Pre GE2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

Pre GE2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unetumia vibaya neno "kuchafuliwa".

Ukisema kuchafuliwa ina maana HUAMINI kuwa Magufuli ndiye aliyewaamuru Makonda na WASIOJULIKANA kumshambulia Lissu
Tunaamini kwenye mambo ya imani tu. Kwenye mambo ambayo si ya imani, tunatumia utafiti. Usiwe unaamini kwenye mambo ambayo yanahitaji utafiti
 
Kama ameweza kuwa spot hao wauaji basi vijana wa Red Brigade wawashughulie mapema
 
Sasa hivi hata wanafunzi wanaomaliza Shule za Msingi,Sekondari na Vyuo Vikuu baada ya 2010 hawajui kabisa Elimu ya Siasa,watawezaje kuunda Vyama vya Siasa makini?Huwezi pata mpinzani wa kweli kwenye jamii iliyojazwa ujinga.
Kwa maisha yalivyo na serekali yetu inavyotuendesha ni degree tosha yakuwa Mpinzani
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ambaye yuko Mkoani Singida kwa ajili ya Mikutano ya Kijiji kwa Kijiji, ametangaza hadharani kwamba...
Hii imeniuma sana na nimeamua kuiweka katika maombi binafsi kuanzia tarehe 27/ 6/ 2024, wahusika ama kwa kutumwa au la wajiandae au wajisalimishe ,Mungu wangu sio wa mchezo kitaumana tu
 
Kwa maisha yalivyo na serekali yetu inavyotuendesha ni degree tosha yakuwa Mpinzani
Huwezi kuwa mpinzani wa kweli kwenye serikali ambayo inaamini kuwa Urais ni Uungu na ili uwe mzalendo wa kweli lazima uwe CCM au vyama mbadala vinavyopambana kudhoofisha Chama Kikuu cha Upinzani.
 
Itakuwa vijana wa Mbowe, nyie mnagombea uenyekiti wa Chadema Taifa mmalizane wenyewe huko Chadema

Sasa nimeelewa ni kwa nini threads za CHADEMA zilizidi humu ndani.

Wanasiasa mnajuana wenyewe!
 
Tunaamini kwenye mambo ya imani tu. Kwenye mambo ambayo si ya imani, tunatumia utafiti. Usiwe unaamini kwenye mambo ambayo yanahitaji utafiti
Una uhakika kuwa sijafanya utafiti? Au hujui maana ya UTAFITI?
 
Mnyukano unaoendelea ndani ya chadema umeanza kutuonyesha upande wa pili wa shilingi !Wana Chadema wengi wapo tayari kumlinda mtu kuliko chama ! Tl amelalamika kwamba anafuatiliwa na gari ambayo haifahamiki ni ya nani !? Kwa Hali ilivyo kwa sasa chadema sio mshindani wa ccm ! Watu hawana attention Sana na chadema kama ilivyokuwa zamani !kama Kuna mtu au watu wanamfuatilia Tundu basi wanatoka ndani ya chadema yenyewe!! Kwa sasa imeundwa timu ya kumdhoofisha kwa namna yoyote ile na vibaraka wa mkuu wa chama ,Tundu anapaswa kuwa makini na watu wa ndani kuliko hata walioko nje? Adui wa Tundu kwa sasa ni chadema wenyewe
 
Mkuu umetuuliza swali au unaelezea maoni yako.
Maana hiyo alama ya ? Imenichanganya kidogo 😇
 
Wewe umethibitisha vipi wanatoka ndani ya CHADEMA?

Mbona husemi shambulio la kwanza 2017 hakuna hata mtuhumiwa yoyote aliwahi kushikiliwa kuhusu shambulio hilo??
 
Mnyukano unaoendelea ndani ya chadema umeanza kutuonyesha upande wa pili wa shilingi !Wana Chadema wengi wapo tayari kumlinda mtu kuliko chama ! Tl amelalamika kwamba anafuatiliwa na gari ambayo haifahamiki ni ya nani !? Kwa Hali ilivyo kwa sasa chadema sio mshindani wa ccm ! Watu hawana attention Sana na chadema kama ilivyokuwa zamani !kama Kuna mtu au watu wanamfuatilia Tundu basi wanatoka ndani ya chadema yenyewe!! Kwa sasa imeundwa timu ya kumdhoofisha kwa namna yoyote ile na vibaraka wa mkuu wa chama ,Tundu anapaswa kuwa makini na watu wa ndani kuliko hata walioko nje? Adui wa Tundu kwa sasa ni chadema wenyewe
It doesn't matter adui au hao "wasiojulikana" watoka wapi iwe ndani ya CCM na serikali yao, CHADEMA au popote. Muaji ni muaji tu..

What people want is one thing, that, all culprits must be apprehended and taken to face the law..

Mnaanza kutengeneza theory za kipuuzi na za kijinga jinga hivi eti ili tu kutengeneza picha ktk jamii kuwa, uhalifu dhidi ya Tundu Lissu huwa unanyika ndani ya CHADEMA...

Katika dunia leo ya maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano, kuendelea kutumia propaganda za mwaka 1995 ni kuwafanya Watanzania hamnazo, wajinga na hawawezi kupambanua mambo..

Aidha huu ni Ujinga na upumbavu uliopita viwango vya akili za ustaarabu...

Ni propaganda za watawala kuficha uovu na udhaifu wao ktk sekta ya ulinzi na usalama pamoja na kushindwa kuwajibika kwao. Ni kuendelea kujenga dhana ya impunity miongoni mwa watawala wa CCM waovu, wezi na mafisadi wanaouza nchi hii kwa wageni hususani waarabu..

Na wewe, unafikiri kuna Mtanzania asiyejua kuwa propaganda hizi za kishenzi, za kizamani na zilizokosa ustaarabu mlengwa ni Freeman Aikael Mbowe?


Kwamba Tundu Lissu na sisi tulio nyuma yake kumuunga mkono tuamini kuwa Freeman Mbowe (M/Kiti - CHADEMA Taifa) ndiye alitaka kumuua 2017 na ndiye anayetaka kumuua tena sasa?

Unajua nyie ma - CCM sometimes hata huwa hamtumii akili kutengeneza propaganda na uhuni wenu unaoweza ingalau kuumiza fikra za watu hata ingalau waanze tena kuwaamini kidogo..

Just try to think, that;

Hivi kwa akili yako timamu kabisa wewe Mganguzi unaamini kuwa njama za kumuua Tundu Lissu mwaka 2017 na sasa kuanza kutaka kujirudia tena zinafanyika ndani ya CHADEMA na hususani kufanywa na Freeman Mbowe au watu wake? Really?

Kama unaamini hivi, basi sioni haya kukuambia kuwa, huna akili kabisa kichwani mwako za kuweza kung'amua na kuchanganua mambo..!

Maana ingekuwa ni kweli, polisi, UWT, CCM wote na hata Rais Samia Suluhu Hassan wangekuwa wameweka kambi kwenye kila nyumba ya kiongozi mkuu wa CHADEMA kwa sababu wangeshapata sababu ya kukifutilia mbali chama hiki kinachowasumbua na kutishia kuwanyang'anya uongozi wa dola ya nchi hii!

I advice you to think first before throwing any stupid assumptions like this in public...!

Otherwise thoughtful and intelligent people will see you just like a certain stupid idiot..!
 
Back
Top Bottom