wanaume kwa ajili ya kwenda kuzungumza na Yusto lakini alisimama ghafula baada ya kumuona Caren kwa mbali, haikuwa sura ngeni kwake kwani tayari alikuwa na picha zake. akatamani kujua anafanya nini wakati huo, akaanza kuwasogerea pale waliposimama na Sophia.


SASA ENDELEA ...

Caren na Sophia walikuwa wanatazamana huku kila mmoja akiukumbuka ule usiku walipokutana Caren akiwa na Yusto na Sophia akiwa na John.

"Habari" Caren alivunja ukimya

"Si nzuri Caren, nina shida na wewe ndio maana niko hapa" alisema Sophia huku akimsogelea Caren kwa ukaribu zaidi kisha akaanza kuzungumza

"Caren Mimi kama mwanamke mwenzio niko hapa kwa ajili ya kukuomba unisaidie jambo moja, ni kuhusu Yusto. Sijui ni nini kinaendelea kati yako wewe na Yusto lakini nataka nikwambie kuwa Yusto ni mwanaume wangu, ndoto zangu zote nimezielekeza kwake, Mimi na yeye tumetoka mbali mno tumekuwa tukiishi kama marafiki lakini ukweli tunapenda sana. Yusto hajawahi kuwa na hisia za kimapenzi na mimi lakini kama mwanamke nimekuwa nikipambana kumfanya anipende hivi karibuni jitihada zangu zilianza kuzaa matunda Yusto alianza kuzielewa na kuziheshimu hisia zangu kwake. lakini ghafula umekuja wewe Caren, ujio wako umevuruga kila kitu, yaani kila kitu. tulikuwa tumepiga hatua tatu mbele lakini wewe umeturudisha hatua kumi nyuma. Caren nakwambia yote haya ili unionee huruma mimi kama mwanamke mwenzako, bila Yusto mimi si chochote, nakuomba nakuomba sana Caren niachie Yusto wangu"
Sophia alikuwa akiongea kwa uchungu mkubwa mno kiasi cha kumfanya Caren amatazame kwa jicho la pekee.

Ni kweli Sophia alimaanisha kile alichokisema, lakini ilikuwa ni ngumu sana kwa Caren kufanya hivyo, tayari moyo wake ulishaanza kuota mizizi kwa penzi la Yusto, kumtoa ghafula tena haikuwa ni kazi rahisi hata kidogo.

Ni kweli Sophia alionekana kuhitaji msaada lakini angefanya nini sasa ilihali na yeye pia anampenda Yusto.

Caren alijikuta katika hali ya kujiuma uma asijue atamjibu nini Sophia. Sophia nae aliendelea kumtazama Caren usoni akihisi ni lazima atasema neno lolote angalau kumfariji.

Caren hakuwa na la kusema kabisa, alishindwa hata kumuangalia Sophia usoni. Akawa anawaza na kujijibu mwenyewe.

''' _hapana Caren usimuonee huruma, usikubali kumuacha Yusto, ni mwanaume wako tena anakupenda""

Aliwaza Caren.

Mwisho akamua kuondoka bila kujibu chochote. Hakufika mbali Sophia alimkimbilia na kumshika begani akamzuia asitembee.

"Inamaana hujanisikia Caren, inamaana nilichoongea umeona ni upuuzi Caren kweli" alisema Sophia safari hii chozi likamdondoka,

Caren alimtazama usoni kwa masikitiko huku roho yake ikimuuma pia, hakutaka aendelee kujiumiza zaidi.
Akaanza tena kuondoka huku akiutoa mkono wa Sophia begani kwake lakini Sophia alimng'ang'ania kwa nguvu kiasi cha kufanya aichane nguo yake.


Caren alipigwa na butwaa baada ya kuona nguo yake imechanwa kiasi cha kufanya bra aliyovaa ndani ionekane, aligeuka haraka na kumsukuma Sophia kwa nguvu akadondoka chini.
Kilikuwa ni kitendo ambacho Caren hakuwa ametarajia kukifanya ilitokea tu ghafula, Sophia alianguka chini vibaya mno akaumia mguu wake.


"Hey hey hey ninyi vipi" mara sauti ya mwanamke ilisikika nyuma ya Caren
Caren akageuka kuangalia ni nani, hakuwa mwingine bali Brandina jasusi mkenya aliyekuwa chuoni hapo kwa kazi maalum. Kwa muonekano wake wala usingezani anafanya kazi hiyo hatari na ngumu. Brandina alikuwa mrembo haswa na alijua kutunza urembo wake.

