Sina mashaka na Rais Samia Suluhu Hassan

Kuna siku hii nchi itakuja kuuzwa-genius Ndugai (2022)
 
Mnamfitini na kumfitinisha kisha mnakuja mitandaoni n chorus feki
 
Acha waru waru, Njoo na hoja ya msingi, kumlinganishsa Samia na Margareth Thatcher kunaingiaje kwenye swala linalopingwa?
 
Ni siasa za wanaojua huyo DPW anakuja kuharibu kabisa ulaji wao hivyo hawawezi kumsema kwa mema. Uzuri wa Samia ana misimamo ile ile ya kina JPM, huwezi kumtetemesha hata kidogo.
 
Sehemu ambapo kuna waislamu wengi hakuna maendeleo yyte. Angalia Tanga, Lindi, Zanzibar, Pwani na Mtwara hakuna maendeleo.
Hao tutawafurumisha mpk utakuja shangaa. Muda utaongea tu
Labda kuwafurumusha humu jukwaani, huko nje hamna mwenye jeuri hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…