Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Keyboard Worriors akina Kinuju, ussr, kijakazi, Stroke, countrywide, nigrastrata, corticopotine, kamanda asiyechoka na Shujaa mwendazake nendeni sasa mkabomoe hiyo Hospitali[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bado ugawe na hiyo nyumba kwa hofu za usichokijua.
 
Pumbavu ! Aliye kuambia nchi hii inahitaji peace flag nani ? This country doesn’t need it

Kwa jinsi unavyofoka kama ngiri, kwa hakika unahitaji PEACE FLAG.

Tena ingependeza waje pale nyumbani kwako waipandishe bendera juu ya dari kabisa halafu wakufunge pingu ili usifanye fujo.
 
Mshikaji na wewe ni gay?????
 
HAKUNA cha BURE kila BURE Ina consequences zake, ukifutiwa DENI kuna karatasi wanakupa unasaini

Kinachofuata ni kigeuzwa wote kua machoko na mabwabwa maana ulishasaini tayari, ukileta ubishi utaulizwa si ulisaini mwenyewe lakini au ulilazimishwa?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

HILI NALO TUTALITIZAMA
 
Duuuh kwahiyo mdogo wangu Una enjoy kabisa???
 
Kulikuwa na haja gani ya kuweka bendera hata kama ni ya peace tena hospitalini tena kwa kipindi hiki taifa lipo kwenye mkanganyiko? Hiyo peace ina kazi gani hospitalini?
[emoji1073] [emoji1229] kati ya hizo moja ni benderà ya France nyingine Netherlands unaweza kuzitofautisha? mambo mengine tupunguze nongwa
 
Acha kumchafua lissu ...lissu ni mtu makini sana hakusema kama anaruhusu ushoga ila amesema je katiba inasemaje kuhusu hili..ndio maana wanataka katiba mpya
Naona tunaongelea mambo mawili tofauti; mimi nimesema lisu ni kiongozi wa mashoga Africa, ulaya na Asia, wewe unaongela katiba mpya!
Issue ni bendera ya mashoga huko singida kwao na lisu, ambaye ni kiongozi wa mashoga. Acha kuingiza habari ya katiba mpya bwashee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…