Pre GE2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

Pre GE2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu wanaofanya uhalifu hapo Tanzania kwa wale wote wanaoonekana ni threats kwenye utawala wa kifisadi na usiokuwa na tija, huwa wanakuwa eliminated au kuwekewa shida kubwa kuficha madudu yao.

Lissu was almost dead, but he did not. Lissu anamaanisha mengi kwa watanzania kushinda kiongozi yoyote wa CCM combined ambao over 60 years nchi ipo vile vile kama TUpo
Kizimu.

Lissu anatoa TAHADHARI, na sisi tunatoa tahadhari, upumbavu uliofanyika 2017 ukirudiwa tena , we will deal with them , watu wanaofanya upumbavu kama huo wanaishi mitaani kama watanzania wengine, they have nothing special and we will get busy with them as well .
CCM mnapotaka Tanzania ifike, itafika….. it is just a matter of time.

Lissu asisumbuliwe, he is the only hope kwa tanzania kwa sasa who can speak the truth and he has our blessings
Lissu is the only Mzalendo tuliyenaye kwa sasa.

Kazi ya Mungu inaonekana.

Cc jiwe
 
nyinyi mnajua mimi nimeshambuliwa sasa nikiona hali kama hiyo ninaogopa
Hayo maneno ya Laigwanaan Tundu Lissu ni dalili kuwa yeye ana "Phobia" ama Woga na hofu saa zote.

Na hiyo inatokana na yeye kuwa mhanga wa kupigwa risasi. Usimwombee binadamu mwenzako.

Yaani kesha ng'atwa na nyoka na hivyo sasa anaweweseka kila anapo sikia mlipuko, anapoona watu ambao hawajui ama kama anavyodai, anaona watu "Wasiojulikana", na itoshe kila anapokuwa jukwaani ama kwenye V8. Dah PTSD ama Post Traumatic Disorder sio mchezo jamani. Usiombee.

Kwa msingi huo, sidhani kama Lissu ataweza kushika nafasi ya Uraisi, manake kila akiwa na wasiwasi kunaweza kuathiri maamuzi.

Urais sio lele mama. Ni jukumu kubwa. Yaani 'its a high stress role with immense rsponsibility' Kuwa na wasiwasi na woga saa zote inaweza ku affect maamuzi yake. Hilo laweza kuathiri utawala na mahusiano ya kimataifa na hatimae Usalama wa Taifa.

CHADEMA, nimekuwa nawashauri wangemchangia hela za kupata matibabu stahiki na sio kumnunulia chombo ambacho kinamtia wasiwasi za zote, kama li V8. Mjengeeni mtandao thabiti wa usaidizi ili aweze kukabiliana na woga na wasiwasi inapotokea.

Dah.
 
Itakuwa vijana wa Mbowe, nyie mnagombea uenyekiti wa Chadema Taifa mmalizane wenyewe huko Chadema
Alisema kule Dodoma mkaongea kama haya, lakini akachapwa risasi kadhaa..!! Amesema tena, mnarudia yale yale..!!
 
Kama walimpa kesi ya ugaidi ya kubambikiwa wanashindwaje kupita nae na wana ushahidi kabisa anahusika?

Makalio yakifanya kazi yake na kichwa kazi yake huwezi andika post kama hii. AMINI.
😕😆😆😆
 
20240606_081039.jpg


Mwanzoni mwaka 2017 alianza hivihivi kutoa taarifa kwa IGP Simon Sirro, akapuuzwa. Matokeo yake ni risasi 16 kuzamishwa mwilini mwake na kikundi cha DAUDI BASHITE kilichotumwa na Mwendazake.

Je safari hii nani yuko nyuma ya huu USHENZI? IGP Wambura chukua hatua
 
View attachment 3009916

Mwanzoni mwaka 2017 alianza hivihivi kutoa taarifa kwa IGP Simon Sirro, akapuuzwa. Matokeo yake ni risasi 16 kuzamishwa mwilini mwake na kikundi cha DAUDI BASHITE kilichotumwa na Mwendazake.

Je safari hii nani yuko nyuma ya huu USHENZI? IGP Wambura chukua hatua
Yaani hapa Tanzania kati ya watu nisioo waamini ni Mwigulu na Makonda, hawa jamaa wame fanya mambo mengi sana maovu
Hata hili la Lissu kufuatiliwa siogopi kusema ni mipango ya huyu jamaa
 
Yaani hapa Tanzania kati ya watu nisioo waamini ni Mwigulu na Makonda, hawa jamaa wame fanya mambo mengi sana maovu
Hata hili la Lissu kufuatiliwa siogopi kusema ni mipango ya huyu jamaa
Uko sahihi na mimi najua mpango huu wote ni Mwigulu Nchemba.Ila Lisu kwa nini analazimisha kuishi Tanzania ambako kuna watu hawataki kuona hata sura yake?Maisha ni popote pale ali mradi unaishi.Hakuna haja ya kulazimisha maisha mahali pale ambapo wenye utawala wanakufanyia figisu za kila aina.Pole sana kwa kamanda mwenzangu ila Mungu yupo.
 
sasahivi adui wa lisu ni mbowe anatetea uenyekiti wake na mwiba hapo ni lissu unategemea hata mchachawangwe?
Polisi wapo walifanyie kazi hili acheni porojo za kipumbavu.Mbona Mdude akimtukana Mama Samiah polisi wanamkamata mara moja,kwa nini kama Mbowe anataka kumuua Lisu polisi wanyamaze kimya?
 
Back
Top Bottom