Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Mimi ni mkristu. Ila naunga mkono hoja ya jamaa, hawa wenzetu walokoke ni washamba mno. Azana za msikitini hazina kelele kihivyoNyie vipaza sauti vyenu alfajiri, mchana saa saba, na jioni saa 12 na saa mbili usiku hmvisikii?
Hahahahahahahahaaa nakufa mm jamaniUsiombe wakawa waha Sasa 😀😀😀 utaskia piiiiiiiigaaaaaaaaaaaaaaa....
Hahaaa unajaribu kuvuta picha.Hahahahahahahahaaa nakufa mm jamani
Ngariba1
Ndani ya Neno la Mungu kuna LUGHA na KANUNI ni watu wengi hushindwa kuelewa lugha na kanuni za Neno la MunguWalokole siwapingi..,ila pale wanapoenda tofauti na huo kauli ya Mwokozi wenu nawashangaa sanaView attachment 1722961
Nina kaeneo kangu nje kabisa ya mji, ambako ninalima na kufuga kiaina. Sifa moja ya huku ni ukimya wake. Hivyo niliamua kuweka kakibanda ambako ninalala siku nikiamua kuja, nina lala huku, ili kujitibu na kelele za mjini.
Sasa leo nimekuja, nakuta kelele za ajabu. Kumbe kuna kanisa limefunguliwa. Watu wanasali kwa kulia, kuimba na kupiga makelele.
Hivi walokole hamuwezi sali bila kupigia watu kelele?
Wewe kama umeshindwa kumtafuta Mungu kila la heri tuache sisi na ulokole wetu tuwasiliane na Mungu wetu
Hao wanaofunga maporomondo makubwa mengi alfajiri, mchana na jion wanapga kelele mji mzima, na hao wanaokesha wanapga ma nyimbo na ugomvi na karaha na makelele ya kila namna, mbona sisi hatujasema, kwahyo kuweka ka kitega uchumi kako hapo ndo unataka watu wote wakuone wew nan, na unataka kuzuia watu wasifanye mambo yako kisa wew au?Nina kaeneo kangu nje kabisa ya mji, ambako ninalima na kufuga kiaina. Sifa moja ya huku ni ukimya wake. Hivyo niliamua kuweka kakibanda ambako ninalala siku nikiamua kuja, nina lala huku, ili kujitibu na kelele za mjini.
Sasa leo nimekuja, nakuta kelele za ajabu. Kumbe kuna kanisa limefunguliwa. Watu wanasali kwa kulia, kuimba na kupiga makelele.
Hivi walokole hamuwezi sali bila kupigia watu kelele?
Hayo unayajua wewe. Sisi ni kazi moja tu kuwasiliana na Mungu wetu kupitia jina lenye herufi nne tu 'YESU'Ila na unafiki mko vizuri
Hayo unayajua wewe. Sisi ni kazi moja tu kuwasiliana na Mungu wetu kupitia jina lenye herufi nne tu 'YESU'
Wote tunampenda Mungu, ila nyie walokole mnakera Sana, sijui mnaona wengine mashetaani.
Hiyo ya kelele za maombi sio mbaya, ila magitaa na manyimbo yenu sauti inaenda kms kadhaa.
Kazi kuoana tu humo makanisani, uzinzi ni dhambi imewashinda kabisa.
Tanzania tungelikua watu wote wenye akili kama yako, nahsi ujinga tungelikua tumeushinda kitambo tu, ila badala yake bado vilaza ni wengi kama mleta hii thread!Mungu huweza kutizama machozi ya Mtu na kujua ana shida gani.
Acha walie bhana.
Wewe kama huwa usali, basi appreciate wanao sali na kuombe nchi.
Just imagine tulitabiliwa tutakufa kama kuku wa kideli.
Cha ajabu ni kwamba walevi wakiwa bar hawawasemi wachungaji hataUsiwasahau walevi wenzio kwenye bars & vilabu vya K-Vant
Sasa bila kutoa tafsiri ya hicho kifungu, utakuwa bado hujafanya lolote ndugu.siku zote maandiko yanavyoandikwa sivyo yatafsiriwavyo sidhani kama umeelewa hivyo vifungu
Leta hapa hizo LUGHA na KANUNI ili nasi tujifunze pia.Ndani ya Neno la Mungu kuna LUGHA na KANUNI ni watu wengi hushindwa kuelewa lugha na kanuni za Neno la Mungu
eeehahahaaa...halafu waache kujenga vibanda vya mabati
utafikiri ndio bulding code