Sina mashaka na Rais Samia Suluhu Hassan

Sina mashaka na Rais Samia Suluhu Hassan

Sikuwahi kumfahamu vizuri kabla ya Bunge la Katiba.

Ila wakati wa Bunge la Katiba kuna muda alikuwa anachair vikao kipindi kile kina Tundu Antipass Lissu wana mchecheto kweli.

Kusema kweli Rais Samia hasumbuliwi na siasa za maneno, sijui siasa za vitisho, sijui siasa za kuponda. Kipindi kile pamoja na vituko vyote vya kina Tundu Antipass Lissu ila alikuwaga imara sana kuchair vile vikao vya Bunge la Katiba.

Kwa kifupi she was bold kuliko kina Pandu Amir Kificho na Spika wa Bunge lile.

Kuna watu wanadhani Mama Samia anatishika na matamko yao uchwara, kuna watu wanadhani anakosa usingizi. Napenda kuwaambia hamumjui vizuri Samia Suluhu Hassan. Huyu ana ngozi ngumu kwenye siasa za ushindani nadhani kuliko mwanasiasa yeyote yule tuliyewahi kuwa nae. Ndo mana aliweza hata kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wapinzani wake Bawacha .

Nikimuangalia sana namfananisha sana na mwanasiasa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Bi Margareth Thatcher ambaye alikuwa bold hadi waingereza walimpa Nickname ya Iron Lady

Poleni sana mnaodhani mnaweza kumtetemesha Rais Samia kwa matamko yenu.
Kaka mark hii reply, mambo yatageuka hadi utaona aibu.
 
Kaka mark hii reply, mambo yatageuka hadi utaona aibu.
Mark my words!!

No government will do such a thing. Never.

It will set a very bad precedent which will create chaos ambayo haitaweza kuzuiwa.

Dini hazimrishi serikali, Serikali hazifanyi shughuli zake kwa matakwa ya dini. Never in this World.
 
Share nasi mashaka ulikuwa nayo kwake kabla ya kuandika thread hii!!
 
Sikuwahi kumfahamu vizuri kabla ya Bunge la Katiba.

Ila wakati wa Bunge la Katiba kuna muda alikuwa anachair vikao kipindi kile kina Tundu Antipass Lissu wana mchecheto kweli.

Kusema kweli Rais Samia hasumbuliwi na siasa za maneno, sijui siasa za vitisho, sijui siasa za kuponda. Kipindi kile pamoja na vituko vyote vya kina Tundu Antipass Lissu ila alikuwaga imara sana kuchair vile vikao vya Bunge la Katiba.

Kwa kifupi she was bold kuliko kina Pandu Amir Kificho na Spika wa Bunge lile.

Kuna watu wanadhani Mama Samia anatishika na matamko yao uchwara, kuna watu wanadhani anakosa usingizi. Napenda kuwaambia hamumjui vizuri Samia Suluhu Hassan. Huyu ana ngozi ngumu kwenye siasa za ushindani nadhani kuliko mwanasiasa yeyote yule tuliyewahi kuwa nae. Ndo mana aliweza hata kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wapinzani wake Bawacha .

Nikimuangalia sana namfananisha sana na mwanasiasa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Bi Margareth Thatcher ambaye alikuwa bold hadi waingereza walimpa Nickname ya Iron Lady

Poleni sana mnaodhani mnaweza kumtetemesha Rais Samia kwa matamko yenu.
Ni kweli ulimuonea kwenye lile bunge la katiba, lakini kwa taarifa yako hakuwa na msimamo wa kusimamia sheria kama zitakavyo, bali kila mara walikuwa bunge lile linabadili sheria ili kuendana na utashi wa chama chake. Bunge lile lilienda kuchakachukua maoni ya wananchi, na kuweka maoni yaliyotakiwa na chama chake.

Hivyo unamsifia sio kwa ubora, bali kwa kiburi chake. Kwa hiki chama kilichoko madarakani kwa wizi wa kura, na kinachotegemea dola tu kukaa madarakani, siku zake zinahesabika.
 
