Zaidi ya miaka mitano....Mubarridi atanisaidia kujibu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi ya miaka mitano....Mubarridi atanisaidia kujibu....
Miaka miwili mtu anapata papuchi freely kila anapojisikia (maelezo ya mtoa mada ni kama vile tayari wanaishi "sogea tuishi").Single fathers mna matatizo sana😀, ila mi nahisi umerogwa...tena na mama mtoto, hataki uoe.
Anamendea chura yako...Unasubiri embe dodo chini ya mnazi, Asprin haniachi ng’o.
Wala hiyo sio sababu, watu wanapata papuchi kabla ya ndoa na wanaendelea na wanakuja kuoa vizuri tu. Sidhani ka ndoa ni papuchi peke yake...ingekuwa hivyo Basi watu wasingeoa ama kuolewa maana papuchi na mb.oo zinapatikana freely anytime, unachagua aina yoyote utakayo.Miaka miwili mtu anapata papuchi freely kila anapojisikia (maelezo ya mtoa mada ni kama vile tayari wanaishi "sogea tuishi")..
Hahahahaha...!! I see your point also.Wala hiyo sio sababu, watu wanapata papuchi kabla ya ndoa na wanaendelea na wanakuja kuoa vizuri tu. Sidhani ka ndoa ni papuchi peke yake...ingekuwa hivyo Basi watu wasingeoa ama kuolewa maana papuchi na mb.oo zinapatikana freely anytime, unachagua aina yoyote utakayo.
Jamaa ana matatizo yake mengine
Yes kavurugwa...sio muoaji huyo huoni ni single father 🏃🏃Hahahahaha...!! I see your point also.
Basi labda mtoa mada kavurugwa.
Utakuwa umeonja kwingineZa jioni wakuu,
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila Haja nikosea kitu..
Bila kupoteza Muda ngoja nikupe jibu kuna sababu za kisaikolohia na sababu za ki roho, Naaza na za kisaikolojia. Huenda baada ya kufanya process zote za ndoa na unajuabhuyo ndiye unayekuja kuishi nae umeanza kumlinganisha yeye na vi dada vingine kwenye mitandao huko fb, insta nk, au ukaanza kupimishia wadada wa sehemu unapofanya kazi, majirani zako au sehemu za vituo vya daladala town Trust me huku mjini hasa Dsm kuna sehemu unaeza enda ukaona kila mdada unaekutana nae ni mrembo hadi huyo wako unahisi ilikuaje ukanasa kwake hasa huko Posta, Mwenge na Kkoo.Za jioni wakuu,
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila Haja nikosea kitu....
Nahisi kuna jambo lilifanywa kwa wivu huko kwao ili usimuoe yeye au kuna namna Mungu anakuepusha shirikisha wazazi wako na yeye mwenyewe na wachungaji.Za jioni wakuu,
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila Haja nikosea kitu...
Pendekeza mmoja wa watumishi mwenye uelewa wa vidole ili apate huduma ya kirohoBila kupoteza Muda ngoja nikupe jibu kuna sababu za kisaikolohia na sababu za ki roho, Naaza na za kisaikolojia.
Huenda baada ya kufanya process zote za ndoa na unajuabhuyo ndiye unayekuja kuishi nae umeanza kumlinganisha yeye na vi dada vingine kwenye mitandao huko fb...
Lipia tangazonimehack sim yake sioni SMS mbovu wala maongezi mabaya
Ukiona hivi basi juwa hizi ni dalili za wewe kuwa shoga, ipo siku utasikishwa ukuta tu kwa kutaka wewe mwenyewe.Za jioni wakuu,
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila Haja nikosea kitu...
umerogwa si bure. Hebu mgeukie munguZa jioni wakuu,
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila Haja nikosea kitu...