Sinema sakata la LUGUMI: Mashine za utambuzi wa alama za vidole zaanza kufungwa kimya kimya


Sasa kama hiyo ni kweli kwa nini Waziri bado yupo kazini, ina maana hajui maana ya conflict of interest regardless ya kuwa na shares kwenye kampuni au amekwisha toka, hili si jambo dogo halafu wanaendelea ku install mashine wakati mkataba wao unaonyesha kazi hiyo ilikamiliza siku nyingi zilizo pita - wapi mahadiri na uwajibikaji hapa, je tu na set precedent hipi kwa watu Watanzania wengine wenye dhamana ya kusimamia vitu vyetu muhimu vya kutuletea maendeleo, kila mtu atakuwa anajiona yuko huru kufanya lolote bila ya kuchukuliwa hatua yoyote mradi uwe na right connection utapeta tu!
 
Kamati ya bunge italeta report bungeni..

Hicho kihelehele cha kumtaka rais achukue maamuzi unakitolea wapi.

Ndio maana mnaitwa kuku wa kizungu.
Nyie ni vifaranga vya kanga lazima tuweke Tahadhali hamuaminiki kabsa kila kona Lugumi kapenyeza Rishwa hata Wewe umefuata nini hapo Kwa Lugumi Kama si njaa imekupeleka ukamtetee.
 
Mifumo hiyo kuifunga ni rahisi kinoma. Cha msingi ni networking tu ili mashine zote ziwe synchronised na server. Sasa siasa zenu za kihafishina ndio zinafanya muwe munauliza idiotic questions.
Ingekua rahisi kinoma angepewa baba ako azifunge mkuu

Kama huna data jitahd wakat mwngne kukaa kimya tu
 
Lugumi amesababisha mwandishi wa habari kutukanwa (mpumbavu na mjinga)...weee Lugumi weeee
 
Nyie ni vifaranga vya kanga lazima tuweke Tahadhali hamuaminiki kabsa kila kona Lugumi kapenyeza Rishwa hata Wewe umefuata nini hapo Kwa Lugumi Kama si njaa imekupeleka ukamtetee.
Mkateni kwanza lowasa kama tulivyomkata sisi ccm.
 
mkuu kuna jitihada nyingi zinafanyika kumwoka Kitwanga mojawapo ni wachakachuaji kuingia brela kumtoa kitwanga kwenye kampuni ya infosys na kuonyesha kuwa alitoka tokea zamani Yaani 2010, hivyo kujiondoa kwenye hiyo biashara , pili mashine zinafungwa chapchap kisha watazuga walizifunga zamani lakini wamepita kuzikagua tu, yaani badala ya kulisadia Taifa ili iwe mfano Kwa kampuni zingine wapo busy kumlinda Lugumi na kitwanga asitumbuliwe JIPU .
 

Wanasiasa wanalindana? Watumishi wa umma wanatumbuliwa.
 
Mkateni kwanza lowasa kama tulivyomkata sisi ccm.
Richmond ni ya Kikwete na ccm Kama ccm hawakumkataa Lowasa alikuwa na wafuasi wengi Dodoma , aliyemkata Lowasa ni Kikwete mwenyewe alikwenda na majina Mfukoni mwake akitaka Membe awe Rais lakini wajumbe Timu Lowasa wakaamua kumkomesha wakamchagua Magufuli ambaye hakuwa Chaguo la Kikwete ndiyo maana alipoingia ikulu kapiga pin baadhi ya Madili ya Kikwete likiwemo hili la Lugumi lakini Kikwete akaenda ikulu kulalamika ndipo Magufuli anahaha namna ya kumwoka Lugumi .
 
Wanasiasa wanalindana? Watumishi wa umma wanatumbuliwa.
Kuna jamaa anaitwa Lizabon sasa amekuwa Fisadi Kwa pesa za kuwatetea wezi yeye kutwa huzunguka Kwa Majipu kuchukua pesa Kwa ajili ya kuwatetea mitandaoni .
 
N
mkuu Lugumi yeye analindwa sana licha ya kupewa mapesa mengi kinyume na bei halisi bado wanabariki Uongo , Yaani anapita mda huu anafunga vifaa kwenye baadhi ya vituo kisha watakuja na maneno kuwa vilifingwa zamani tena vipo kwenye vituo vyote.
Ndio maana mob justice haitekelezeki kwake maana ana ulinzi wa wasimamizi wa sheria
 
Kigezo cha ccm ni uadilifu na uchapakazi na siyo kuwa na wafuasi wengi..



Kigezo cha kuchukua mgombea hata Kama ni fisadi hutumiwa na chadema tu dunia nzima..

Shame on you chadema.
 
Namwomba Mungu amwezeshe Rais kuwa na ujasiri wa kuona maovu yote hasahasa makubwa ambayo yanapigiwa kelele sana. Asisite kutumbua hayo majipu makubwa.
mwombe akishatumbua ukupe usaha Wake, unaweza kukusaidia
 

Mkuu..
Mimi naungana Na waziri Kivuli/Mh.Lema..
Kua kunamchezo mchafu wakumchafua Mh.Kitwanga..
Mkuu Funza kwa ufupi jaribu kudadisi ni nani hasa Aliwalipua Lugumi na syndicate Lake..
 
Sasa huo ni ujeuri wa kupindukia dhidi yetu wanyonge jamani. Mungu kwanini sisi tuonewe hivi. Oh my dear God help us
Vumilia tu Mkuu! Poleee.... Watanzania ndo wametaka iwe hivyo, Watanzania Hawa ni tofauti na jamii yoyote duniani, wanazalishwa Tanzania tu! Na ni kwa matumizi ya Tanzania tu! Wakienda nje wanapata shida Sana, wenyewe hawajari......wewe tafuta tu ugali wa wanao! Ya wenye nchi waachie wananchi!
 
hicho kigezo umekikariri tu kichwani lakini Kikwete alitaka Membe awe Rais isipokuwa wafuasi wa Lowasa walimkomesha ndipo wakamchagua Magufuli lakini sasa kaanza kuharibu alianza Vizuri sana, kitendo cha kuanza kuwasikiliza nyie watetezi wa Wizi ndicho kitamharibia magufuli , nyinyi mnawatetea wezi wote , kaanzia NSSF , IPTL , Chenji ya Rada , bomba la Gesi , escrow , Lugumi na kila Aina ya wizi mnautetea Yaani Laana ya watanzania itawatafuna sana.
 
Sumu ya maendeleo ya Watanzania kwa sasa ni Lizabon na Timu yake ambao Kwa sasa wamekuwa Mafisadi wakubwa kupitia utetezi wa Wezi , kutwa wanazunguka Kwa Lugumi na Majipu mengine kuchukua pesa za kuwatetea .
 
Huu Uzi utanifanya nivunje sheria ya makosa ya mitandao, ngoja nnitoke humu......manake Kuna mashoga humu wanamtetea Lugumi!
 
Kama wangekuwa serious ni kazi ya miezi 8 mpaka mwaka ina maana mwaka 2012 walipaswa wawe wamekabidhi kazi ,

funza kama ww umeliona hili, nashangaa hd leo TAKUKURU na PPRA hawajatoa tamko lolote?

Tutajie vipengele vya Mkataba Baina ya Lugumi na Police juu ya ni lini haswa ukomo wa ufungwaji wa hizo mashine

labda ww utakuwa nazo!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…