wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Matusi ya nini? Waache wajinga waparuane Karibu Copenhagen unywe maziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi ya nini? Waache wajinga waparuane Karibu Copenhagen unywe maziwa
Mungu amlaze mahala pema peponi. Damu yake iwe kirutubisho cha haki katika nchi hii. "Freedom is coming soon".Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga kwenye mashamba yake.
Amepatikana akiwa amefariki. Nimepata taarifa wakati huu nikitoka kwenye Mkutano wa Kampeni Kijiji cha Mayaha, Kata ya Minyughe.
Nimewasiliana na OCD Wilaya ya Ikungi.
Hemedi Kulungu, Mgombea Ubunge Singida Magharibi!
Nalo neno. Mgombea ubunge CDM anaweza kamatwa kuisaidia polisi.Na wakikamatwa CHADEMA?
Amandla...
Cha ajabu wauawaji wa yule wa sisiemu walipatikana ndani siku nne tu, huyu sasa tusubiri uone kama watapatikanaKatibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga kwenye mashamba yake.
Amepatikana akiwa amefariki. Nimepata taarifa wakati huu nikitoka kwenye Mkutano wa Kampeni Kijiji cha Mayaha, Kata ya Minyughe.
Nimewasiliana na OCD Wilaya ya Ikungi.
Hemedi Kulungu, Mgombea Ubunge Singida Magharibi!
kikojoleo changu kipo hapo nakuja kukojolea kila mwakaMatusi ya nini? ?
Waache wajinga waparuane
Karibu Copenhagen unywe maziwa
Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga kwenye mashamba yake.
Amepatikana akiwa amefariki. Nimepata taarifa wakati huu nikitoka kwenye Mkutano wa Kampeni Kijiji cha Mayaha, Kata ya Minyughe.
Nimewasiliana na OCD Wilaya ya Ikungi.
Hemedi Kulungu, Mgombea Ubunge Singida Magharibi!
kikojoleo changu kipo hapo nakuja kukojolea kila mwaka
naona unasubiri meli ukiwa airport!!!.Nasubiri tamko la Magufuli la kukamata wauaji haraka kama alivyotamka alipouawa yule wa Iringa hapo ndio tutajua maendeleo yana chama au la
naona unasubiri meli ukiwa airport!!!.
Mtekaji wa Dr. Ulimboka si anagombea huko? Waanzie kwakeNalo neno. Mgombea ubunge CDM anaweza kamatwa kuisaidia polisi.
Mbona Mbowe na Lissu hawakutamka lolote kwenye vifo vya makada wa CCM?Nasubiri tamko la Magufuli la kukamata wauaji haraka kama alivyotamka alipouawa yule wa Iringa hapo ndio tutajua maendeleo yana chama au la
pengine wewe ni muhusikaPoleni Sana wahusika.
Why Chadema Leadership did not say anything when CCM members were murdered!!?Don’t expect to hear anything of the similar nature Mkuu.
Ugomvi wa mashamba unamtoa mtu uhai!!Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga kwenye mashamba yake.
Amepatikana akiwa amefariki. Nimepata taarifa wakati huu nikitoka kwenye Mkutano wa Kampeni Kijiji cha Mayaha, Kata ya Minyughe.
Nimewasiliana na OCD Wilaya ya Ikungi.
Hemedi Kulungu, Mgombea Ubunge Singida Magharibi!
'Huna' akilijamani jamani! hata mtu wa kawaida wanapigwa mapanga, izi conclusion utadhan ni kisiasa muache sasa!