Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh balaa hiiPUNYETO hainzwi ukubwani.....unasikia kijiweni unaenda kujaribu....utajuta ...
Uchawi ipooooo mzee.Za jioni wakuu
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata dem tukaenda sawa na process zote za Ndoa ziko Tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa Hivi naona hanivutii kabisa kila Siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila Haja nikosea kitu
Naweza nisipende tu alivyo vaa nikachukia Siku mzima,
Akinisemesha najibu mbovu tu,kuna muda nahisi nimekosea kumchagua japo sioni udhaifu mkubwa wakutisha kwani nimehack sim yake sioni SMS mbovu wala maongezi mabaya ila ni hali tu imekuja ghafla tena mbaya zaidi baada ya kujitambulisha kwao
NB mahusiano yana almost 2yrs
Uliza mkuuNikuulize swali ?
Wewe kijana ni mpumbavu sana, ukiendelea na ujinga huu utakuja kuolewa wewe. Kwanini mnapenda kuwaumiza watoto wa wenzenu kiasi hiki?Za jioni wakuu
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata dem tukaenda sawa na process zote za Ndoa ziko Tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa Hivi naona hanivutii kabisa kila Siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila Haja nikosea kitu
Naweza nisipende tu alivyo vaa nikachukia Siku mzima,
Akinisemesha najibu mbovu tu,kuna muda nahisi nimekosea kumchagua japo sioni udhaifu mkubwa wakutisha kwani nimehack sim yake sioni SMS mbovu wala maongezi mabaya ila ni hali tu imekuja ghafla tena mbaya zaidi baada ya kujitambulisha kwao
NB mahusiano yana almost 2yrs
Yeah! Nimesikitika sana sana kwa kweli kama story yake ni ya kweliUnatumia mafuta gani kupigia nyeto?
Kuwa siriaz bropunguza punyeto
Nchi ngumu hiiEitha wewe au yeye mmoja wenu atakuwa na mimba
Ni kweli hii ishu kabisa bro yani hapa nawaza nitamwambia nini mama,na ndugu wanao subiri kwa ham shughuli yanguYeah! Nimesikitika sana sana kwa kweli kama story yake ni ya kweli