Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
- Thread starter
- #21
Sawa na hongereni kwa kupanda daraja, pia mawazo mengi yatakuja kipindi mkishaanza ligi kwa sasa watakaotoa mawazo ni wale waliokuwananyi bega kwa bega kuanzia chini.
Mimi binafsi nakiri sikuwafahamu sawa sawa nasubiri mkianza ligi nitakuwananyi pamoja kwa kila hatua hapo ndio tutaona mapungufu na ushauri juu ya nini mfanye au pongezi zetu.
Nawatakieni mafanikio mema katika msimu ujao.
Asante sana mkuu. Umeeleweka vema kabisa. Karibu tuwe pamoja.