Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #81
Hoja yako nini hasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yako nini hasa?
Ujumbe umekufikia lakini?Rekebisha heading ianze, SINA, NA SIKUWAHI KUWA NA MASHAKA NA ....
Maana ni kama una snitch!! Ukisomwa btn the lines!!
Mama ni kiongozi kweli. Usimchukulie poa.Mama kapwaya sana
Anaangusha wanawake kwenye uongozi, huwezi kufananisha na MigiroMama ni kiongozi kweli. Usimchukulie poa.
Anawaangushaje? Embu acha kumfananisha Samia na vituko!!Anaangusha wanawake kwenye uongozi, huwezi kufananisha na Migiro
Bandari za nchi anawauzia TARABUSHI...huyo mwanamke kweli??? Anaaibisha chama chetu. Hafai tuseme ukweli tuache unafikiAnawaangushaje? Embu acha kumfananisha Samia na vituko!!
Amewauziaje? Shilingi ngapi? Ameaibishaje chama?Bandari za nchi anawauzia TARABUSHI...huyo mwanamke kweli??? Anaaibisha chama chetu. Hafai tuseme ukweli tuache unafiki
Kwa hiyo nchi imeuzwa? Imeuzwaje? Wewe umeuzwa hapo ulipo?Kuna siku hii nchi itakuja kuuzwa-genius Ndugai (2022)
Zingatia neno "kuna siku"Kwa hiyo nchi imeuzwa? Imeuzwaje? Wewe umeuzwa hapo ulipo?
Kumbe neno tu? SawaZingatia neno "kuna siku"
Mnamfitini na kumfitinisha kisha mnakuja mitandaoni n chorus fekiSikuwahi kumfahamu vizuri kabla ya Bunge la Katiba.
Ila wakati wa Bunge la Katiba kuna muda alikuwa anachair vikao kipindi kile kina Tundu Antipass Lissu wana mchecheto kweli.
Kusema kweli Rais Samia hasumbuliwi na siasa za maneno, sijui siasa za vitisho, sijui siasa za kuponda. Kipindi kile pamoja na vituko vyote vya kina Tundu Antipass Lissu ila alikuwaga imara sana kuchair vile vikao vya Bunge la Katiba.
Kwa kifupi she was bold kuliko kina Pandu Amir Kificho na Spika wa Bunge lile.
Kuna watu wanadhani Mama Samia anatishika na matamko yao uchwara, kuna watu wanadhani anakosa usingizi. Napenda kuwaambia hamumjui vizuri Samia Suluhu Hassan. Huyu ana ngozi ngumu kwenye siasa za ushindani nadhani kuliko mwanasiasa yeyote yule tuliyewahi kuwa nae. Ndo mana aliweza hata kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wapinzani wake Bawacha .
Nikimuangalia sana namfananisha sana na mwanasiasa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Bi Margareth Thatcher ambaye alikuwa bold hadi waingereza walimpa Nickname ya Iron Lady
Poleni sana mnaodhani mnaweza kumtetemesha Rais Samia kwa matamko yenu.
Anafitiniwaje? Na nani?Mnamfitini na kumfitinisha kisha mnakuja mitandaoni n chorus feki
Ulidhani ni nini?Kumbe neno tu? Sawa
Acha waru waru, Njoo na hoja ya msingi, kumlinganishsa Samia na Margareth Thatcher kunaingiaje kwenye swala linalopingwa?Sikuwahi kumfahamu vizuri kabla ya Bunge la Katiba.
Ila wakati wa Bunge la Katiba kuna muda alikuwa anachair vikao kipindi kile kina Tundu Antipass Lissu wana mchecheto kweli.
Kusema kweli Rais Samia hasumbuliwi na siasa za maneno, sijui siasa za vitisho, sijui siasa za kuponda. Kipindi kile pamoja na vituko vyote vya kina Tundu Antipass Lissu ila alikuwaga imara sana kuchair vile vikao vya Bunge la Katiba.
Kwa kifupi she was bold kuliko kina Pandu Amir Kificho na Spika wa Bunge lile.
