Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Singida: Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayohusishwa na LGBTIQA+

Nasikia wameitoa bendera lakini tujiulize hiyo wilaya hakuna wana usalama? Bila kuonea yeyote tuchukue hii kama alarm kuwa tayari tumevamiwa! Yumkini hiyo hospital inaendeshwa kwa misaada kutoka huko na imeidhinishwa!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kama ni kweli wameitoa bendera, basi itakuwa wameitoa ili kuepusha shari. Hakuna Sheria inayowabana. Hivi ni kosa au ni kinyume cha Sheria kwa hospitali kuendeshwa kwa misaada? Kama Taratibu za kuendesha Hospitali zimezingatiwa ww ulitakaje na ukiwa kama nani? Hivi zile Trillion mbona huzifuatilii? i.e. Mbona Chekecho lako linachuja mbu lakini Tembo wanapita??
 
Mnuka mavi huna lolote la kusema humu mwenye akili akakuelewa. Endelea kujileta kwangu nikutoboe utumbo, maana naona unakutana na wanaokupapasa
Aakh! Tayari uzi umeshaharibika.Dah!
 
Kumekuchaaaaaaah
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji626][emoji626]

Inapepea hapo Makiunguu. Hayaa wapingaji uchwaraaa tokeni kupinga au mkashushe bendera pale, km kweli mko serious.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtabaki kulia kwaa Keyboard, na badooo mnavojifanyaa kupiga kelelee, ndo na wao wanazidi kuwaonesha hadharani.

Mwenye nguvu ndo atajulikana sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halllah [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
PEACE [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
4 life forever [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
Ushaolewa?? Naweza kupata namba zako??
 
Hospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.

Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?

Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?

Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
Waungwana naomba mnibu kitalam si kufata upepo.Je ushoga unajulikana kwa nguo,bendera au rangi na siyo matendo?Kama ni rangi basi nadhani ni zile zifananazo na upinde wa mvua basi kanisa katoliki ludewa mkoa wa njombe linarangi hizo.
 
Afu kudadeki watu wanapenda kudiskas ishu za ushoga!!!! Uzi ushatembea hatareeee.

Ukiona hivi ujue wanapenda.
Not exactly broo; Ukiona hivi ujue hao hawana kazi za kufanya. Yan ni kwamba hicho ni kijiwe chao i.e. Mijadala ihusuyo ushoga. Huko kwingine hawana hoja za kuchangia -angalia hata Idadi ya nyuzi au Mada zihusuzo au zinazogusia kipenge hicho ni nyingi sana hapa jukwaani.
 
Kama ni kweli wameitoa bendera, basi itakuwa wameitoa ili kuepusha shari. Hakuna Sheria inayowabana. Hivi ni kosa au ni kinyume cha Sheria kwa hospitali kuendeshwa kwa misaada? Kama Taratibu za kuendesha Hospitali zimezingatiwa ww ulitakaje na ukiwa kama nani? Hivi zile Trillion mbona huzifuatilii? i.e. Mbona Chekecho lako linachuja mbu lakini Tembo wanapita??
Mihemko ya wajinga ni shida sana.

Wanafokea mpaka bendera.
 
Waungwana naomba mnibu kitalam si kufata upepo.Je ushoga unajulikana kwa nguo,bendera au rangi na siyo matendo?Kama ni rangi basi nadhani ni zile zifananazo na upinde wa mvua basi kanisa katoliki ludewa mkoa wa njombe linarangi hizo.
Si kila anayevaa nguo za rangi za njano na kijani ni shabiki wa Yanga au mwana C.C.M.ingawaje mashabiki wa Yanga na wana C.C.M wanavaa nguo za rangi hizo Mbona nembo za rangi za upinde wa mvua zilikuwepo tangu zamani hata kabla ya harakati za kutetea ushoga?
 
Tatizo lako wee unakosea Una generalize mamboo, sio kila Gay anajutiaaa, elewa hilo kwanza, wengine wako very proud na wanafurahia kuwa hvyooo.

Kuhusu furaha mbna straight ndo wanaongozaaa, mda wote wao kulia lia, mara ugumu wa maisha, mara vilee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ugumu wa maisha unahusiana vipi na kuwa straight? Can you elaborate a little? 🤔
 
Thuubutu. 1. Unless una uhakika kwamba bendera hiyo inamaanisha hivyo na Kikatiba sio sahihi;
2. Umtake aliyeiweka hapo ndo akaishushe au ww Kamfungulie mashtaka
3. Kapate kibali cha Serikali au Mahakama ili kuiondoa bendera hiyo.
**4. Mkuu; Hiyo Bendera inakuhusu vipi?? Je, uwepo wa bendera hiyo kunakuzuia kwenda kupata matibabu hapo? au Unashindwa kufanya shughuli zako za kifamilia? -Nenda katafute pesa achana na Fitna, Husda,........
Hivi hii quotes ni yangu, au umekoseaaaa???
Angalia upyaaa kwani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom