Singeli, muziki wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania

Tulifanya mwaka fulani sherehe ya kifamilia! Kuna muda wakaweka hiyo singeli! Dah! Watu wazima ilitulazimu kuangalia pembeni.

Maana kiukweli maadili yalikiukwa.
Lazima uangalie pembeni ukiwa na unaowaheshimu!
 
😂😂😂
Yaani dah!
 
Na hiyo hali inazidi kuongezeka kila leo katika video zao
 
Mziki wa laaana
 

Attachments

  • Screenshot_20220823_095810.jpg
    64.1 KB · Views: 10
Tatizo la kwenye singeli ni kuwa matusi yako wai zaidi na katika kila nyimbo.......kama si maneno basi uchezaji wote ni wa kingono ngonono tu.
 
Uchambuzi mzuri
 
Basi tunaomba wewe utuelezee theory yako ...ilikuwaje pwani ikapapatukia ushoga kuliko bara?

**ila kuhusu waarabu kupenda nyuma Wala sio Siri..kila mtu anajua (Labda kama hujawahi kuishi nao/ kuwa na marafiki waarabu)
 
Usinione kolo ninapewa mchanganyo….maana yake huo mchanganyo yaani ni mbele na nyuma
Ukiufuatilia sana, baada ya muda unajilia kwa mpalange bila kujiuliza mara mbili.......unaegemea huko zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…