Kuna watu wanadhani Mama Samia anatishika na matamko yao uchwara, kuna watu wanadhani anakosa usingizi. Napenda kuwaambia hamumjui vizuri Samia Suluhu Hassan. Huyu ana ngozi ngumu kwenye siasa za ushindani nadhani kuliko mwanasiasa yeyote yule tuliyewahi kuwa nae. Ndo mana aliweza hata kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wapinzani wake Bawacha .
Nikimuangalia sana namfananisha sana na mwanasiasa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Bi Margareth Thatcher ambaye alikuwa bold hadi waingereza walimpa Nickname ya Iron Lady
Poleni sana mnaodhani mnaweza kumtetemesha Rais Samia kwa matamko yenu.
Sikuwahi kumfahamu vizuri kabla ya Bunge la Katiba.
Ila wakati wa Bunge la Katiba kuna muda alikuwa anachair vikao kipindi kile kina Tundu Antipass Lissu wana mchecheto kweli.
Kusema kweli Rais Samia hasumbuliwi na siasa za maneno, sijui siasa za vitisho, sijui siasa za kuponda. Kipindi kile pamoja na vituko vyote vya kina Tundu Antipass Lissu ila alikuwaga imara sana kuchair vile vikao vya Bunge la Katiba.
Kwa kifupi she was bold kuliko kina Pandu Amir Kificho na Spika wa Bunge lile.
Kuna watu wanadhani Mama Samia anatishika na matamko yao uchwara, kuna watu wanadhani anakosa usingizi. Napenda kuwaambia hamumjui vizuri Samia Suluhu Hassan. Huyu ana ngozi ngumu kwenye siasa za ushindani nadhani kuliko mwanasiasa yeyote yule tuliyewahi kuwa nae. Ndo mana aliweza hata kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wapinzani wake Bawacha .
Nikimuangalia sana namfananisha sana na mwanasiasa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Bi Margareth Thatcher ambaye alikuwa bold hadi waingereza walimpa Nickname ya Iron Lady
Poleni sana mnaodhani mnaweza kumtetemesha Rais Samia kwa matamko yenu.
Mtoto wake alileta ubeberu wa kupindua nchi fulani ya afrika na wakamdaka na kumtia ndani pamoja na vikaragosi wenzake.Thatcher unafahamu history yake huko baharini?
We jamaa Wewe?!!!
Mimi pia ni mkatoliki nayesali kila siku misa ya asubuhi na naunga mkono uwekezaji wa DP World.Wakristo wa aina yako ni hasara huenda ni pretender wewe.
Ni siasa za wanaojua huyo DPW anakuja kuharibu kabisa ulaji wao hivyo hawawezi kumsema kwa mema. Uzuri wa Samia ana misimamo ile ile ya kina JPM, huwezi kumtetemesha hata kidogo.Unaona hii Sintofahamu ya Mkataba / Sijui Makubaliano au ile mingine iliyosainiwa USA na pengine pengi ambayo haijulijkani hence kuleta taharuki ni mambo kwenda sawa ?
Ukishaleta mashaka na watu kutokuaminiana ni hatari kwa mustakabari wa taifa..., Kazi nzito sana iliyojengwa na waasisi ya kutuunganisha inaweza ikavunjika kwa siku chache tu..., and for what !!??
Kwahio no matter uzuri au ubaya wa DP World na huu mkataba / sijui makuliano; umekuwa handled very badly, na kwa cost kubwa bila sababu (sijui CCM wametumia pesa kiasi gani kuchota watu kwenda uwanjani na kuwaonga pesa ili kupita propaganda) That money could have been used constructively.... By the way tunaendelea kulipa Makampuni huko nje kwa kushindwa kesi sababu ya kutokuwa na mashaka na viongozi waliopita
Labda kuwafurumusha humu jukwaani, huko nje hamna mwenye jeuri hiyo.Sehemu ambapo kuna waislamu wengi hakuna maendeleo yyte. Angalia Tanga, Lindi, Zanzibar, Pwani na Mtwara hakuna maendeleo.
Hao tutawafurumisha mpk utakuja shangaa. Muda utaongea tu
Una akili za kitoto sana. Umewaza unachukua mapanga sijui nini unavamia bandari.Labda kuwafurumusha humu jukwaani, huko nje hamna mwenye jeuri hiyo.