Sina mashaka na Rais Samia Suluhu Hassan

Sina mashaka na Rais Samia Suluhu Hassan

ULitaka wauziwe waroma kwasababu we ni mfuasi wao? Mmeshazidiwa ujanja sasa mkameze sumu. Ngedere nyie
Hao ndugu zenu wa DP World tutawafurumisha.
Nyie shule inawasumbua, msicheke mkafikiri memaliza.
Muda unahesabika tu, wewe subiri.
 
Sintofahamu ya mkataba kutokana na logic au ujinga wa watu kulazimisha tafsiri zao za kupotosha kuhusu mkataba?

Kama Mahakama imesema sawa! Tena majaji 3 wewe nani ulete tafsiri zako za kijinga alafu ndo useme una hoja?
Hizo so called tasfiri za kijinga kwa hao werevu wanaotuingiza kwenye mikataba lukuki mpaka leo ( na mwingine kushangaa vipengele vinaongezwaje yeye bila kujua wala mtu kuwajibishwa) ndio inayopelekea kama taifa kuendelea kuwalipa makampuni from our hard earned cash
 
Tangu nijiunge JF nimewahi kuitwa Lissu, Makonda, Mwigulu na Msando. Kwa hiyo sishangai wewe kuniita Samia
Sehemu ambapo kuna waislamu wengi hakuna maendeleo yyte. Angalia Tanga, Lindi, Zanzibar, Pwani na Mtwara hakuna maendeleo.
Hao tutawafurumisha mpk utakuja shangaa. Muda utaongea tu
 
Hizo so called tasfiri za kijinga kwa hao werevu wanaotuingiza kwenye mikataba lukuki mpaka leo ( na mwingine kushangaa vipengele vinaongezwaje yeye bila kujua wala mtu kuwajibishwa) ndio inayopelekea kama taifa kuendelea kuwalipa makampuni from our hard earned cash
Tumewalipa kwa kufuta mikataba kwa mihemko na bila kufuata taratibu au kwa sababu ya ubaya wa mikataba?
 
Sehemu ambapo kuna waislamu wengi hakuna maendeleo yyte. Angalia Tanga, Lindi, Zanzibar, Pwani na Mtwara hakuna maendeleo.
Hao tutawafurumisha mpk utakuja shangaa. Muda utaongea tu
Vipi kuhusu Dubai, Kuwait, Qatar , Uturuki na Saudi Arabia?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kusimamia vikao vya bunge na kuwa kiongozi wa nchi.Najua utasema ndio.Kama ndio basi hoja yako ya kwanza inaweza isiwe backed up na maelezo yako.

Samia wewe unayemjua ambao wengine hatumjui ni yupi?Huyu ambaye kwa sasa ndiye kiongozi mkuu wa Tanzania au Samia kama mama yako au mume wake labda unakitu cha ziada ambacho wengine hatufahamu?

Kama kiongozi wa kisiasa na Rais nadhani kila mtu anamjua.Habari njema ni kwamba ni kiongozi mwenye uwezo mdogo.Jambo ni jepesi, kama kweli huu uwekezaji unaotakiwa kufanyika umefanyika katika njia sahihi kwanini itumike nguvu kubwa kudhibiti wale wasio kubaliana na utaratibu wao?
 
Mleta mada tukitoa hilo bunge katiba ambalo pia lilifeli kwa kiwango kikubwa !
Ni wapi huyo mama yenu iron lady wa mchongo ana historia ya uongozi hapa Tanzania bara na visiwani?
 
Sikuwahi kumfahamu vizuri kabla ya Bunge la Katiba.

Ila wakati wa Bunge la Katiba kuna muda alikuwa anachair vikao kipindi kile kina Tundu Antipass Lissu wana mchecheto kweli.

Kusema kweli Rais Samia hasumbuliwi na siasa za maneno, sijui siasa za vitisho, sijui siasa za kuponda. Kipindi kile pamoja na vituko vyote vya kina Tundu Antipass Lissu ila alikuwaga imara sana kuchair vile vikao vya Bunge la Katiba.

Kwa kifupi she was bold kuliko kina Pandu Amir Kificho na Spika wa Bunge lile.

Kuna watu wanadhani Mama Samia anatishika na matamko yao uchwara, kuna watu wanadhani anakosa usingizi. Napenda kuwaambia hamumjui vizuri Samia Suluhu Hassan. Huyu ana ngozi ngumu kwenye siasa za ushindani nadhani kuliko mwanasiasa yeyote yule tuliyewahi kuwa nae. Ndo mana aliweza hata kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wapinzani wake Bawacha .