"Wewe, ni nini kumsukuma mwenzako hivyo bila hata haya, vipi kama ukimuumiza" alisema Brandina huku akimsogelea Caren.

Caren alibaki kimya bila kuzungumza chochote akawa anamtazama Brandina akizidi kumsogelea na mwisho akafika karibu kabisa wakawa wanatazamana uso kwa uso.

"Nakuliza unaniangalia nini" alisema Brandina huku akilini mwake akijua ni nini anafanya jasusi huyu.

"Don't try me, better to ask before judging" (usinijaribu, ni vema kuuliza kabla ya kuhukumu).
Caren aliongea kwa kiburi kisha akampisha Brandina na kuondoka zake.
Hali akitabasamu Brandina alimsindikiza Caren kwa macho hadi alipopotelea jengo la hostel (bweni).

"She is smart" (yuko vizuri)
Alisema Brandina akiwa tayari amepata jibu la alichokuwa anakitafuta kwa Caren. Hii ilikuwa ni moja ya mbinu za kijasuji kusoma saikolojia ya mtu.


Brandina aligeuka na kumtazama Sophia pale chini, akamsogelea na kuchuchumaa pembeni yako.

"Pole mpenzi umeumia" alisema Brandina.
"Asante dada, mguu kidogo umeshtuka, watu wengine bwana, nasema atalipa kwa hili, lazima alipe" Sophia aliongea kwa hasira kiasi.
Brandina aliyekuwa pembeni yake alijikuta anatabasamu.

"" Wewe ndo utakuwa kete yangu ya kumpata Yusto,,, oooh mwanaume anabahati huyu inakuwaje tukampenda wote watatu"""
aliwaza Brandina huku akitabasamu akawa anamsaidia Sophia kunyanyuka pale chini.

"Naitwa Brandina, ni mpishi wenu mpya hapa chuoni"

" Ooh kumbe, wageni wengi hapa chuoni na ulivyo ulivyo nikajua wewe mwanafunzi mwaka wa kwanza"

"Noo, mimi ni mpishi tu bana,"

"Karibu sana eti"

"Asante dia"
Alisema Brandina hali wakiwa wameshikana mikono na Sophia.


ITAENDELEA...

==>Mambo yanazidi kukolea
==>Mapenzi bado ni changamoto kwa vijana hawa watano Caren, Sophia, Brandina, Yusto na John
==>Nani ni nani na nani ataibuka mshindi?
===>John/brandina atafanya nini?
===>Vipi sekeseke lililopo kati ya Frank, Yusto na majasusi dhidi ya Caren.
ENDELEA KUFUATILIA MKASA HUU WA KUSISIMUA....



Njoo Whatsapp kujipatia simulizi hii hadi mwisho ( ep 80) kwa Tsh 2000 tu.

0756862047
 
DO NOT SHOUT
(Usipige kelele)

Sehemu ya................18

ILIPOISHIA....

Sophia anamfuata Caren na kumuomba sana akae mbali na kipenzi chake Yusto lakini Caren anashindwa kumpa jibu la ombi lake kwani tayari na yeye taratibu ameanza kuzama penzini na mwanaume huyo. hali hiyo inapelekea wawili hao kukwaruzana kidogo lakini Brandina anafika na kumfanyia kebehi Caren. Brandina ambae nae pia anampenda Yusto anapanga kumtumia Sophia kama kete ya kumpata Yusto. Mapenzi yana tanatanaradi kwa vijana hawa kiasi cha kuwafanya wasahau kazi zao.

SASA ENDELEA...

_Ilikuwa ni pembezoni mwa bahari majira ya saa 12 asubuhi kulikuwa bado na giza kiasi.
Yusto alionekana akiwa amekaa kwenye kitanda kimoja kizuri kilichokuwa pembezoni mwa bahari hiyo kimepambwa kwa kutandikwa mashuka nadhifu yenye rangi ya dhambarau.
Kulikuwa na ka ubaridi kiasi eneo hilo lakini Yusto alikuwa kifua wazi hali kiunoni akiwa amejifunga taulo lenye rangi nyeupe.

