Singida: Rais Magufuli awasihi Watanzania kuchapa kazi. Corona haikuanzia Afrika na imewakoromea wote hata wale wenye uwezo

JF ukisoma unaweza sikitika sana, uwezo wa watu kufikiri mdogo sana, sielewi huu ugonjwa utaponywa na nn, most are so weak to think and deliver some constructive comments & ideas, hatari sana
 
Jemidari huyooo!!! chadema matumbo ya kuhara muda huu

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
JF ukisoma unaweza sikitika sana, uwezo wa watu kufikiri mdogo sana, sielewi huu ugonjwa utaponywa na nn, most are so weak to think and deliver some constructive comments & ideas, hatari sana
We mwenyewe umeandika nini
 
Kwani unaivaa 24 heures/24? Unaivaa pale social distancing inapokuwa haipo. Mfano Magu leo anawaambia wananchi ambao wamesongamana eti kutokuvaa Barakoa ni poa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…