Nikimuangalia sana namfananisha sana na mwanasiasa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Bi Margareth Thatcher ambaye alikuwa bold hadi waingereza walimpa Nickname ya Iron Lady

Poleni sana mnaodhani mnaweza kumtetemesha Rais Samia kwa matamko yenu.
Lord umekumbwa na nini? Mbona kama unachanganyikiwa sasa? DPW walikuahidi cheo cha Ulinzi?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kusimamia vikao vya bunge na kuwa kiongozi wa nchi.Najua utasema ndio.Kama ndio basi hoja yako ya kwanza inaweza isiwe backed up na maelezo yako.

Samia wewe unayemjua ambao wengine hatumjui ni yupi?Huyu ambaye kwa sasa ndiye kiongozi mkuu wa Tanzania au Samia kama mama yako au mume wake labda unakitu cha ziada ambacho wengine hatufahamu?

Kama kiongozi wa kisiasa na Rais nadhani kila mtu anamjua.Habari njema ni kwamba ni kiongozi mwenye uwezo mdogo.Jambo ni jepesi, kama kweli huu uwekezaji unaotakiwa kufanyika umefanyika katika njia sahihi kwanini itumike nguvu kubwa kudhibiti wale wasio kubaliana na utaratibu wao?
Imetumika nguvu kwa mujibu wa nani?

Samia ni yule yule. Anayeaminiwa kwenye kidogo anaaminiwa kwenye vikubwa. Hajabadilika zaidi amezidi kuwa bora zaidi!!
 
Mleta mada tukitoa hilo bunge katiba ambalo pia lilifeli kwa kiwango kikubwa !
Ni wapi huyo mama yenu iron lady wa mchongo ana historia ya uongozi hapa Tanzania bara na visiwani?
Amekuwa Waziri bara na visiwani na aliongoza vizuri tu Wizara alizoziongoza. Amekuwa Makamu wa Rais awamu ya tano na amehudumu vizuri sana
 
Imetumika nguvu kwa mujibu wa nani?

Samia ni yule yule. Anayeaminiwa kwenye kidogo anaaminiwa kwenye vikubwa. Hajabadilika zaidi amezidi kuwa bora zaidi!!
Kwa mujibu wangu inatumika nguvu kubwa unajua kwanini?

Sababu ni hizi hapa:waliokamatwa na kuwekwa chini ya uangalizi wa polisi(kuna maelezo yanaonyesha walikuwa hawakubaliani na utaratibu namna uwekezaji unatakiwa kufanyika.Rejea speech ya mkuu wa mkoa wa Dar-es-salam kabla haijakanushwa).

Nguvu nyingine ni kuhusisha wanaopinga mchakato wa uwekezaji na udini(rejea machapisho mengi hapa JF).

Hii yote inafanyika hili kupata nini?kama kweli jambo limenyooka kwanini implementation isianze tuone matokeo.Habari njema ni kwamba huu walaka ulioita uchwara ndio kihama cha kiongozi wako kama kweli hili jambo kalifanya katika namna isiyo sahihi
 
Sikuwahi kumfahamu vizuri kabla ya Bunge la Katiba.

Ila wakati wa Bunge la Katiba kuna muda alikuwa anachair vikao kipindi kile kina Tundu Antipass Lissu wana mchecheto kweli.

Kusema kweli Rais Samia hasumbuliwi na siasa za maneno, sijui siasa za vitisho, sijui siasa za kuponda. Kipindi kile pamoja na vituko vyote vya kina Tundu Antipass Lissu ila alikuwaga imara sana kuchair vile vikao vya Bunge la Katiba.

Kwa kifupi she was bold kuliko kina Pandu Amir Kificho na Spika wa Bunge lile.

Kuna watu wanadhani Mama Samia anatishika na matamko yao uchwara, kuna watu wanadhani anakosa usingizi. Napenda kuwaambia hamumjui vizuri Samia Suluhu Hassan. Huyu ana ngozi ngumu kwenye siasa za ushindani nadhani kuliko mwanasiasa yeyote yule tuliyewahi kuwa nae. Ndo mana aliweza hata kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wapinzani wake Bawacha .

Nikimuangalia sana namfananisha sana na mwanasiasa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Bi Margareth Thatcher ambaye alikuwa bold hadi waingereza walimpa Nickname ya Iron Lady

Poleni sana mnaodhani mnaweza kumtetemesha Rais Samia kwa matamko yenu.
interesting
 
Back
Top Bottom