Yusto aliyekuwa amekaa kwa kutulia mara alitabasamu baada ya kumuona Caren amesimama mbele yake hatua kadhaa akiwa amevaa kijinguo maalamu chepesi cha kulalia.
Kijigauni hicho kilifanya umbo la Caren kujichora na kuonekana vizuri.

Yusto na Caren walitazamana kwa sekunde kadhaa huku wote wakiwa wanatabasamu.
Mara Caren alifungua kamba za ile nguo yake ikadondoka chini sasa alibaki na nguo za ndani pekee.
Taratibu kwa mwendo wa maringo Caren alianza kutembea kumfuata Yusto pale kitandani.

Yusto alitoa macho ya matamanio huko moyoni akiufisu uzuri aliokuwanao binti huyu mrembo.

Hatimae Caren alifika pale alipokuwa Yusto na taratibu alipanda na kumkalia kwa juu mapajani Yusto akawa amempakata.
Japo kulikuwa na baridi eneo hilo lakini Yusto aliweza kulihisi joto zuri kutoka kwenye mwili wa Caren, alikuwa wa moto haswaa.

Wakiwa bado wamepakata taratibu Yusto alisogeza kinywa chake karibu na uso wa Caren.
Caren nae pasipo hiyana alifungua kinywa chake tayari kulipokea busu kutoka kwa Yusto lakini tofauti na alivyotegemea Yusto alimpiga busu zito shingoni hali akiuzunguusha ulimi wake kwa ufundi mkubwa.

Caren alipatwa na msisimko wa ajabu mno akatoa mguno wa huba huku taratibu na yeye akianza kuzunguusha kiuno chake.
Baada ya Yusto kummwagia Caren mabusu ya kutosha shingoni sasa alihamia mdomoni. Wakaanza kupeana mvua ya mabusu na kunyonyana ndimi zao huku Caren akizidi kuzunguusha kiuno chake mapajani kwa Yusto.
Hali ilizidi kuwa hali, wote wakajikuta wanazama kwenye ulimwengu wa kipekee ulimwengu wa huba.
Yusto alimshika Caren kiuno kwa mikono yake miwili akamsogeza karibu yake zaidi, kisha kwa meno yake alimvua Caren braa na taratibu akaanza kuzichezea chuchu zake kwa ncha ya ulimi wake.

Hali ilizidi kuwa tete kwa Caren ambae alijikuta anamsukuma Yusto kitandani na kumlalia kwa juu kisha akaanza kumwaga mvua ya mabusu sehemu mbali mbali za mwili wa Yusto.
Alifanya hivyo huku taratibu mkono wake wa kushoto ukiingia ndani kabisa ya taulo la Yusto na hapo alikuta tayari Yusto amesimama imara na kuwa wa moto mno.
Caren aliaanza kumminya minya Yusto kiasi cha kumfanya atoe miguno flani iliyo na muungurumo.

Yusto hakutaka kuwa mwepesi hivyo alimpindua Caren na sasa yeye ndio akawa juu Caren chini.
Yusto alifungua droo ya kitandana akatoa kimiminika flani kwenye chupa mfano wa asali akamwaga kwenye kifua cha Caren na hapo akaanza kuzichezea tena chuchu za Caren ambae sasa alikuwa anateleza vizuri na kumfanya awe na msisimko wa haja.

Caren aliaanza kupiga kelele za huba huku nae aliendelea kumchezea mwanajeshi wa Yusto.
Waliendelea kufanya hivyo kwa zaidi ya dakika 4 na mwisho Yusto alimuinua Caren na kumshusha chini ya kitandana wakawa wamesimama huku bado wakiendelea kishikana shikana.
Yusto aliinua mguu mmoja wa Caren na kuuwe juu kitandani kisha akamsogeza karibu yake na kumshika sehemu zake kwa chini akabaini zilikuwa zimelowa chapachapa.
Hakutaka kuendelea kumtesa zaidi alimsogeza karibu zaidi kisha na yeye akawe mguu mmoja kitandani, taratibu akaisogeza pembeni chupi ya Caren bila kuivua kisha....
***

Dakika 46 Caren na Yusto walionekana wamelala hoi kitandani, Caren ndiye alionekana kuchoka zaidi. Wakiwa wamekumbatiana kila mmoja alikuwa akimuangalia mwezake kisha anatabasamu.

Mara ghafula walimulikwa na taa mbili za boti zilizofika ufukweni hapo kwa kasi ya ajabu.
Caren na Yusto walishitushwa na kila mmoja alichukua taulo na kujifunga huku wakiwa bado wameshangazwa na ujio wa boti hizo mbili, hakuna aliyetegemea.