Ni kweli ulimuonea kwenye lile bunge la katiba, lakini kwa taarifa yako hakuwa na msimamo wa kusimamia sheria kama zitakavyo, bali kila mara walikuwa bunge lile linabadili sheria ili kuendana na utashi wa chama chake. Bunge lile lilienda kuchakachukua maoni ya wananchi, na kuweka maoni yaliyotakiwa na chama chake.

Hivyo unamsifia sio kwa ubora, bali kwa kiburi chake. Kwa hiki chama kilichoko madarakani kwa wizi wa kura, na kinachotegemea dola tu kukaa madarakani, siku zake zinahesabika.
Mbowe anabadili katiba kuendelea kubaki kuwa Mwenyekiti wa Chadema, mbona kila siku unamsifia hapa?
 
Kwa vile wananchi wengi tupo upande wa serikali, basi raisi hawezi kuwa na hofu kuhusu mikwara ya waandika barua za mipasho kupitia kichaka cha dini.

Hili litapita na mkataba utaendelea kama kawaida... Trust me 🤞
Serikali hii hii iliyoko madarakani kwa kupora uchaguzi ndio iko upande wa wananchi wengi? Kwa taarifa yako hilo Tamko la TEC lina nguvu kuliko maamuzi ya serikali na bunge. Ndio maana tunataka uchaguzi uheshimiwe, lengo la kuheshimu uchaguzi ni kupata viongozi wenye uhalali wa umma, kiasi kuwa wakifanya maamuzi hata umma unakuwa upande wake. Lakini hii ya kuingia madarakani kwa maagizo ya rais ndio mtajua maana ya uhalali wa umma.
 
Serikali hii hii iliyoko madarakani kwa kupora uchaguzi ndio iko upande wa wananchi wengi? Kwa taarifa yako hilo Tamko la TEC lina nguvu kuliko maamuzi ya serikali na bunge. Ndio maana tunataka uchaguzi uheshimiwe, lengo la kuheshimu uchaguzi ni kupata viongozi wenye uhalali wa umma, kiasi kuwa wakifanya maamuzi hata umma unakuwa upande wake. Lakini hii ya kuingia madarakani kwa maagizo ya rais ndio mtajua maana ya uhalali wa umma.
Leo ndo nime conclude kuwa wewe ni kilaza! Yaaani tamko la kanisa liwe na nguvu kuliko Serikali na Mahakama? Wewe jamaa ni chizi aiseee? Ushaona Tanzania ni Vatican eeeeh?
 
Mbowe anabadili katiba kuendelea kubaki kuwa Mwenyekiti wa Chadema, mbona kila siku unamsifia hapa?
Inaonekana hunijui vizuri, pitia post zangu karibia zote, msimamo wangu uko wazi kuhusu muda wa kiongozi wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Siamini kiongozi yoyote wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Kiongozi yoyote akikaa madarakani ya miaka 10 humaliza ubora wake na kuanza kutawala kwa mizengwe, mfano Nyerere, Mugabe, Gaddafi, Museveni nk. Kwenye list hiyo Mbowe yumo.

Toka uchaguzi wa 2015 Mbowe ampokee yule mzee tapeli wa kisiasa na kumpa nafasi ya kugombea urais, nilimpuuza kabisa. Na mimi ni mmoja wa washabiki wa CDM tunaosema wazi wazi kuwa Mbowe hastahili tena kuwa kiongozi wa CDM. Na sina popote ninapomsifia huyo Mbowe baada ya blunder ya Lowassa ile 2015.
 
Inaonekana hunijui vizuri, pitia post zangu karibia zote, msimamo wangu uko wazi kuhusu muda wa kiongozi wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Siamini kiongozi yoyote wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Kiongozi yoyote akikaa madarakani ya miaka 10 humaliza ubora wake na kuanza kutawala kwa mizengwe, mfano Nyerere, Mugabe, Gaddafi, Museveni nk. Kwenye list hiyo Mbowe yumo.

Toka uchaguzi wa 2015 Mbowe ampokee yule mzee tapeli wa kisiasa na kumpa nafasi ya kugombea urais, nilimpuuza kabisa. Na mimi ni mmoja wa washabiki wa CDM tunaosema wazi wazi kuwa Mbowe hastahili tena kuwa kiongozi wa CDM. Na sina popote ninapomsifia huyo Mbowe baada ya blunder ya Lowassa ile 2015.
Basi kwa hili hongera sana!
 
Leo ndo nime conclude kuwa wewe ni kilaza! Yaaani tamko la kanisa liwe na nguvu kuliko Serikali na Mahakama? Wewe jamaa ni chizi aiseee? Ushaona Tanzania ni Vatican eeeeh?
Nguvu hutoka kwa wananchi boss. Serikali na mahakama husimamia matakwa ya wananchi. Huwezi kunielewa maana unaamini serikali ina nguvu sana. Kwa kukusaidia tu, wananchi wakikataa hata serikali itumie mabavu vipi huishia kukwama. Ukitaka kujua nguvu ya wananchi ni zaidi ya serikali, tazama imebambikia watu kesi ya uhaini isiyo na dhamana lakini imewapa dhamana iliyowatuhumu.
 
Basi kwa hili hongera sana!
Sihitaji hongera yako maana msimamo wangu ni dhabiti siku zote. Na sio nimeanzia hapa kwako. Nadhani umejulia msimamo wangu kwenye suala la bandari, ukadhani msimamo wangu ni wa bendera fuata upepo.
 
Sihitaji hongera yako maana msimamo wangu ni dhabiti siku zote. Na sio nimeanzia hapa kwako. Nadhani umejulia msimamo wangu kwenye suala la bandari, ukadhani msimamo wangu ni wa bendera fuata upepo.
Ni haki yako kuwa na msimamo tofauti. Ni jambo la kawaida sana kwenye jamii na wala sishangai.

Ila faida za uwekezaji wa Bandari zitakunufaisha wewe na wengine wote. Na utakuja kushukuru hapa
 
Ni haki yako kuwa na msimamo tofauti. Ni jambo la kawaida sana kwenye jamii na wala sishangai.

Ila faida za uwekezaji wa Bandari zitakunufaisha wewe na wengine wote. Na utakuja kushukuru hapa
Sio kwa aina ya mkataba huo. Sina tatizo na uwekezaji wa yoyote. Kama watu wengi wameonyesha shaka, ni vyema serikali hata kama ina nia njema vipi lazima isikilize. Tena ukizingatia serikali hii ilipatikana kwa uchaguzi wa kihayawani wa 2020, ni vyema itii matakwa ya wananchi.
 
Sikuwahi kumfahamu vizuri kabla ya Bunge la Katiba.

Ila wakati wa Bunge la Katiba kuna muda alikuwa anachair vikao kipindi kile kina Tundu Antipass Lissu wana mchecheto kweli.

Kusema kweli Rais Samia hasumbuliwi na siasa za maneno, sijui siasa za vitisho, sijui siasa za kuponda. Kipindi kile pamoja na vituko vyote vya kina Tundu Antipass Lissu ila alikuwaga imara sana kuchair vile vikao vya Bunge la Katiba.

Kwa kifupi she was bold kuliko kina Pandu Amir Kificho na Spika wa Bunge lile.

Kuna watu wanadhani Mama Samia anatishika na matamko yao uchwara, kuna watu wanadhani anakosa usingizi. Napenda kuwaambia hamumjui vizuri Samia Suluhu Hassan. Huyu ana ngozi ngumu kwenye siasa za ushindani nadhani kuliko mwanasiasa yeyote yule tuliyewahi kuwa nae. Ndo mana aliweza hata kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wapinzani wake Bawacha .

Nikimuangalia sana namfananisha sana na mwanasiasa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Bi Margareth Thatcher ambaye alikuwa bold hadi waingereza walimpa Nickname ya Iron Lady

Poleni sana mnaodhani mnaweza kumtetemesha Rais Samia kwa matamko yenu.


 
Back
Top Bottom