Singida: Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Nicholas Andrea Gui auawa kwa kukatwa mapanga

Singida: Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Nicholas Andrea Gui auawa kwa kukatwa mapanga

Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga kwenye mashamba yake.

Amepatikana akiwa amefariki. Nimepata taarifa wakati huu nikitoka kwenye Mkutano wa Kampeni Kijiji cha Mayaha, Kata ya Minyughe.

Nimewasiliana na OCD Wilaya ya Ikungi.

Hemedi Kulungu, Mgombea Ubunge Singida Magharibi!
Mungu amlaze mahala pema peponi. Damu yake iwe kirutubisho cha haki katika nchi hii. "Freedom is coming soon".
 
Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga kwenye mashamba yake.

Amepatikana akiwa amefariki. Nimepata taarifa wakati huu nikitoka kwenye Mkutano wa Kampeni Kijiji cha Mayaha, Kata ya Minyughe.

Nimewasiliana na OCD Wilaya ya Ikungi.

Hemedi Kulungu, Mgombea Ubunge Singida Magharibi!
Cha ajabu wauawaji wa yule wa sisiemu walipatikana ndani siku nne tu, huyu sasa tusubiri uone kama watapatikana
 
Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga kwenye mashamba yake.

Amepatikana akiwa amefariki. Nimepata taarifa wakati huu nikitoka kwenye Mkutano wa Kampeni Kijiji cha Mayaha, Kata ya Minyughe.

Nimewasiliana na OCD Wilaya ya Ikungi.

Hemedi Kulungu, Mgombea Ubunge Singida Magharibi!

Kama mgombea mwenza ndo yule mtekaji basi inabid amulikwe.
 
Duu! tunaliomba jeshi la polis kuwakamata wahusika wote haraka iwezekanavyo ili sheria ichukuwe mkondo wake!
 
Nasubiri tamko la Magufuli la kukamata wauaji haraka kama alivyotamka alipouawa yule wa Iringa hapo ndio tutajua maendeleo yana chama au la
Mbona Mbowe na Lissu hawakutamka lolote kwenye vifo vya makada wa CCM?
 
Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga kwenye mashamba yake.

Amepatikana akiwa amefariki. Nimepata taarifa wakati huu nikitoka kwenye Mkutano wa Kampeni Kijiji cha Mayaha, Kata ya Minyughe.

Nimewasiliana na OCD Wilaya ya Ikungi.

Hemedi Kulungu, Mgombea Ubunge Singida Magharibi!
Ugomvi wa mashamba unamtoa mtu uhai!!
 
jamani jamani! hata mtu wa kawaida wanapigwa mapanga, izi conclusion utadhan ni kisiasa muache sasa!
 
Hawakawii kusema marehemu alifumaniwa!!
 
Back
Top Bottom