Boti ya kwanza alishuka Sophia akiwa na wale majasusi watatu yaani Brandina, Simigo na mpili walishuka kwenye boti kisha wakakimbia hadi pale alipokuwepo Caren na Yusto.

" Yusto unafanya nini hiki" Sophia aliongea kwa hasira lakini wale majasusi wakiwa na siraha zao mkononi hawakutaka kupoteza muda walimkamata Caren na kuanza kumburuta kumpeleka kwenye ile boti yao Yusto alipojaribu kuwazuia Brandina alimnyoshea bastola na kumtaka asifanye lolote.
Akiwa katika hali ya kutahamaki mara ile boti ya pili alishuka Jonh akiwa ameambatana na vijana wake watatu wao walifika na kumkamata Sophia kisha wakaanza kumburuta kumpeleka kwenye boti yao, nao walikuwa wameshika siraha za moto(bastola) vilevile.

Yusto alijikuta amesimama katikati asijue afanye nini, amsaidie nani amuache nani.
Katika hali ya kushangaza Jonh alimpatia Sophia bastola, Sophia pasipo kupepesa macho aliikoki kisha akainyoosha kumuelekea Caren akafyatua risasi tatu mfurulizo.

"Noooooooooo" Yusto alipika kelele asiamini kile kinachotokea_
*****

"Noooooooooo" Yusto alipiga kelele na kukurupuka kutoka kwenye usingizi uliokuwa na ndoto ya ajabu.

"Mmh we mwanaume unalala mchana hadi unaota kabisa" alisema Brandina ambae alikuwa ameingia kwenye chumba cha Yusto na kumkuta amelala akiweweseka.

Yusto alikuwa anahema kwa nguvu huku jasho likimtoka hakika ile ndoto haikuwa ya kawaida, ilionekana kuwa na maana kubwa kwakwe hakutaka kuipuuza hata kidogo....

ITAENDELEA...


Njoo Whatsapp ukupata simulizi hii hadi mwisho

0756862047
 
Piga simu, tuma meseji au nitafute WhatsApp kwa namba hii hii
0756862047
Utapata simulizi ya DO NOT SHOUT hadi mwisho, pamoja na simulizi nyingine nzuri zenye visa vya KUSISIMUA.

Karibu
0756862047
IMG-20220326-WA0001.jpg
IMG-20220417-WA0000.jpg
 
DO NOT SHOUT
(Usipige kelele)

Sehemu ya................19
Mtunzi: Saul David
WhatsApp: 0756862047

ILIPOISHIA....

Yusto anaota ndoto akifurahia penzi na mwanamke anaempenda Caren, lakini tukio la ajabu linatokea katika ndoto hiyo linalomfanya Yusto kushtuka usingizi na kuanza kuitafakari ndoto hiyo ya ajabu. Jasusi Brandina anashuhudia namna Yusto alivyokuwa akiweweseka wakati akiwa ndotoni.

SASA ENDELEA...
Yusto alichukua zaidi ya dakika mbili akiwa kimya kabisa kujaribu kuitafakari ndoto ile ya ajabu.

"Risasi, kwa nini Sophia ampige risasi Caren?"
Yusto alikuwa akijiuliza pasipo kuwa na majibu. Alitamani kumpigia simu Caren lakini alishindwa kutokana na uwepo wa Brandina mle ndani.

Brandina alichukua taulo lililokuwa limetundikwa ukutani kisha akasogea na kukaa pembeni ya Yusto akawa anamfuta futa jasho lililokuwa likimtoka usoni.
Brandina aliendelea na zoezi hilo huku akimtazama Yusto kwa macho maregevu.

"Una shida gani Yusto, umeota nini mchana wote huu, jambo gani linakutatiza mwanaume wa shoka kama wewe" alisema Brandina na safari hii alianza kumfuta futa Yusto maeneo mengine ya mwili wake ambayo hata hayakuwa na jasho wakati huo Yusto alikuwa kifua wazi.

"Ooh asante Brandina niko sawa usijali"
Alisema Yusto huku akisogea pembeni akanyanyuka na kufungua kabati la nguo akavaa shati lake la mikono mirefu.

Kiasi Brandina alikwanzika na kitendo hicho, Yusto alionyesha wazi kuwa amemkwepa. Brandina akasimama huku safari hii akivaa sura yake ya kazi.

