Singida Big Stars tumefuzu Ligi Kuu Tanzania Bara, tupeni ushauri

Singida Big Stars tumefuzu Ligi Kuu Tanzania Bara, tupeni ushauri

Hawafiki kokote wakati wametupea wakina fei toto bwana. Level ya investment pia zinatofautiana. Kufika mbali pia has to do with money.

Hawa simba wameweza fika mpaka robo final caf champions league ni kwasababu ya investment. Na wao pia ili waweze kufika final itabidi wawekeze zaidi
Unadhani Azam Hana investment kaulize Huko CAF kafika wapi
 
Unadhani Azam Hana investment kaulize Huko CAF kafika wapi
Success katika mpira ni combination ya vitu vingi kaka. Ila investment ni sehemu kubwa. With money u can procure the best players the best coaches and the best club management structure.

Kuwa na facilities is one thing lakini kumbuka organization yoyote ile ni watu. Personnel ni muhimu sana. Je hao azam unazungumzia wana the right personel? Wee timu inasajili wachezaji wakimataifa ambao u aona kabisa hamna quality
 
Success katika mpira ni combination ya vitu vingi kaka. Ila investment ni sehemu kubwa. With money u can procure the best players the best coaches and the best club management structure.

Kuwa na facilities is one thing lakini kumbuka organization yoyote ile ni watu. Personnel ni muhimu sana. Je hao azam unazungumzia wana the right personel? Wee timu inasajili wachezaji wakimataifa ambao u aona kabisa hamna quality
Naona umejinibu.

Sasa ulichoandka hapa kipeleke upande WA Hao singida [emoji93]
 
DTB(SINGIDA BIG STARS) ni wale wale Singida United ya Mwigulu Nchemba
IMG_20220621_182432_725.jpg
 
View attachment 2263057

Watu wa Soka,

Naitwa Hussein Massanza. Ni Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano; Pia Afisa Habari na Msemaji wa Singida Big Stars FC (zamani DTB FC).

Timu yetu imefanikiwa kupanda daraja na kufuzu kucheza Ligi Kuu kuanzia msimu ujao wa 2022/2023, hivyo nitumie fursa hii kuwashukuru mashabiki wetu wote tangu tukiwa tunaitwa DTB FC, wanahabari na wadau wengine kwa sapoti mliyotupatia. Tuendako ni kuzuri zaidi, tunaomba muendelee kutusapoti kwa nguvu zaidi.

Kupitia uzi huu maalum; nitapokea maoni, ushauri na mapendekezo yatakanisadia mimi binafsi katika kutekeleza majukumu yangu, lakini pia yatakayoisadia timu yetu kufanya vizuri, ikizingatiwa sisi ni wageni Ligi Kuu na malengo yetu ni kufanya vizuri kama tulivyokimbiza kule Daraja la Kwanza (Championship).

Simu/WhatsApp: +255 713 475715

Karibuni sana.
Hongereni sana
 
Hongereni Sana Kwa kufuzu mkuu. Nasevu hii namba ili niendelee kuifatila timu hii Kwa ukaribu. Naamini mtafika mbali mkuu kwa mipango, Nia, uthubutu na mungu alie mwema. Zaidi ya yote mmewekeza kwenye tasnia hii, vijana wanaostahili wapewe nafas. Nimepata bahati y kushhudia vipaji vikubwa mno katika mikoa hii singida na shinyanga! Tupange kuleta chachu na Revolution katika tasnia hii! Haiwezekan yanga tuchkue ubingwa Jana na wakongo kibao! Haimaanish vijana wa kitanzania hawapo!

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
Yanga=Congolese sports club
 
Jina Baya, kosa la kwanza Hilo mmeshaanza ligi na Boko na mmeshapoteza points hapo.


Mkiwa affiliated na CCM tayari mmeshapoteza points zingine 10.


Msimu ujao mnashuka Daraja. Mark this

Tuombeane heri mkuu. Jina litazoelela tu, ni kawaida kitu kigeni kuwekewa wasiwasi. Tuna maana yetu kuita big stars. Muda utasema.
 
Jina Baya, kosa la kwanza Hilo mmeshaanza ligi na Boko na mmeshapoteza points hapo.


Mkiwa affiliated na CCM tayari mmeshapoteza points zingine 10.


Msimu ujao mnashuka Daraja. Mark this

Tuombeane heri mkuu. Jina litazoeleka tu, ni kawaida kitu kigeni kuwekewa wasiwasi. Tuna maana yetu kuita big stars. Muda utasema.
 
Back
Top Bottom