Sina sauti kwa huyu mrembo, ananichanganya sana

Sina sauti kwa huyu mrembo, ananichanganya sana

WANAUME wenyewe wa siku hizi yaliyomo hata hakuna[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio maana KILA mtu anatafuta pa kupuganika huko nje ya ndoa
Wa kwako tu ndio mwenye changamoto
 
Tangu nilipokutana naye tu, nakuwa namuwaza yeye; Ana sura nzuri, nywele ndefu, mweupe, mwili wa kuvutia, umbo namba nane, chura ya wastani yakuvutia (curvy), sauti nzuri ya kubembeleza; hasa pale anaponiita baby, mume wangu; najikuta naishiwa nguvu kabisa.

Nikamwambia; 'unanikoleza sana bibie, na unajua mimi ni mume wa mtu; siko tayari niitelekeze familia yangu, kwa ajili yako'. Akanijibu; 'usihofu mpenzi mi siingilii ndoa yako, ninaiheshimu sana; ila mi nataka nikupe furaha tu, ambayo huipati huko kwingine, muhimu unijali mahitaji yangu, kama mpenzi wako na utafurahi sana kuwa na mimi'.

Nikamwambia; 'kwa uzuri ulionao, nataka unizalie mtoto kama alama yangu kwako'; akajibu, 'ondoa shaka mume wangu, ni wewe tu, kwa nini nikukatalie wewe, kwani mimi nimekuwa nani?'

Hapa nilipo, nimemuambia aandae bajeti ndogo nitoke naye 'out' kabla ya pasaka, angalau akaufanyie 'service' uti wa mgongo; kwa sababu kipindi cha sikukuu nitakuwa na familia, na sitakuwa na nafasi ya kumuona.

Nilichogundua: wanaume hawana sauti kwa watoto wazuri. Ukiona mwanaume anamkoromea mwanamke, jua huyo mwanamke sio pisi kali.
Check kabila
 
Excuse me....nimekusea nn mpk unitolee mfano mimi...huna namna ingine ya kuongea...jaribu kuheshim mtu ambae haja kunenea baya..
Sorry ..nimeongelea in general and not you as individual
 
Mithali 22:14 - Kinywa cha malaya ni shimo refu; Anayechukiwa na Bwana atatumbukia ndani yake.
 
Tangu nilipokutana naye tu, nakuwa namuwaza yeye; Ana sura nzuri, nywele ndefu, mweupe, mwili wa kuvutia, umbo namba nane, chura ya wastani yakuvutia (curvy), sauti nzuri ya kubembeleza; hasa pale anaponiita baby, mume wangu; najikuta naishiwa nguvu kabisa.

Nikamwambia; 'unanikoleza sana bibie, na unajua mimi ni mume wa mtu; siko tayari niitelekeze familia yangu, kwa ajili yako'. Akanijibu; 'usihofu mpenzi mi siingilii ndoa yako, ninaiheshimu sana; ila mi nataka nikupe furaha tu, ambayo huipati huko kwingine, muhimu unijali mahitaji yangu, kama mpenzi wako na utafurahi sana kuwa na mimi'.

Nikamwambia; 'kwa uzuri ulionao, nataka unizalie mtoto kama alama yangu kwako'; akajibu, 'ondoa shaka mume wangu, ni wewe tu, kwa nini nikukatalie wewe, kwani mimi nimekuwa nani?'

Hapa nilipo, nimemuambia aandae bajeti ndogo nitoke naye 'out' kabla ya pasaka, angalau akaufanyie 'service' uti wa mgongo; kwa sababu kipindi cha sikukuu nitakuwa na familia, na sitakuwa na nafasi ya kumuona.

Nilichogundua: wanaume hawana sauti kwa watoto wazuri. Ukiona mwanaume anamkoromea mwanamke, jua huyo mwanamke sio pisi kali.
Keruu bwashee unaingizwa mjini sasa hivi.
Mimi mwanamke akiniletea mahaba ya Tanga uwa nahisi ananitapeli kabisa. Nakuwa naona kama anaigiza flani.
 
Keruu bwashee unaingizwa mjini sasa hivi.
Mimi mwanamke akiniletea mahaba ya Tanga uwa nahisi ananitapeli kabisa. Nakuwa naona kama anaihiza flani.
Ni kuwa nao makini mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa anaweza Kuwa anatunga...ila nlipokuwa advance nilikuwa Na mshkaji wangu yeye Kwa siku analeta ghetto madem wawili Na akiondoka dem hutamuona tena.
Yani ukitembea nae njiani Mita 100 ameshasimamisha madem watatu
Hata mimi kuna jamaa tulipokuwa university alikuwa anagonga hadi 4 kwa siku na sidhani kama zilipita siku 2 bila kuleta zigo na alikuwa harudii kiukweli sijui ni shetwani au niaje
 
Back
Top Bottom