"Nambie Yusto ni lipi unalijua mpaka sasa kuhusu Caren ninaimani umefanya upelelezi wa kutosha" aliuliza Brandina.

Yusto alitulia kimya kwa sekunde kadhaa, akawa anawaza ajibu nini hakuwa anampeleleza Caren kama wanavyojua wao la hasha yeye alikuwa amezama penzini na mwanamke huyo.
Yusto aliinua macho kumtazama Brandina, akakuta Brandina amemkazia macho kiasi cha kumfanya Yusto atazame pembeni.

"Aah.. unajua Brand...." Alisema Yusto lakini kabla ya kumaliza sentensi yake Brandina alidakia.

"Sikiliza Yusto kwa ninavyokuona unachokwenda kuniambia sasa hivi ni uongo. Wewe na Caren mnamahusiano ya kimapenzi kataa kubali ila huo ndio ukweli"
Alisema Brandina akiwa amekunja mikono yake huku akipiga hatua taratibu kuzunguuka kile chumba.

"Yusto umeonyesha udhaifu mkubwa sana kuyapa mapenzi kipao mbele na kazi ukaiacha nyuma huo ni uzembe, ndio maana mpaka sasa hamjafanikiwa kutatua chngamoto ya matatizo hapa chuoni. Hebu fikiria vipi kama Caren ndiye agent muhusika wa haya matukio yote, vipi kama hakupendi ila amegundua wewe ni mlinzi wa Siri hivyo amekuweka karibu ili afanikishe mipango yake kiurahisi, Yusto umeshindwa kuwaza yote haya ni kama vile hujapata mafunzo yoyote" Brandina aliongea maneno ambayo kwa kiasi yalimuingia Yusto akawa kimya.

"Sasa sikia kama yeye anakutumia basi na wewe mtumie kwanzia leo hakikisha unamjua kiundani sawa Yusto naongea kama Jasusi mkubwa wako wa kazi" alisema Brandina kisha akasogea mlangoni tayari kuondoka lakini akasita.

"Yusto, kingine ni kuhusu Sophia usipo angalia yule mwanamke atajiuwa kwa ajili yako hebu kuwa muangalifu, ukaribu wako na Caren unamuumiza Sophia sana na sio kidogo, mimi naenda zingatia yote niliyokwambia"
Alisema Brandina lakini kabla hajatoka mlangoni wakagongana uso kwa uso na Frank aliyekuwa anaingia. Walitazamana kwa sekunde kadhaa huku Frank akionekana kukosa ujasiri wa kumtazama Brandina usoni, mwisho walisalimiana Brandina akaondoka zake.

"Vipi Frank kwema" Yusto aliuliza baada ya kuona rafiki yake Frank ni kama ameduwaa hazungumzi chochote.

"Ah..ni..ni kwema"alijibu Frank

"Hauko sawa mimi ndo nakujua, nambie nini shida" alisema Yusto huku akifungua friji akachukua kinywaji na kumrushia Frank.

"Aah ni kweli bro mimi siko sawa, huyu Brandina ananichanganya sana tangu nilipomuona kwa mara ya kwanza, Moyo wangu unashindwa kabisa kutulia nahisi nampenda, lakini sijui hata wapi pa kuanzia kumtazama tu nashindwa" alisema Frank.

"Hahahahahah ...uuuhuhuhuuh... Hatimae umenasa, kudadadeki, hahaha hebu subiri kwanza sasa Frank unaanzaje kumpenda mwanamke Jasusi hahaha"

"Kwa hiyo unanicheka jamaa"
"Aah no, no, no, a si..si..sio kwamba naku...hahahaha sikucheki ila umenishangaza in-short sawa sikatai Brandina ni mzuri, mrembo anavutia na anasifa za kuwa mwanamke bora lakini sasa..hahaha" Yusto alishindwa kumalizia sentesi yake akajikuta anacheka tena na tena.

Kumbe maneno yote hayo Brandina alikuwa mlangoni anawasikiliza hakuwa ameondoka moyo wake uliingia na kaubaridi ka furaha baada ya kusikia Yusto anamsifia akaondoka huku akitabasamu, wala hakujali kuhusu maneno ya Frank aliyeweka hisia zake wazi.

