mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe CHADEMA, iwe CCM, muuaji ni muuaji tu akamatwe.Na wakikamatwa Chadema?
Amandla...
Nasubiri tamko la Magufuli la kukamata wauaji haraka kama alivyotamka alipouawa yule wa Iringa hapo ndio tutajua maendeleo yana chama au la
Yaani kichwani mwenu ni Magufuli tu, mnajifedhehesha.Hawezi kusema kitu. Aliyetendewa hayo siyo CCM
Deceitful in what ways? Kila mtu ni mhanga wa mgombania wake wa urais awe lisu awe jpm, awe lipumba n.k.Unaweza ukaji unganisha Wewe mwenyewe kana yeye ni divider.
Lakini kama Wewe ni divider utaji divide .
Lisu ni deceitful and decided campaign engine wenu na nyie wenyewe ni wahanga .
CCM inatabia ya kujikusanya upya na kusonga mbele kwa umoja.
Ndiye shetani mwenyewe.Yaani kichwani mwenu ni Magufuli tu, mnajifedhehesha.
Ila kwa wasiopenda kuona haki ikitendeka wakati Kama huu nap wanajitokeza kinafiki.Huku was kichekelea kwa vile sii wakwao.Tanzania yetu wote,tupende,haki,usawa na Amani.Poleni Sana wahusika.
Ndio rais kwa sasa hivyo usalama wa raia ultimately ni jukumu lake.Yaani kichwani mwenu ni Magufuli tu, mnajifedhehesha.
Mtekaji wa Dr. Ulimboka anagombea jimbo gani huko?
Man! ... I am very interested to hear what Robert Amsterdam will tweet or utter after this tragedy! There are a lot to ponder regarding the long tie Lissu had with "these government spoilers" from West. However, Spare us please!!Don’t expect to hear anything of the similar nature Mkuu.
Na mwisho Wa Siku polisi watafanya jitihada wakamate wafuasi wa CHADEMA waseme ndo wamefanya mauaji.Jamaa wamelipa kisasi kwa kudhani yule wa CCM kauliwa na CHADEMA?
Na hapa ndipo unapozidisha wasiwasi wangu kuwa , yawezekana haya matukio yako staged na nyinyi ili mpate idadi ya vifo vya kusababisha mtafaruku wa kurasimisha ajenda zenu na Robert Amsterdam!!! Watanzania tuwe macho kwa kila kitu kuanzia sasa!!!Kwa sasa ni heri kushirikiana na yeyote anaeweza kutusaidia kuondoa huu udhalimu, awe ni beberu au shetani.
SHUT UP!!Na wakikamatwa Chadema?
Amandla...