Simulizi: Zawadi - Sehemu ya 1-7

Simulizi: Zawadi - Sehemu ya 1-7

Lizzy unafanya utani unajua hii pesa aisee, we mchaga wa wapi? ongea na hawa tigo hapo chini wakulipe aisee maana kwanza wanztuziba tu hapo bure, wakudhamini
 
Lizzy unafanya utani unajua hii pesa aisee, we mchaga wa wapi? ongea na hawa tigo hapo chini wakulipe aisee maana kwanza wanztuziba tu hapo bure, wakudhamini

Hahhaha...BiBi unataka nianze kusemwa Mchagga mie mawazo yote kwenye pesa tu?!
 
Lizzy, naisubiri Nr 5, pleeese! au ndio itaendelea wiki ijayo!
usinikumbushe mambo ya zamani na gazeti la sani..... itaendelea toleo lijalo, halafu hujui hata lijalo ni lini!
 
Lizzy, naisubiri Nr 5, pleeese! au ndio itaendelea wiki ijayo!
usinikumbushe mambo ya zamani na gazeti la sani..... itaendelea toleo lijalo, halafu hujui hata lijalo ni lini!

Hahahaha...Elia hata siwezi ahidi lini ITAENDELEA... maana hata mimi sijui.Labda this time itabidi msubirie kidogo!!
 
Lızzy cna cha kusema nasubırıa party ya mwısho
 
admins... Please do us a favour and mark this thread sticky.. So that its easier to find.. Lizzy, good job lkn bahati mbaya natumia mobile cwezi kukupa like na ile tab ya thanks nayo imepotea, but its fantastic..!
 
admins... Please do us a favour and mark this thread sticky.. So that its easier to find.. Lizzy, good job lkn bahati mbaya natumia mobile cwezi kukupa like na ile tab ya thanks nayo imepotea, but its fantastic..!

AM asante sana...ntaongea na mods niwaombe waifanye sticky...
 
Lizzy wewe ni mwandishi by profshn?please hebu ni jibu manka wetu wa jf.hii ki2 zawad si mchez,full arngd.
 
Back
Top Bottom