" Sikatai sawa Brandina ni mzuri, mrembo anavutia na anasifa za kuwa mwanamke Bora lakini sasa..hahaha"

Maneno hayo yalizidi kujirudia rudia kwenye kichwa cha Brandina akajikuta anatabasamu kwa furaha.
Alitembea hadi jikoni akaingia stoo ya chakula na huko alimkuta Simigo jasusi mwenzake akiwa bize na mitambo waliyokuwa wameifunga kwa siri eneo hilo ikiwa ni moja ya harakati zao za kazi.

"Vipi unaangalia nini" Brandina aliuliza baada ya kumuona Simigo amekaza macho yake kwenye compyuta.

"Ni Caren, nimeweza kuidukua simu ya Caren angalia, kwa sasa tunaweza kupata kila kitu yaani meseji zake atakazo tumiwa simu atakazo piga na kupokea zote tutazipata" alisema Simigo.
Brandina alikunja sura yake kwa mshangao.

"How did you do that"(umewezaje?) Aliuliza Brandina na hapo Simigo akamsimulia kilichotokea mda mfupi baada ya yeye kuondoka.

DAKIKA 20 ZILIZOPITA...
Baada ya Caren kukwaruzana na Sophia aliyekuwa anamuomba aachane na Yusto, Caren alijikuta anazidi kupoteza mudi kabisa, alitembea kwa hasira lakini mara akagongana na Simigo ambae nae alikuwa anatembea kuelekea kule alikotoka Caren. Simu ya Caren ikadondoka chini.

"Ooh samahani samahani dadangu sikukuona" alisema Simigo huku akiinama kumsaidia Caren kuokota simu yake.
Wakati Simigo akiiokota simu hiyo kwa tahadhali na ufundi mkubwa alichomeka kifaa flani kidogo mno kwenye eneo la kuchajia simu, wala hakikuwa kikionekana kwa urahisi eneo la kuchajia simu lilibaki kama kawaiba lakini kifaa hicho hilijibana kwa pembeni sana.

Simigo alimpatia Caren simu yake huku akizidi kuomba msamaha, Caren alitikisa kichwa chake kukubali kisha akaondoka pasipo kusema neno lolote.
****

Hivyo ndivyo ilivyokuwa, Simigo alimaliza kumsimulia Brandina namna alivyoweza kuidukua simu ya Caren. Sawa walikuwa na uwezo wa kujua kila kinachoendelea kwenye simu ya Caren.

Mara compyuta ilitoa mlio wa sauti, wote wakawahi kuangalia, ulikuwa ni ujumbe wa maandishi alioutuma Caren.

"Yusto baba, niko hovyo sana mwenzio sina mudi nzuri, unaweza kuja chumbani kwangu kama hutojali mpenz"

Simigo na Brandina walimaliza kuusoma ujumbe huo wa maandishi kisha wakatazamana.
*****

Yusto akiwa bado chumbani kwake na rafiki yake Frank alimaliza kuusoma ujumbe wa maandishi aliotumiwa na Caren akimtakaa aende chumani kwake.

Kabla hajajibu Yusto alitulia kwa muda huku mawazo yake yakimpeleka mbali sana hakuwa amesahau maneno aliyoelezwa na Brandina muda mfupi uliopita.

""Caren, caren, ukweli nakupenda sana, lakini acha kwanza niifanye kazi yangu, lakini haijarishi nini kitatokea kati yetu nitasimama upande wako daima"" aliwaza Yusto kisha akatuma ujumbe akimtaarifu Caren kuwa anakuja.

"Sasa dogo Frank natoka mara moja, huyo Brandina nitakusaidia utampata usijali kaka yako nipo hapa fundi mwenyewe" alisema Yusto huku akitabasamu


Caren yuko matatani baada ya simu yake kudukuliwa..
Vipi Yusto atafanya nini siku akiujua ukweli wa Caren...
Brandina je anawaza nini...
Vipi kuhusu John ambae hatujui yuko wapi kwa sasa....
Ni nini hatima ya haya yote kati ya Yusto, Caren, Sophia, Frank, Brandina na John.??


Nitafute kwa namba 0756862047 kujipatia simulizi hii hadi mwisho
 
PUNGUZO!!

SIMULIZI HII ITAPATIKATA KWA TSH 1500 TU (1-80)

TUTAENDELEA TARATIBU SANA HUMU JAMII FORM,

NJOO WHATSAPP UJIPATIE YOTE KWA PAMOJA.

0756862047
IMG-20220326-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom