Viwango ni vidogo sii ndio tunarudi kwenye lile suala la kutoandaliwa. Sie tunataka mchezaji toka ndodo cup wapi uliona hiyo. Lazima tutambue kuwa the dedication and attention that goes into creating a professional footballer sio kitoto.Mfano mzuri ni timu yetu ya taifa, wachezaji ni wakawaida kabisa yani viwango vyao ni vidogo ndiyo maana hata kutoka nje ni changamoto.
Pili wachezaji wa Kitanzania 90% hawajitambui mfano:- Ibrahim Ajib.
Angalia Morrison licha ya ujinga ujinga wake ila anawatesa vigogo wa soka hapa nchini.
Tukiendelea kusema hawajitbui haitusaidi ndio kila leo tunaishia kuwa kichwa cha mwenda wazimu. Tufauate misimgi ya football basi. Haya mambo ya awezekana sana tuu. Ni nia. Watu walikuwa na hope kubwa na azam fc lakini nao zimeingia siasa za ajabu mpaka unashindwa elewa hii timu ni wanauza wachezaji au wanagombania ubungwa?
Huyo morrison ni talented player just like ajib but hana character ya kucheza professional football. Kwa nini wanawika hapa kwetu wakiend top leagues wanashindwa? Watu huku dnt entertain ujinga. Siwezi kukulipa million mia kwa wiki alafu unakuja umelewa au indiscipline ga aina yoyote ile.