Sinema sakata la LUGUMI: Mashine za utambuzi wa alama za vidole zaanza kufungwa kimya kimya

Sinema sakata la LUGUMI: Mashine za utambuzi wa alama za vidole zaanza kufungwa kimya kimya

Hivi Kitwanga haoni aibu jamani? Basi aom ahamishwe wizara haiwezekani ukawa na power za kuendesha wizara ukiwa na kashf nzito hivo JPM alisema hata ukitajwa tu inatosh kukutoa uwaziri!

Lugumi anajisafisha yeye kwa kuweka hizo machine bila mtandao,kazi ya mtandao ni ya Kitwanga! Sio kazi rahisi kuweka mtandao kila kituo ndani ya week 3 ile kazi kw TTCL ni miezi 6' Kitwanga ajipange kuangushiw jumba bovu!
Kile kikundi cha Uchakachuaji mikataba cha January Makamba kimepitia kote kinachofanyika sasa ni kumwondoa kitwanga kwenye hiyo kampuni , wamepita kote huko wamenyofoa nyaraka wakabadili majina wakaweka watu wengine kabsa Yaani utashangaa kusikia Mmiliki infosys ni mwingine kabsa , Nchi hii kuna vioja vingi sana .
 
mkuu kuna jitihada nyingi zinafanyika kumwoka Kitwanga mojawapo ni wachakachuaji kuingia brela kumtoa kitwanga kwenye kampuni ya infosys na kuonyesha kuwa alitoka tokea zamani Yaani 2010, hivyo kujiondoa kwenye hiyo biashara , pili mashine zinafungwa chapchap kisha watazuga walizifunga zamani lakini wamepita kuzikagua tu, yaani badala ya kulisadia Taifa ili iwe mfano Kwa kampuni zingine wapo busy kumlinda Lugumi na kitwanga asitumbuliwe JIPU .

Mambo yenyewe kama ndio haya sasa Dk.Magufuli amuamini nani amuache nani!!!!

Kama kweli kuna uchakachuaji wa kiwango hicho huko Brela ili kuwanusuru watu, mbona mambo yatakuwa rahisi kuwanasa - ukisha husisha watu zaidi ya mmoja kwenye ma deal ya ndiyo sivyo basi kuna baadhi watafunguka na kusema ukweli.
 
Ulikaa wapi na kikwete akakwambia alitaka Membe awe rais??

Kwa nini hao unaowasema walikuwa wafuasi wa lowasa wasingemchagua Amina Salumu??
 
Richmond ni ya Kikwete na ccm Kama ccm hawakumkataa Lowasa alikuwa na wafuasi wengi Dodoma , aliyemkata Lowasa ni Kikwete mwenyewe alikwenda na majina Mfukoni mwake akitaka Membe awe Rais lakini wajumbe Timu Lowasa wakaamua kumkomesha wakamchagua Magufuli ambaye hakuwa Chaguo la Kikwete ndiyo maana alipoingia ikulu kapiga pin baadhi ya Madili ya Kikwete likiwemo hili la Lugumi lakini Kikwete akaenda ikulu kulalamika ndipo Magufuli anahaha namna ya kumwoka Lugumi .

Mkuu..
Niwachache sana wanaweza kukuelewa..
Ukweli hili swala la Lugumi niLa Mzee wa Msoga..
Na kwasasa Linamtesa sana Mh.Raisi Magufuli na Kitwanga Ndie aliyeLipua Hili soo na sasa Loyalist wa Mzee Msoga wapokuakikisha wanamtafuna Mzimamzima..
 
Tutajie vipengele vya Mkataba Baina ya Lugumi na Police juu ya ni lini haswa ukomo wa ufungwaji wa hizo mashine

Hapa ni kutumia tu busara ya kawaida wala huhitaji kusoma mkataba.
Kama baada ya kulipuliwa wanafunga kwa spidi ya ajabu, walishindwa nini kufunga na kukabidhi toka 2011??!!
 
Mashine za AFIS zinahitaji pia internet ili ku-connect na main server, japo nyingi zimefungwa ila bila internet connection kwenye vituo vyenye mashine hizo ni sawa sawa na bure,kuna mda unatakiwa utume fingerprints na upate majibu kwa haraka....Kiukweli Mashine zipo
 
mimi nashindwa kuelewa ni kuwashwa ni kukosa hoja au ni nn?kamati ya binge ipo kazini na inawabunge wote wa vyama vyote shida nn?

Acha ukuda ww,akili yako imehamia kwenye jicho dogo?
 
Weka picha mkuu kwani zamani zilikuwa zinafungwa kwa kupiga kengengele?
 
Wahuni na mafisadi ndani ya Bunge haramu la MACCM wameshachakachua ili kuficha ufisadi wa bilioni 37 pesa za walipa kodi uliofanywa na Lugumi akishirikiana na baadhi ya mapolisi na baadhi ndani ya wizara ya mambo ya ndani.
 
Mkuu alishasema atawalinda Wastaafu kwa gharama yoyote ile sasa anatimiza ahadi yake, hii Lugumi inaelekea iligusa mpaka Ikulu hivyo ni lazima tu aipotezee kwa gharama yoyote ile, sasa Bunge haramu la MACCM limeshachakachua ripoti ya CAG. Ndiyo sababu ili kumdhibiti CAG wakaamua kukata bajeti yake ya 2016/2017 kwa zaidi ya 50%.

Nimejitoa kafara ili nipambane na mafisadi. Really!? madikteta ndivyo walivyo!!!

Mtumbua majipu anajifanya hana taarifa!Ama kweli mungu hamfichi mnafiki!!
 
Back
Top Bottom