Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado hatujafika tunakoelekea na hii ni kwa sababu moja tu - Magufuli is a notorious divider, not a uniter!! Amechochea na akiingia kipindi cha pili ataweka mafuta ya petroli utengano kati ya u-ccm na kila mtu asiyeamini katika u-ccm.Tanzania tumefika pabaya sana
Maccm maoga sanaDalili hizi sio nzuri kipindi Hiki Cha uchaguzi...
Yajayo yanasikitisha.
Si Lissu yupo atatamka au? Kwani hadi atamke JPM?Nasubiri tamko la Magufuli la kukamata wauaji haraka kama alivyotamka alipouawa yule wa Iringa hapo ndio tutajua maendeleo yana chama au la
Kuongozwa na Muhutu mlitegemea nini? Yaani na Ma-TISS kama hayajielewi!Inasikitisha sana, jiwe katufikisha sehemu mbaya sana.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app