MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hiyo mitaa si ndo katoka Suphiani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikite kwenye comment tafadhariiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mshikaji na wewe ni gay?????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna km unaliaaa?? Vipiii kwemaa??Duuuh kwahiyo mdogo wangu Una enjoy kabisa???
Msimamo wa serikali uko valid hadi sasa "Hongera".[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa msimamo ungekua tofauti na huu, ungeshaona wametoaaa. Ndo huo msimamo huo uko valid had sasa,
Poleeeeeeh sanaaaaa.
😅😅😅Badala ya kulichoma wewe ukaligawa likatumiwe na mwingine? Hukufanya vizuri
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wao wako buzzy na ushogaa, umaskini sio shda zao.Kwahiyo watu mmeanza kuteseka na bendera,kwamba ukiona bendera mkundugu wako unawashwawashwa unataka kupelekewa moto,upuuzi umewajaa. Fanyeni kazi mjikomboe na umasikini.
Hapo sasaaaWengi hawajui hili. CCM kama wanatupenda waanze na KTB
Swali lako liko nje ya nilicho andika, siwezi kujibu.Hapana hebu twende taratibu hapo usilikimbie swali? Hahaha!
Sawa nilihitaji kufahamu maana hii issue naona unaifurahia sana hivi kweli utafurahi kuwa na mtoto wa aina hiyo?Swali lako liko nje ya nilicho andika, siwezi kujibu.
Ukitaka tuendelee, tuzungumzie kuhusu msimamo wa serikali.
Sio kanisa papa akisikia watakomaBendera ya katikati ni ya Vatican City (Kanisa Katoliki)
Kuna vitu kuhusu wewe navipenda.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa, mie tenaaaa. Lol
kujua tu,ndugu yanguJikite kwenye comment tafadhariiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au wee ulitaka kusemajeeee???
Mkuu kwenye Comment yangu nili address ushauri kwa WANAUME(wanatunza,wanalinda,wanaongoza na kutia wake/Wapenzi wao ipasavyo).Wanaume wanalindaje familia zao wakat wao wenyewe ni waliwaji?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hebu teseka taratibu, makasiriko ya nn hapa?Msimamo wa serikali uko valid hadi sasa "Hongera".
Mama Samia au Magu (R.I.P) ndo seeikali yenyewe ila tukiwavua robes zao za siasa/userikali tukawabakiza na robes zao za uzazi.Unafikiri mama Samia au Magu au Kikwete kuna anayetamani hata kuota tu kuwa mtoto wake kawa kama wewe?
Yawezekana umezaliwa hivyo ila umezaliwa na tatizo,ni sawa na unazaa mtoto kipofu au una utindio wa akili au ana jinsia mbili.Kama mzazi kitakuuma maisha yako yote.
Jishaue hapa JF ila kafanyie haya mashauzi yako kariakoo ndo utajua wewe sio wa kawaida mzee mwenzangu
Nakuona kama mdogo wangu afu sipati picha dogo pale home awe gay.Mm nadhani mapenzi jinsia moja ni ugonjwa wa akili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna km unaliaaa?? Vipiii kwemaa??
Km yeye mtoto ameamua mie nipinge iwejee? Huyo mtoto pia ana maamuzi na maisha binafsi, hapaswi kuingiliwa.Sawa nilihitaji kufahamu maana hii issue naona unaifurahia sana hivi kweli utafurahi kuwa na mtoto wa aina hiyo?
Hilo la kujifaragua ndo reason moja wapo ya kuwachukia MSM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hebu teseka taratibu, makasiriko ya nn hapa?
Mashoga wako very proud uraiani na mtaani mbna hawafanywi chochote?? Kwenye bar, clubs, hotel, cafe wanajifaragua wazi wazi. Sometimes had events ambazo viongozi wa serikali wanakuwepo na wao mashoga wanakuwepo mbna hawafanywi chochote, ndo kwanza wanachekeana kwa tabasamu muruaaa??
Poleeeeee sanaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa huyo dogo lako hata akiwa gay akaamua kuficha asijulikane utajua?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuona kama mdogo wangu afu sipati picha dogo pale home awe gay.Mm nadhani mapenzi jinsia moja ni ugonjwa wa akili