EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Hahaha we jamaa unataka umpige treesNa wewe safiri uje kwangu nikupige miti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha we jamaa unataka umpige treesNa wewe safiri uje kwangu nikupige miti
Si ndo kuna mwanaume nae amelipa mahari sehemu, ila ni mwanaume loose hafatilii mkewe, unatokea wewe ambae umelipa mahari kwengine umemficha wako ndani unaenda kutafuna wa bwege mwengine ila mkisikia wamechomwa visu mnawatukana😂Nature hairuhusu hivyo,kitendo cha mimi kutoa mahali basi ni ishara tosha kuwa huyo mwanamke ataishi chini ya matakwa yangu,nature imekipa nguvu kiumbe cha jinsia ME,angalia kwa wanyama na ndege,hiyo ndo asili
Ha ha haHahaha we jamaa unataka umpige trees
Mume wangu anataka kusafiri likizo njee za nchi likizo
Nina umia Sina imani na Safar yake anadai amepata mualiko toka kwa watu Walio mfadhiri masomo shule
😂Mwanaume ni kiumbe kinaacha uchi wa mwanamke chumbani kwake na kuvuka mipaka ya nchi kufuata uchi mwingine. 🙈
Mimi kuna siku nilimuuliza mke wangu "Unataka niache kazi nikae tu hapa nyumbani ili kila mda unione?" Manake ilikua ni kero kila saa unaulizwa uko wapi? Unarudi saa ngapi? Ukisema niko kazini unaambiwa rudi nyumbani hujui una familia? 🙄Unataka akae hapo muote Moto wa umasikini.
mfuatilieMume wangu anataka kusafiri likizo njee za nchi likizo
Nina umia Sina imani na Safar yake anadai amepata mualiko toka kwa watu Walio mfadhiri masomo shule
Nini kinakuumiza hapo shemuMume wangu anataka kusafiri likizo njee za nchi likizo
Nina umia Sina imani na Safar yake anadai amepata mualiko toka kwa watu Walio mfadhiri masomo shule
Nini kinachokuumiza? gharama kubwa za safari?, atachepuka?. Kama wasiwasi wako ni kuchepuka basi hata asiposafiri anaweza kuchepuka tu.Mume wangu anataka kusafiri likizo njee za nchi likizo
Nina umia Sina imani na Safar yake anadai amepata mualiko toka kwa watu Walio mfadhiri masomo shule
Kwa maelezo yake inaonekana anaogopa mumewe atachepuka. Maana kasema hana imani na iyo safariUnaogopa nini sasa??? Hofu yako ni nini haswa? Harudi? Haendi nje? Utalala njaa au nini?
Sasa utakula chakula kimoja kila siku?🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti🤣 mwanaume ni kiumbe ambaye amelala na mkewe kitandani ila ana bargain K ya 40,000 na dada poa kwa simu🤣
Mkiwa mnaugua na kujinyea vitandani baada ya kupata HIV mbona huwa hamuitishi hivyo vyakula mbalimbali. Mnakazi ya kusumbua wake zenu hadi mnakata rohoSasa utakula chakula kimoja kila siku?
Atafute hela aache kuwaza kidudu, kwani akichepuka inaisha??!!Kwa maelezo yake inaonekana anaogopa mumewe atachepuka. Maana kasema hana imani na iyo safari
Hao wake huwa hawaumwi uko kwenye ndoa? Hapa ninapoishi kuna mshua anamuuguza mke wake amepooza mwaka wa 3 sasa hivi yupo tu kitandani.Mkiwa mnaugua na kujinyea vitandani baada ya kupata HIV mbona huwa hamuitishi hivyo vyakula mbalimbali. Mnakazi ya kusumbua wake zenu hadi mnakata roho
AKili yako ndio imekufikisha hapa sindioNa wewe safiri uje kwangu nikupige miti