Sina sauti kwa huyu mrembo, ananichanganya sana

Sina sauti kwa huyu mrembo, ananichanganya sana

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Tangu nilipokutana naye tu, nakuwa namuwaza yeye; Ana sura nzuri, nywele ndefu, mweupe, mwili wa kuvutia, umbo namba nane, chura ya wastani yakuvutia (curvy), sauti nzuri ya kubembeleza; hasa pale anaponiita baby, mume wangu; najikuta naishiwa nguvu kabisa.

Nikamwambia; 'unanikoleza sana bibie, na unajua mimi ni mume wa mtu; siko tayari niitelekeze familia yangu, kwa ajili yako'. Akanijibu; 'usihofu mpenzi mi siingilii ndoa yako, ninaiheshimu sana; ila mi nataka nikupe furaha tu, ambayo huipati huko kwingine, muhimu unijali mahitaji yangu, kama mpenzi wako na utafurahi sana kuwa na mimi'.

Nikamwambia; 'kwa uzuri ulionao, nataka unizalie mtoto kama alama yangu kwako'; akajibu, 'ondoa shaka mume wangu, ni wewe tu, kwa nini nikukatalie wewe, kwani mimi nimekuwa nani?'

Hapa nilipo, nimemuambia aandae bajeti ndogo nitoke naye 'out' kabla ya pasaka, angalau akaufanyie 'service' uti wa mgongo; kwa sababu kipindi cha sikukuu nitakuwa na familia, na sitakuwa na nafasi ya kumuona.

Nilichogundua: wanaume hawana sauti kwa watoto wazuri. Ukiona mwanaume anamkoromea mwanamke, jua huyo mwanamke sio pisi kali.
 
We jamaa unamichepuko mingapi[emoji848] aiseeee


Huyo dem ushamla mara ngp..na una muda nae miezi mingapi....

Kuna kitu nasense...qanawake sisi ni wezi. Kukupa maneno matamu tu ilimardi tukuvune kazi nyepesi sana...
 
We jamaa unamichepuko mingapi[emoji848] aiseeee


Huyo dem ushamla mara ngp..na una muda nae miezi mingapi....

Kuna kitu nasense...qanawake sisi ni wezi. Kukupa maneno matamu tu ilimardi tukuvune kazi nyepesi sana...
Nakubaliana nawe mkuu, maneno mazuri yanaweza kuwa yakitapeli; ila nimejiandaa, asije kunitapeli kiasi kikubwa.
 
@DeepPond anajitahid aisee..mchepuko wake ni mama j tu...lbd na yule dogo....
Ila huyu jamaaa kila siku mpya
Tatizo wako wengi sana mkuu, halafu mnatushawishi sana
 
@DeepPond anajitahid aisee..mchepuko wake ni mama j tu...lbd na yule dogo....
Ila huyu jamaaa kila siku mpya
Huyu jamaa anaweza Kuwa anatunga...ila nlipokuwa advance nilikuwa Na mshkaji wangu yeye Kwa siku analeta ghetto madem wawili Na akiondoka dem hutamuona tena.
Yani ukitembea nae njiani Mita 100 ameshasimamisha madem watatu
 
Back
Top Bottom