Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Kwa hapa Tanzania tungemtafuta mpaka tukomeKatika baadhi ya jamii za Kiafrika, farasi anapougua hadi kukaribia kufa, anatafutwa mwanamke ambaye amemjua na amekuwa na mwanamume mmoja tu katika maisha yake humruka huyo farasi na hupona.
Angalia kipande hiki cha sinema hapo chini.
View attachment 2429260